amini

Ayatollah Ebrahim Amini (30 June 1925 – 24 April 2020) was an Iranian conservative politician who was a member of the Assembly of Experts. He was also a member of the Expediency Discernment Council, and was previously identified as a possible candidate to become the next Iranian Supreme Leader. Ayatollah Amini was a jurist and a moderate supporter of jurisprudential Islam. He was a member of the Council for the Revision of the Second Constitution in 1989 and was a supporter of the maximum ruling term of a Supreme Leader being ten years.Amini was known as a critic of the government of former president Mahmoud Ahmedinejad.Amini died in April 2020 at the age of 94, at the Shahid Beheshti Hospital in Qom.

View More On Wikipedia.org
  1. Monica Mgeni

    Nyepesi: Huwezi amini lakini CHADEMA wamefikia hapa...Yetu macho

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na vikao vya ndani ambavyo vilianza kurindima tarehe 17/09/2022. Sasa tazama hizi picha kisha tafakari nini namaanisha.
  2. M

    Amini Amini Nawaabieni: Mgombea ajae akiahidi hili amepita kwa kishindo

    Mgombea yeyote hata asipofanya kampeni kabisa..Ila siku Moja akawa live kwenye tv akautangazia umma kuwa pindi akiwa Tanzania one atafuta TOZO aina zote...!! Baada ya kutamka hivyo nchi itazizima Kwa furaha na Wala asiendelee kuzungukwa mikoani kuchomwa na jua Bure asubiri tu siku ya uchaguzi...
  3. FRANCIS DA DON

    Amini usiamini, Tanzania hadi sasa ina flyover mbili (2) tu zinazofanya kazi rasmi

    Maana kwanza nicheke, hivi hii nchi tunaambiwaga ina watu milion 60 ni kweli au ni nadharia? Yaani flyover 1 kwa watu milioni 30?! Hivi hii inaingia akilini kweli? Hebu tusubiri Sensa tuone, hadi majibu ya Sensa yatoke ndio ndio nitaamini
  4. KijanaHuru

    Sijawahi kuamini kama kuna mke mwema mwenye tabia hizi

    Habari ya asubuhi, Kwa mawazo na fikra zangu sijawahi amini kuna mke anaweza kuwa mwema au ukapata mke sahihi katika makundi haya 1. Wanaofanya Jogging Yaani hapa aisee kama una mke anafanya huu udnunguazi wa makundi makundi jua hauko peke yako na hata ukipata mwanamke humu basi wakumaliza...
  5. EINSTEIN112

    Urusi inanifurahisha sana huwezi amini service ya turbines wanafanya EU 🤣🤣🤣

    Ukishika mpini we ndio mbabe🤣🤣🤣 Twende kazi👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 "Unfortunately, Canada succumbed to pressure and decided to return the turbine to Gazprom. This is a very bad precedent for an exemption from sanctions. According to the CEO, after the turbine is returned, it is expected that Gazprom will...
  6. MSAGA SUMU

    Amini husiamini Bongo kuna dogo ana mafanikio kuliko. Maguire, ana miaka 8

    Huu sio uzi wa michezo. Ukifuatilia soka letu unaweza dhani Boko, Kagere, Wawa, Nyoni ndio watu wenye mafanikio makubwa katika umri mdogo. Dogo akiwa na miaka name tayari amegonga kopi Genk, Valencia, Barca na Ajax. Dogo anasema katika maisha yake ndoto yake kubwa Ni kuwatumikia Jangwani. Na...
  7. W

    Amini usiamini, hii ndio thamani ya kichoma taka inayodaiwa na mafundi wa Wizara ya Afya

    Mafundi wa Wizara ya Afya wanaidai kata ya Ipera kiasi cha Tsh. 16,900,000 baada ya kujenga kichoma taka yaani "Medical waste incinerator" Katika Kituo cha afya Ipera. Kituo hiki kipo Kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma. Kwa mujibu wa maelezo ya Diwani wa kata ya Ipera Mh...
  8. Pist_Sr

    Kama unaamini uwepo wa Mungu, usiipite hii!

    Hello! Kuna jibu huwa najibiwa sana na washika-dini kila ninapowauliza kwanini wao wanaamini uwepo wa Mungu. They are like, "Unaamini uchawi upo?" Nikimjibu, anakuja na hii, "Kama unaamini uchawi upo, kwanini huamini Mungu yupo?". Yaani hapo huwa wana nadharia yao kuwa, everything is two...
  9. anonymousafrica

    Tarehe 2 Februari mwaka 1971 Idd Amini alijitangaza kuwa Rais wa Uganda

    Siku kama ya leo mwaka 1971, jitu la Miraba minne Idd Amin alijitangaza kuwa Rais wa nchi ya Uganda na hii ni baada ya kugutuka kwamba Milton Obote alikuwa akipanga kumkamata kwa matumizi mabaya ya fedha za jeshi, Awali, Amin alichukua mamlaka kwa kufanya mapinduzi ya kijeshi tarehe 25 Januari...
  10. Scars

    VIDEO: Kutana na Ameca the humannoid Robot mwenye utashi, asiye amini Mungu

  11. lee Vladimir cleef

    Huwezi amini lakini ukweli bila NATO, Marekani anaiogopa Sana Urusi

    Tunaambiwa kuwa Marekani ndio taifa lenye nguvu kabisa hapa duniani. Lakini ukiangalia kwa undani utaona pengine ni wingi wa silaha tu lakini sio ujasiri. Ukiangalia matendo ya Marakani dhidi ya Urusi ndio utajua kweli Marekani anaiogopa Urusi. Mgogoro wa Urusi na Ukraine Marekani anaionya...
  12. Suzy Elias

    Amini usiamini kuanzia Bunge lijalo hapatatosha

    Wapo wapuuzi wanao mdharau Ndugai wakidhani ni mtu wa kawaida mno na kwamba hana madhala-wanajidanganya pakubwa! Sasa mchezo unaanza rasmi... ...90% ya watendaji wote Serikali hasa wateule bado ni wa JPM. Hao ndiyo wavujisha siri zote kuelekea mjengoni. ...75% ya wabunge wa sasa ni zao na...
  13. M

    Tuliambiwa kuwa Idi Amini alikuwa dikteta wa hatari

    Nashindwa kujizuia hili jamaa kuliita Dume na Mwamba wa Afrika Tuliambiwa kuwa Idi Amini alikuwa dicteta wa hatari, anakula watu, anakula damu za watu na mambo mengi yanayofanana na hayo lakini siku zinavyozidi kwenda inakuwa tofauti sana. Baba zetu na mama zetu walimuimba sana mashuleni...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    Amini una akili yenye uwezo mkubwa wa kubuni wazo la kuweza kukusaidia kufanikiwa kimaisha

    Huwa nikikaa na kufikiri ni namna gani binadamu aliweza kubuni ndege, meli kubwa hasa za mizigo, gari na vitu vinginevyo na badae kuja kuwa msaada mkubwa katika dunia yetu ya siku leo hata kurahisisha maisha katika eneo fulani lililokuwa na ugumu kwetu, basi nauona uwezo wa Mungu aliouweka ndani...
  15. Superbug

    Kweli dunia tunapita. Huwezi amini enzi za Polepole, Makonda na Bashiru zimepita kama umande

    Hakika dunia tunapita Nikimkumbuka Polepole anayepigia Wakuu Wa Wilaya, Mikoa mpaka IGP simu usiku Leo hii ni bureee kabisa Hana lolote . Polepole aliwahi kutamba kwamba ana koneksheni kubwa dah maisha haya. Makonda akiwa kileleni baba Keagan aliwahi kusema yeye ndio mtu anayepata raha kuliko...
  16. Rasc

    Kumuamini mwanamke ni tatizo

    Jamaa yetu kaenda masomonj kamuacha mkewe now kapewa mimba anaangaika kuitoa
Back
Top Bottom