Akiwa na umri wa miaka kumi tu tayari alikuwa ameshauwa watu watatu na cha kushangaza zaidi mmoja kati ya hao waanga mmoja alikua ni dada yake wa tumbo moja.
NI NANI HUYO.
Kwa majina anafahamika kama Amarjeet Sada kijana aliyezaliwa mwaka 1998 huko nchini India katika familia ya kimasikini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.