anatafutwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Eswa

    Anatafutwa Semeni Bundala

    Habarini wanajamvi.?. Jana katika ziara ya kikazi kijiji cha Matanga - Kongwa Dodoma, nilikutana na huyu mama, katika maongezi yetu aliniomba kumsaidia kumtafuta binti yake anayeitwa SEMENI BUNDALA waliachana naye muda mrefu sana, baba wa mtoto anaitwa BUNDALA NDUNG'O MANYELE (Maarufu kama...
  2. P

    Tunatafuta watu wenye uzoefu katika kutengeneza beats

    Tunatafuta watu wenye uzoefu katika kutengeneza beats, kucheza solo guitar na bass, tutafanya kazi katika studio yetu kubwa iliyoko Mbuyuni Salasala. Kama kuna mtu unamfahamu ni-PM au 0621 014 638
  3. Ushimen

    Anatafutwa Mining Sorveyour haraka sana

    1. Nimepewa kazi ya kumtafuta mining Sorveyour mwenye uzoefu usio pongua miaka 2 akiwa kwenye mining industry. 2. Nikimpeleka mimi hatokua na usaili kwasababu ninaaminiwa na General Manager. 3. Atafanya kazi kwenye mgodi mdogo na mpya ambao ndio unaanza. 4. Mshahara hautopungua 1.5M...
  4. Impactinglife

    Nafasi ya kazi ualimu wa Chemistry na Mathematics

    Natafuta mwalimu Fresh from school katika somo la Kemia na Mathematics (O-level) awe mbeya mjini na awe na utayari wa kufanya kazi bila kusukumwa na mwenye uwezo wa ku cope na wanafunzi wenye uwezo tofauti tofauti. MAWASILIANO: 0620257513
  5. Maji Chai

    Anatafutwa dada wa kusupply matunda maofisini

    Habarini ndugu zangu, kuna ndugu yangu anatafuta mdada ambaye atakuwa anamsaidia kusambaza matunda maofisini,ila awe anakaa Dar. Kwa mdada yeyote atakayekuwa yupo tayari awasiliane nae kupitia 0766281783
  6. Tripo9

    Anatafutwa msichana wa kazi - kuuza duka - anaeishi kwao mikocheni "A" karibu na "Palm village" mwendo wa kutembea

    Msichana wa kwa ajili aje auze Duka la makasha ya simu na charger nk. Awe anaishi kwao umbali wa kutembea tu karibu na pale PALM VILLAGE Mikocheni A ili mambo ya nauli yasiwepo. Malipo kwa mwezi ni shs.100,000/- (laki moja Tu) kwa kuanzia. contact 0628501029 Asanteni.
  7. Ugumu wangu

    Peter Mwakatundu, nakutafuta rafiki

    Wakuu habari za mida hii, Naomba kwenda kwenye maada tajwa hapo juu: Namtafuta mtu huyu kwa Jina lake halisi ni Peter Mwakatundu nimepotezana nae miaka kadhaa nyuma, kwa kumbukumbu ya machache ninayokumbuka. Tuliwahi abudu pamoja nae kwenye kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), pale...
Back
Top Bottom