Juzi Mhe Rais wa JMT alitoa takwimu za jiji la Dar es Salaam kushika nafasi ya 6 kwa usafi Afrika ila kiukweli hali sasa imeanza kuwa ndivyo sivyo.
Zile jitihada za mwanzo tulizokuwa tunaziona zilizokuwa zinafanya jiji kuwa safi sasa hivi tunaona zinafifia,
Vibanda vinarudi pembeni ya...