Mamlaka Nchini Romania zimekamata mali na pesa zenye thamani ya Tsh. Bilioni 9 kama sehemu ya uchunguzi wa uhalifu kuhusu madai ya biashara haramu ya binadamu ambayo ilisababisha kukamatwa kwa Andrew Tate.
Wakala wa Kitaifa wa Kusimamia Mali Zilizokamatwa amechukua mali 29 zinazohamishika...
Andrew Tate ni kati ya watu wanatajwa sana kwa hivi sasa, bila shaka. Ikiwa hii ni mara yako ya kwanza kusikia kuhusu jamaa huyo, fuatilia hapa.
Mtumiaji huyu wa mitandao ya kijamii aliye na kipawa kikubwa cha ufasaha, Mmarekani mwenye asili ya Uingereza mwenye umri wa miaka 35 ambaye anaishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.