AMOS or Advanced Mortar System is a Finno-Swedish 120 mm semi-automatic twin barrelled, breech loaded
mortar turret. AMOS has been fitted to a wide range of armoured vehicles, such as the Sisu Pasi, Patria AMV and Combat Vehicle 90. The Swedish Navy originally planned to fit AMOS to the CB90 assault craft, but found that it was too small to carry it. Instead, a project to develop the larger Combat Boat 2010 was launched specifically to carry AMOS. Sweden cancelled its acquisition of the AMOS in 2009 due to budget regulations by recommendations from Genomförandegruppen. In 2016 a new self propelled mortar system called Mjölner based on a CV90 hull was ordered by the Swedish armed forces, it is based on the AMOS and has many visual similarities but is not as advanced.
Mzee Makala natabiri atakaa kwa muda mfupi sana kwenye nafasi mpya. Changamoto kubwa iliyopo ni kukalia kiti cha mtu anayeamini yupo sahihi na anaweza kuliko wote.
Team Makonda are not happy na kilichotokea, awataki kuamini kwamba Makala anaweza akawa smart kuliko bosi wao. Wamegoma kukubaliana...
Baada ya mabadiliko ya Mwenezi ndani ya chama cha Mapinduzi kuna kila dalili ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kurithi mikoba ya Makonda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha!
Pia aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha John Mongela kuna kila dalili ya kujaza nafasi ya Naibu Katibu Mkuu wa...
Heri ya pasaka kwa wanajukwaa na waumini wote. Waliofunga nawatakia swaum njema
Kutokana na kuondolewa Makonda kwenye nafasi yake ya Itikadi na Uenezi ndani ya chama na kwenda kuwa RC Arusha, ninaweza kusema Amosi Makalla anaweza kupewa nafasi hiyo.
Amekua mtulivu kisiasa hana siasa za...
Mfadhili wa Zamani wa FM ACADEMIA , ambaye pia aliwahi kuwa mweka hazina wa CCM TAIFA , Amos Makalla , aliyepachikwa sifa ya Kikongo na kuitwa Pedeshee Makalla , yaani mfadhili muhimu wa Bendi hiyo kama walivyo akina JOKHA KABENGELE , COCO MADIMBA , JOSE KONGOLO na wengine wa huko Congo DRC ...
Kuna watu wamezaliwa na bahati ila capacity na creativity hakuna. Watu kama Makonda wanachoweza nikudhalilisha wengine siyo kufanya kazi. Maisha yao yote wanaamini wao wanapaswa kuongoza na wanapoongoza basi akili zao zinapaswa kuheshimiwa. Makonda amerudishwa ofisin tu anaanza kugombana na wale...
Mimi kama muhaya, nshomile kutoka Uhayani Republic, imenibidi niingie chimbo kuleta maelezo kamili juu ya hii vita ya Israel na palestina ambayo kuna watu wanadhani Gaza inapigwa kwa bahati mbaya. Ukisoma maandiko ya agano la Kale (Old Testament) katika biblia na vitabu vya kiyahudi Torah na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.