ambulance

An ambulance is a medically equipped vehicle which transports patients to treatment facilities, such as hospitals. Typically, out-of-hospital medical care is provided to the patient.
Ambulances are used to respond to medical emergencies by emergency medical services. For this purpose, they are generally equipped with flashing warning lights and sirens. They can rapidly transport paramedics and other first responders to the scene, carry equipment for administering emergency care and transport patients to hospital or other definitive care. Most ambulances use a design based on vans or pick-up trucks. Others take the form of motorcycles, cars, buses, aircraft and boats.
Generally, vehicles count as an ambulance if they can transport patients. However, it varies by jurisdiction as to whether a non-emergency patient transport vehicle (also called an ambulette) is counted as an ambulance. These vehicles are not usually (although there are exceptions) equipped with life-support equipment, and are usually crewed by staff with fewer qualifications than the crew of emergency ambulances. Conversely, EMS agencies may also have emergency response vehicles that cannot transport patients. These are known by names such as nontransporting EMS vehicles, fly-cars or response vehicles.
The term ambulance comes from the Latin word "ambulare" as meaning "to walk or move about" which is a reference to early medical care where patients were moved by lifting or wheeling. The word originally meant a moving hospital, which follows an army in its movements. Ambulances (Ambulancias in Spanish) were first used for emergency transport in 1487 by the Spanish forces during the siege of Málaga by the Catholic Monarchs against the Emirate of Granada. During the American Civil War vehicles for conveying the wounded off the field of battle were called ambulance wagons. Field hospitals were still called ambulances during the Franco-Prussian War of 1870 and in the Serbo-Turkish war of 1876 even though the wagons were first referred to as ambulances about 1854 during the Crimean War.

View More On Wikipedia.org
  1. Stephano Mgendanyi

    Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) Yagawa Ambulance 4 na Viti 50 kwa Wenye Ulemavu

    MWANAMKE INITIATIVES FOUNDATION (MIF) YAGAWA AMBULANCE 4 NA VITI 50 KWA WENYE ULEMAVU Siku ya tarehe 27 Januari 2025, kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Taasisi ya Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) chini ya Mwenyekiti wake...
  2. julaibibi

    Ushauri kwa TEMESA hasa kunapokuwa na ambulance kivuko cha Mv Kazi

    Kila mara tunajribu kuwaambia kwa vile panton ni moja kipind hiki, nyakati za dharula msiwe mnajaza magari line tatu. Hii itasaidia vipi? Itasaidia abiria kuingia kwa haraka na kuondoka haraka kuliko magari yakiziba full matokeo yake watu wanaingia kwa kupenya. Leo ambulance maskini mgonjwa...
  3. B

    Kubeba majeruhi kwenye gari za wazi (Pickup) badala ya gari za wagonjwa (ambulance) kwenye tukio la kuanguka ghorofa K/Koo ni sahihi?

    Majeruhi karibu wote waliokolewa wapatao 40 mpaka sasa kwenye tukio la kuanguka kwa ghorofa mitaa ya Kariakoo jijini Darisalama wamepelekwa hospitali ya Muhimbili wakiwa wamepakiwa kwenye gari za wazi nyuma maarufu kama Pick Up badala ya gari maalum za wagonjwa ambulance Sasa najiuliza Kariakoo...
  4. T

    Hamas wanatumia ambulance kusafirisha majeruhi wao

    Dereva mmoja wa ambulance ameweka wazi ya kwamba wamechoshwa na tabia ya wapiganaji wa Hamas kutumia Magari ya ambulance kusafirisha silaha na majeruhi wao. Kwamba Hamas hujificha au kutumia ambulance kwenye kipindi Cha vita. Kauli hii imetolewa na dereva wa ambulance ndani ya Gaza.
  5. U

    Jeshi la Israel lawaonya wafanyakazi huduma za afya Lebanon kusini waache kutumia ambulance kwani hutumiwa na magaidi ya Hezbollah

    Wadau hamjamboni nyote? Tahadhari kwa wanaotumia magari ya kubebea wagonjwa almaarufu ambulance kumbe hutumiwa na magaidi ya Hezbollah! #Times of Israel In a separate post, Adraee reiterates an earlier call for health workers and medical teams in southern Lebanon to avoid using ambulances...
  6. M

    Magari ya Wagonjwa bila kuchangia hupati huduma

    Tuanaweza vipi kuafford? Unaambia utoe lita 180 ili mgonjwa wako afike hospitali ya rufaa? Hili la kwenye matenga ulichomoa kwa kug'aka huko Tunduru. Lakini ukweli ni kuwa hili ni tatizo sugu. Magari ya Wagonjwa bila kuchangia hupati huduma. Sijui labda kwa unakaa mjini Dar. Ila mimi najua...
  7. JanguKamaJangu

    Waziri Ummy : Wagonjwa wasitozwe gharama za posho ya dereva wala muuguzi ambao usindikiza mgonjwa na ambulance

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amekemea na kuwaonya viongozi wa Hospitali nchini ambazo zina magari ya kubebea wagonjwa (ambulance) wenye tabia ya kutoza wagonjwa au ndugu zao malipo ya posho ya dereva pamoja na mtaalamu ambaye uhusika katika safari. Amesema kwamba ni marufuku kwa hospitali zote...
  8. Roving Journalist

    Hospitali ya Mkoa Shinyanga yafafanua madai ya kutoza gharama kubwa kwa wanaohitaji Ambulance

    Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kulalamikia gharama wanazotozwa wahitaji wa huduma ya Ambulance katika Hospitali ya Mkoa Shinyanga, kumsoma Mdau bonyeza hapa ~ Gharama za “Ambulance” Shinyanga ni mateso kwetu walalahoi Uongozi wa Hospitali umetoa ufafanuzi. TAARIFA INAYOSAMBAA MTANDAONI DHIDI...
  9. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 KITETO: Kata ya Engusero yapokea ambulance mpya, wananchi wamshukuru Rais Samia

    Wananchi wa Kata ya Engusero Jimbo la Kiteto wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia Gari jipya la wagonjwa ambalo litawaondolea adha ya Usafiri wa wagonjwa katika Kata hiyo na Tarafa nzima ya Matui. Pia, Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe...
  10. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Edward Lekaita Akabidhi Ambulance Hospitali Ya Wilaya Ya Kiteto na mifuko 900 ya saruji katika kata za Jimbo la Kiteto

    Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mkoa wa Manyara, Mhe. Edward Ole Lekaita amekabidhi Ambulance 🚑 mpya kwa uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Kiteto na kuwataka kulitunza ili liwanufaishe. Vilevile, Mhe. Edward Ole Lekaita amekabidhi Mifuko 900 ya Saruji kwa Kata ya Bwawani (Mifuko 50), AMCOS Matui...
  11. Stephano Mgendanyi

    Bilioni 4 Kujenga Ambulance Boat Kupitia TASAC Ziwa Viktoria, Mwanza

    BILIONI 4 KUJENGA AMBULANCE BOAT KUPITIA TASAC ZIWA VIKTORIA, MWANZA Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) December 22,2023 imetia saini mkataba wa mradi wa ujenzi wa boti yenye vifaa vya matibabu (Ambulance Boat) ambao umesainiwa baina ya TASAC na Kampuni ya...
  12. Chizi Maarifa

    Hamas wahojiwa waelezea matumizi ya Ambulance na Jinsi ambavyo wanaitekeza Israel

    Israel imekwisha. Hamas wameshaimaliza Israel. Sisi tunasheherekea hapa Tandale kwa Mtogole kwenye Ms..... Wa Ijumaa Israel... Wamekwisha kabisa. Vita imewashinda..... Hamas wamejificha kwenye mahandaki wakipigana na wadudu kama panya nk. Israel wapo palestine hamas wapo mashimoni. Wakiendelea...
  13. benzemah

    Serikali Kupeleka Magari Mawili ya Wagonjwa Kila Wilaya Nchini Ifikapo Agosti Mwaka huu 2023

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, itapeleka magari mawili ya wagonjwa na moja la kusaidia shughuli za usimamizi wa masuala ya afya katika wilaya nchini ifikapo Agosti mwaka huu. Akizungumza na mamia ya...
  14. K

    DOKEZO Baadhi ya wagonjwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wanachangishwa fedha za mafuta ili wabebwe kwenye Ambulance

    Jambo lingine ni kuwa baadhi ya wagonjwa wanaopatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wamelalamikia kuchangishwa fedha za mafuta katika magari ya kubeba wagonjwa kutoka hospitali hiyo kwenda kupata matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam. Wananchi wamesema...
  15. M

    Je, ni sahihi wananchi kuchangia mafuta ambulance au magari ya polisi wanapohitaji huduma?

    Imekuwa kama kasumba sasa. Mwananchi akipata tatizo kwenye mahospital ya wilaya ambazo ziko na hospital za rufaa na kisha kuandikiwa rufaa huwa anaambiwa kuchangia mafuta ili mgonjwa apelekwe. Polisi nao ukienda kuripoti tukio la uhalifu ili waende eneo la tukio huwa wanahitaji mafuta ya...
  16. Mparee2

    Ambulance za Hospitali za Serikali

    Mtu akitaka kutumia ambulance ya serikali kusafirishia mgonjwa kwenda Hospitali ya Serikali anatakiwa kufuata utaratibu gani?
  17. kavulata

    Adhabu ya TFF/bodi ya ligi kwa Mbwana Makata, sio kila gari ni Ambulance.

    Makata kudai ambulance kuwepo uwanjani ni suala la kikanuni na Ambulance haikuwepo uwanjani bila kujali kuwa ilikwenda wapi kufanya nini. Ambulance ni gari maalumu lenye miundombinu inayoweza kuokoa maisha ya mgonjwa mwenye afya mbaya wakati anakimbizwa kuwahi matibabu kamili ya hospitali. Sio...
  18. buffalo44

    SoC01 Iundwe idara ya ambulance na uokoaji ili kusaidia kwenye dharura na uokoaji kuepusha vifo vinavyoepukika kwa kuwahi matibabu

    Salaam wakuu. Nchi hii ni yetu sote, matatizo yetu tunaweza kuyatatua kwa rasimali kidogo tulizonazo. Hapa Tanzania suala la Ambulance hata hatuelewi linafanyaje kazi. Mara nyingi ambulance zinasafirisha referred patient (Wagonjwa pendekezwa kwenda hospital nyingine). Kwa matatizo ya dharura...
  19. Cannabis

    Mbunge wa Rorya abadili rangi ya gari la kubebea wagonjwa kwa kile alichoita maslahi mapana ya wananchi wake

    "Nimewasikia wananchi wangu na tumefanya mabadiliko ya rangi ya gari hili (Ambulance) kwa maslahi mapana ya Wana Rorya wote bila ya kujali vyama vyao. Poleni sana kwa wale waliovurugwa na rangi ya awali, nia yetu ni njema kwa watu wote wa Rorya" Mhe. Jafari Chege Mbunge, Rorya.
Back
Top Bottom