anatafutwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Anatafutwa mwanamke 35-45 years

    Habari, natafuta mwanamke wa umri 35-45 , kwa ajili ya uhusiano wa kimapenzi na si ndoa. Niko Dar es salaam. Karibu tupate muda wa kufurahia maisha pamoja. Usiwe tegemezi!
  2. B

    Mtoto Regnaldo Samweli Msuya (16) anatafutwa

    MTOTO REGNALDO SAMWELI MSUYA MIAKA (16) anatafutwa, inadaiwa aliondoka nyumbani kwao 15/12/2024 hadi sasa hajulikani alipo. Nyumbani kwao ni kinondoni mtaa mwananyamala kwa kopa, dar es salaam. Anasoma shule ya secondary makumbusho kidato cha tatu. Kwa yoyote atakaye muona tunaomba atoe taarifa...
  3. J

    Mfahamu Dk. Zakir Naik: Muhibiri aliyealikwa TZ kufanya mihadhara ya Jesus vs Muhammad anatafutwa kwa kuchochea ugaidi nchini kwake

    Dk. Zakir Naik ni mhubiri ambaye amealikwa kuja kufanya mijada ya kidini Tanzania, anatarajiwa kufanya mihadhara mitatu Mihadhara hiyo itakuwa inajadili kuhusu Mtume Muhammad na Yesu Mihadhara yake itarushwa live na Azam TV na ZBC2 Mhadhiri huyu ana asili ya India na anamiliki channel...
  4. R

    Lissu kuwa na kaba ya ulimi, unawapa clue wafuatilie calls zako kumjua aliyekwambia kuhusu wasiyojulikana

    Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe. Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha...
  5. N

    Anatafutwa Mwalimu wa Muda wa Kumuandaa mtoto anayeingia darasa la pili mwakani

    Katika kipindi hiki cha likizo, anatafutwa mwalimu anayefundisha darasa la pili (English Medium). Kwa mawasiliano zaidi, piga simu 0682405461
  6. Money Penny

    Anatafutwa Kijana anaeweza kumpa Mwanamke Love Bite

    Jamaani Nani ni kamanda wa kutoa love bite kwa wanawake? Kuna mtu anauliza love bite ni nini? Inapatikanaje? Unaitwa wewe mtaalamu
  7. BISLETT STADION

    Anatafutwa mwanamke wa kuolewa

    Anatafutwa mwanamke anayetaka kuolewa mwenye sifa zufuatazo, Awe na miaka kuanzia 27 mwisho miaka 35. ASIWE NA MTOTO. ASIWE NA ANATUMIA DAWA YA KUFUBAZA. Anaweza akawa nesi, mwalimu, banker, akauntanti, auditor, maketia, afisa habari, mchumi, mwanasheria, afisa ugavi, mkutubi, police...
  8. N

    Bibi amepotea Mindu, Morogoro. anatafutwa na ndugu zake

    Bibi mwenye umri wa takriban miaka 80 aitwaye Mwanahamisi Salimu Mtari (Bibi Keja) alipotea Jumatatu tarehe 21.10.2024 kata ya Mindu mtaa wa Mikoroshini nyumbani kwa mwanaye majira ya saa 11 jioni. Ana tatizo la kupoteza kumbukumbu kwa sababu ya umri wake. Alikuwa amevaa gauni la bluu...
  9. HONDA XL

    Msimamizi wa shamba anatafutwa

    shamba lina kilimo na ufugaji. kilimo ni mahindi, alizeti na mpunga, mifugo ni ng'ombe na mbuzi. makazi ni shambani hapo hapo. shamba liko kigoma wafanyakazi waliopo shambani kati ya 20 hadi 30. kwa mwenye uzoefu wa usimamizi mashamba makubwa akiwa na taaluma ya kilimo na mifugo au Agro...
  10. Nyaishozi College

    Nafasi ya Kazi: Radiographer anatafutwa

    Wanahitajika walio na Diploma au Degree ya Kwanza ya Radiography haraka. Wasilisha CV kupitia info@nyaishozicollege.ac.tz au tuma kwa Whatsapp 0745009792
  11. Uhakika Bro

    Mjasiriamali wa kuunda kutengeneza manati anatafutwa?

    Ukiwa Mbeya ni sifa ya nyongeza 🤝 lakini popote tutazungumza tu. Kuna malighafi ya kuundia manati mipira bora kabisa inatafuta mjasiriamali. Acha kutumia iliyotumika kwanza ni hatari kiafya. Hizi hapa tekenya zimeisha muda wake badala ya kuzichoma hebu tufanye upcycle.
  12. W

    Mmiliki wa Hoteli za Pilipili- Zanzibar anatafutwa kwa kosa la Udanyifu Poland

    Raia wa Poland, Wojciech Zabinski, mmiliki wa hoteli za Pili Pili Zanzibar, anadaiwa kutafutwa nchini Poland kwa kosa la udanganyifu. Inadaiwa aliendesha shughuli zake za ulaghai Zanzibar kwa kutoa ahadi za mapumziko ya kifahari kwa raia wa Poland, ambazo ni za uongo Mamlaka za ndani zimedai...
  13. D

    Msaada: Said Jamal Athumani anatafutwa

    Ndugu zangu: Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Huyu ndugu anayetafutwa asili yake ni Zanzibar, Baba yake mzazi alishafariki. Lakini amekulia Dar es salaam. Ana mjomba wake maeneo ya Kinondoni. Mjomba wake by 2020 alikuwa ni Dr. Hapo maeneo ya Kinondoni. Said Jamal ATHUMANI katika maisha...
  14. mwanamwana

    Prosper Mnjari adaiwa kupotea baada ya kuchukuliwa Agosti 2 na watu waliojitambulisha TANESCO

    Anaitwa Prosper Theonas Mnjari, anatafutwa alichukuliwa nyumbani kwake Chamazi Mbagala tarehe 2/8/2024 saa 5 asubuhi na watu waliojitambulisha Tanesco, toka walivyo mchukua simu ilizimwa haipatikani na hajaonekana, niwaombeni ukimuona au kuwa na Taarifa zozote kumuhusu tafadhali wasiliana na...
  15. kihongwe11

    Natafuta fundi computer aliyeko Mbagala

    Nahitaji fundi computer aje anisaidie kurepair window 10 maeneo ya mbagala sabasaba kwa mpili
  16. G

    Single Mother anatafutwa

    Wasaalam. Kutokana na pigo nililopigwa Leo! Nimebadilisha msimamo. Natafuta mwanamke angalu mwenye mtoto mmoja wasizidi wawili. Hope huyu atakuwa ashapigwa matukio ya kutosha! Na Mimi pia. Utakuwa ni mwanzo wa kupeana pole, Na kuyasahau ya nyuma. Single mothers karibu DM tuyajenge! Ukiwa...
  17. KikulachoChako

    Taarifa: Anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa wizi wa Carbon ya dhahabu

    Naomba msaada Huyu mtu kaiba mali ya kutosha Plant. Carbon zenye Dhahabu atakayemuona naomba tuwasiliane 0744419100 Kuna zawadi nono itatolewa. Sehem Carbon zimeibiwa na Majengo, sangambi chunya Mbeya. NB; NIMEIKUTA KWENYE MTANDAO WA X
  18. J

    Nahitaji mke mwenye vigezo hivi

    Rej:- Natafuta MKE. Vigezo/ Mwembamba kiasi/mrefu kiasi/rangi yoyote. Mkristo na awe ametokea familia ya kikristo. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri/24-29 Kabila lolote. Asiwe na mtoto. Mimi sasa. Elimu/diploma Kazi/ nimeajiriwa Umri/30 Naishi/ Dar Dini/ mkristo Mungu awabariki wote.
  19. M

    Mfamasia anatafutwa, awe amesajiliwa na baraza la wafamasia

    Pharmacist anatafutwa. Requirements: Awe na cheti kilichosajiliwa na baraza la wafamasia Location: Dar es salaam Payment: 800,000Tsh Contact: 0782121208
  20. Pdidy

    Ikitokea ajali tunaambiwa dereva ametoroka na anatafutwa, kwanini mkiwapata hamtuambii?

    Yaan hizi taarifa nikisiaga nafungaga simu. Sijawahi sikia dreva anasababisha vifo amekamatwa. Nasikiaga tu dreva anatafutwa. Ushauri mkiwapata mtuoneshe pia amekamatwa hasa hawa wanaobeba wasomali na waethiopia, unasikia dreva amekimbia na watu waliokuwepo. Wakipatikana mtujuze basi.
Back
Top Bottom