Ayatollah Ebrahim Amini (30 June 1925 – 24 April 2020) was an Iranian conservative politician who was a member of the Assembly of Experts. He was also a member of the Expediency Discernment Council, and was previously identified as a possible candidate to become the next Iranian Supreme Leader. Ayatollah Amini was a jurist and a moderate supporter of jurisprudential Islam. He was a member of the Council for the Revision of the Second Constitution in 1989 and was a supporter of the maximum ruling term of a Supreme Leader being ten years.Amini was known as a critic of the government of former president Mahmoud Ahmedinejad.Amini died in April 2020 at the age of 94, at the Shahid Beheshti Hospital in Qom.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na vikao vya ndani ambavyo vilianza kurindima tarehe 17/09/2022. Sasa tazama hizi picha kisha tafakari nini namaanisha.
Mgombea yeyote hata asipofanya kampeni kabisa..Ila siku Moja akawa live kwenye tv akautangazia umma kuwa pindi akiwa Tanzania one atafuta TOZO aina zote...!! Baada ya kutamka hivyo nchi itazizima Kwa furaha na Wala asiendelee kuzungukwa mikoani kuchomwa na jua Bure asubiri tu siku ya uchaguzi...
Maana kwanza nicheke, hivi hii nchi tunaambiwaga ina watu milion 60 ni kweli au ni nadharia? Yaani flyover 1 kwa watu milioni 30?! Hivi hii inaingia akilini kweli?
Hebu tusubiri Sensa tuone, hadi majibu ya Sensa yatoke ndio ndio nitaamini
Habari ya asubuhi,
Kwa mawazo na fikra zangu sijawahi amini kuna mke anaweza kuwa mwema au ukapata mke sahihi katika makundi haya
1. Wanaofanya Jogging
Yaani hapa aisee kama una mke anafanya huu udnunguazi wa makundi makundi jua hauko peke yako na hata ukipata mwanamke humu basi wakumaliza...
Ukishika mpini we ndio mbabe🤣🤣🤣
Twende kazi👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
"Unfortunately, Canada succumbed to pressure and decided to return the turbine to Gazprom. This is a very bad precedent for an exemption from sanctions.
According to the CEO, after the turbine is returned, it is expected that Gazprom will...
Huu sio uzi wa michezo.
Ukifuatilia soka letu unaweza dhani Boko, Kagere, Wawa, Nyoni ndio watu wenye mafanikio makubwa katika umri mdogo.
Dogo akiwa na miaka name tayari amegonga kopi Genk, Valencia, Barca na Ajax.
Dogo anasema katika maisha yake ndoto yake kubwa Ni kuwatumikia Jangwani. Na...
Mafundi wa Wizara ya Afya wanaidai kata ya Ipera kiasi cha Tsh. 16,900,000 baada ya kujenga kichoma taka yaani "Medical waste incinerator" Katika Kituo cha afya Ipera.
Kituo hiki kipo Kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma.
Kwa mujibu wa maelezo ya Diwani wa kata ya Ipera Mh...
Hello!
Kuna jibu huwa najibiwa sana na washika-dini kila ninapowauliza kwanini wao wanaamini uwepo wa Mungu. They are like, "Unaamini uchawi upo?" Nikimjibu, anakuja na hii, "Kama unaamini uchawi upo, kwanini huamini Mungu yupo?".
Yaani hapo huwa wana nadharia yao kuwa, everything is two...
Siku kama ya leo mwaka 1971, jitu la Miraba minne Idd Amin alijitangaza kuwa Rais wa nchi ya Uganda na hii ni baada ya kugutuka kwamba Milton Obote alikuwa akipanga kumkamata kwa matumizi mabaya ya fedha za jeshi, Awali, Amin alichukua mamlaka kwa kufanya mapinduzi ya kijeshi tarehe 25 Januari...
Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani.
Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri.
Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi.
Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya...
Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa!
Sasa mchezo unaanza rasmi...
...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni.
...75% ya wabunge wa sasa ni zao na...
Nashindwa kujizuia hili jamaa kuliita Dume na Mwamba wa Afrika
Tuliambiwa kuwa Idi Amini alikuwa dicteta wa hatari, anakula watu, anakula damu za watu na mambo mengi yanayofanana na hayo lakini siku zinavyozidi kwenda inakuwa tofauti sana. Baba zetu na mama zetu walimuimba sana mashuleni...
Huwa nikikaa na kufikiri ni namna gani binadamu aliweza kubuni ndege, meli kubwa hasa za mizigo, gari na vitu vinginevyo na badae kuja kuwa msaada mkubwa katika dunia yetu ya siku leo hata kurahisisha maisha katika eneo fulani lililokuwa na ugumu kwetu, basi nauona uwezo wa Mungu aliouweka ndani...
Hakika dunia tunapita
Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote .
Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya.
Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.