Biden ametoa speech ambayo inaonyesha Trump alikuwa anamdekeza sana Putin.
Belarus jirani wa Ukraine na Urusi ndiye rafiki mkubwa Putin na Biden kasema Urusi isipotoa majeshi yake huko atalituma jeshi.
la Marekani ndani ya Belarus
Tunaweza kuona ni namna gani Marekani wanaendelea kuzichanga...
Video ya utangulizi hii nasisitiza sana uiangalie mpaka mwisho, utapata picha kamili kabla hujasoma hii maada
Tangu nimezaliwa hapa nchini ma hadi sasa nikiwa na miaka 31 kuna mengi nimeyaona na kujifunza katika hii nchi, kitu kimoja wapo ni thamani kubwa mno anayopewa foreigner kuzidi...
On Resilience: How Ninon Marapachi Went From Poverty In Tanzania To Wall Street Domination
Ninon Marapachi is the head of the Hedge Fund Business at Bank of America within the Global Wealth Investment Management division. Whew – long title.
Having that much title at one of the biggest banks in...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lissu amefanya Mahojiano Muhimu sana na VOA , ambapo amefafanua masuala mbali mbali ya namna hali ya kisiasa ya nchini Tanzania ilivyo kwa sasa (Tutajaribu kuweka video ikiwezekana)
Lissu ambaye yuko Marekani kwa ziara ya kikazi , hasa kuhusiana na masuala...
Former Vice President Joseph Murumbi
TWITTER
Bank of America is splashing millions in honour of a Kenyan Hero in their latest project, targeting 13 countries across the world.
US's most prestigious bank is directing funds aimed at preserving art pieces collected by Kenya's former...
Habari zenu wakuu wa mambo!
Ninahitaji kumiliki tovuti kwa ajili ya biashara,
Naomba mnisaidie ni tovuti zipi za Ulaya na America zenye muonekano mzuri lakini hata Languages zilizotumiwa katika uundwaji wa tovuti hizo.
NATANGULIZA SHUKRANI.
About the author: David Frum is a staff writer at The Atlantic and the author of Trumpocalypse: Restoring American Democracy (2020). In 2001 and 2002, he was a speechwriter for President George W. Bush.
In the United States, this pandemic could’ve been over by now, and certainly would’ve been by...
Usiku wa leo, Katika dimba la Maracana pale Brazil, kutapigwa mchezo wa kukata na shoka kati ya Argentina Vs Brazil kuanzia saa 9:00 Usiku kwa masaa ya Afrika Mashariki.
Mara ya mwisho Argentina kutwaa ubingwa huo ni mwaka 1993 wakati Brazil ni bingwa mtetezi.
Brazil imeandaa michuano hiyo...
Meneja wa Daimond Platnumz Babu Tale ameandika kwenye ukurasa wake kwamba wimbo wa Haleluya wa msanii huyo japo ulikataliwa na basata lakini umetumika kwenye filamu ya Coming to America 2 Hata hivyo filamu hiyo nimeiangalia sijaona popote ambapo wimbo huo umetumika na hii ni orodha ya soundtrack...
Hii series ya falcon and winter soldier baada ya mud mrefu wakampata C.A mpya lakin awe serious kidogo otherwise ataharibu series
Ila winter soldier kaeleweka sana
Naipa rate 6/10 nini maoni yako kuhusu ujio mpya wa Captain America je kafiti kama old captain america
Mzuka wanajamvi!
Hizi ndizo nchi 16 zinazotumia mtandao wa simu Tigo. Katika bara la South America na Latin America (Central America)
South America
Argentina, Uruguay, Brazil, Paraguay, Bolivia, Chile, Peru, Colombia, Mexico
Central American countries.
Costa Rica
El Salvador
Guatemala...
I recently watched a Symposium hosted by Central European University, and the speaker was none other than the eminent and legendary Joseph Nye from Harvard Kennedy School of Government.
The topic was about a new cloud in the horizon, a potential storm, The Rising China and the fate of the...
Tuna kila sababu ya kuwa na wasiwasi na mambo mengi yanayohusu tiba hasa kutoka magharibi. Kuna mahali niliwahi soma jinsi waAfrika walivyokuwa wakitumika kama viumbe wa majaribio ya tafiti na chanjo mbalimbali, machozi yalinitoka kwa uchungu ulioambatana na hasira. Ilikuwa hivi, walitaka kujua...
Kuna kipindi niliona Vanessa anaimba nyimbo yake na wapiga violin ilikuwa kama orchestrals, nimeona bwana wake Rotimi atakuwepo kwenye movie hii ya coming to america 2,nikakumbuka kazi imefanyikia kwenye film studio ya Tyler perry Atlanta
Ikumbukwe Terry alishatumia hadi nyimbo ya maria...
Kuna kipindi niliona Vanessa anaimba nyimbo yake na wapiga violin ilikuwa kama orchestrals, nimeona bwana wake Rotimi atakuwepo kwenye movie hii ya coming to america 2,nikakumbuka kazi imefanyikia kwenye film studio ya Tyler perry Atlanta
Ikumbukwe Terry alishatumia hadi nyimbo ya maria...
Habari za sikukuu ya krismas wanajamvi,
Naomba Kama Kuna mtu Ana taarifa ya kilichotokea Nashville,nimeona Kuna picha ya magari yameteketea kwa Moto.Mwenye taarifa kamili atujuze.Asante povu ruksa.
=====
Police arrived at the scene shortly after 06:00 (midnight GMT) on Friday after reports of...
America for centuries has been pretending to be the champion of human rights, democracy and anything associated with good. Yes, it could have been that way be before 1776, but as years passed by, American has been turning into an extremely evil nation and society.
In fact the concepts of...
Tarehe 31 Oktoba tumeshuhudia kuitishwa kikao cha waliokosa nafasi mbalimbali za ubunge na urais ili kutangaza kufanya maandamano siku ya tarehe 2/11/2020. Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995, vyama vya upinzani havijawahi kukubaliana na matokeo katika kila sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.