ampongeza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BigTall

    Zitto Kabwe ampongeza Nape kwa kuthamini haki na kuihubiri

    Mwanasiasa Zitto Kabwe amempongeza kauli ya Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye kuhusu umuhimu wa haki. Zitto ameandika: “Asante sana Nape Nnauye kwa msisitizo huu wa HAKI. Haki za Watu ni jambo la Msingi kwa jamii yeyote kuweza kupiga hatua. Nimefarijika sana...
  2. Vugu-Vugu

    Mtanzania Joyce Msuya ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa UN, Rais Samia ampongeza

    === Rais Samia Suluhu Hassan ampongeza Bi Joyce Msuya kwa kuaminiwa kwake na kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ( UN ) Bw Antonio Guterres, Bw Guterres amemteua kuwa Naibu katibu mkuu wake anayeshughulikia maswala ya Kibinadamu na Naibu mratibu wa misaada ya dharula Duniani, ===...
  3. Erythrocyte

    Askofu Mwamakula ampongeza Freeman Mbowe kwa kutangaza hadharani kwamba Kaka yake kafa kwa Corona

    Mh Freeman Mbowe amesambaza video mitandaoni ikimuonyesha akiweka wazi kabisa ugonjwa uliomuua kaka yake Charles Mbowe, kuwa ni COVID 19, huu ndio uongozi wa kupigiwa mfano, Mh Mbowe ameamua kuweka wazi jambo hili ili kuweka ushuhuda wa uwepo wa Corona nchini Tanzania. Mbowe sasa rasmi ni...
  4. Pascal Mayalla

    Mkurugenzi wa Barrick, Mark Bristow atua nchini, aonana na kumpongeza Rais Samia. Je, kutua 77 Banda la Barrick?

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Serikali na Barrick zathibitisha umuhimu wa kushirikiana Dodoma, Julai 7, 2021 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amekutana na Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick Gold Corporation (NYSE:GOLD)(TSX:ABX), Mark Bristow jijini...
  5. SULEIMAN ABEID

    Luhaga Mpina ampongeza Rais Samia kasi ya Ujenzi wa Miradi, asema hakuna ambao unasuasua

    LUHAGA MPINA AMSIFU BUNGENI MH. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KASI NZURI YA UJENZI MIRADI YA SGR KIPANDE CHA MWANZA- ISAKA NA MIRADI YA TARURA "Mhe. Spika na mimi nashukuru sana kwa kunipa nafasi ili niweze kuchangia wizara hii muhimu sana, wizara ambayo inatunza rasilimali za W atanzania. Na...
Back
Top Bottom