apps

  1. Screenshot apps zinazokusaidia katika uwekzaji na uchumi

    weka screenshots ya Apps ambazo zinakufanikishia kwenye uwekezaji... Tujifunze kitu. Kwangu mimi ni hizo...hapo Luna 1.UTT (Unit Trust of Tanzania) 2.NIC KIGANJANI (National Insurance Corporation) 3.DSE (Dar es Salaam Stock Exchange) 4.NSE (Nairobi Security Exchange)
  2. Naomba TCRA mlinde taarifa zetu kwa apps zinazodai kutoa mikopo.

    Habari wanajukwaa natumaini mbuheri wa afya. Leo naomba nigusie japo kwa kiasi kuhusu hizi apps za mikopo ambazo kwa Sasa zimekuwa nyingi sana na promotion kubwa inafanyika huko YouTube. Nimeileta hii mada hapa kwenye jukwaa hili kwasababu hii mada sio ya kisiasa Bali kuweka wazi kwa...
  3. Simu yangu inaingiza Apps bila ridhaa yangu (bila kudownload), shida ni nini?

    Aisee, simu yangu inaingiza ma apps ya aina mbalimbali kama vile ma games n.k bila ridhaa yangu (bila kudownload). Mfano Kuna Aapp inaitwa Ayoba kila nikiifuta nikiweka MB tu inarudi tena. Kuna muda nikiweka MB zinaisha faster kwasababu ya kujidownload kwa hizi apps. Wazee wa IT shida ni nini...
  4. Apps zinazohamasisha ushoga zifungiwe

    Zipo Apps mitandaoni zinahamasisha ushoga ambapo zinaunganisha watu walio eneo moja mfano Sinza. Ukiingia humo dakika 10 nyingi mtu anakuja na Bodaboda ulipo huku anahema juu juu na unapata wa kufukua mapema asubuhi. Wanachuo wanashinda humo
  5. Important Applications to have as a Blogger or Journalist

    ๐Ÿญ๐Ÿฌ ๐— ๐—ข๐—•๐—œ๐—Ÿ๐—˜ ๐—”๐—ฃ๐—ฃ๐—Ÿ๐—œ๐—–๐—”๐—ง๐—œ๐—ข๐—ก๐—ฆ ๐—˜๐—ฉ๐—˜๐—ฅ๐—ฌ ๐—•๐—Ÿ๐—ข๐—š๐—š๐—˜๐—ฅ ๐—ฆ๐—›๐—ข๐—จ๐—Ÿ๐—— ๐—›๐—”๐—ฉ๐—˜ ๐—œ๐—ก ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ3 These days blogging has quite changed from what it used to look like with new strategies adopted in content creation. In recent times you will have to do more than copywriting about the fact social media and digitalization have influenced...
  6. Naomba kujuzwa Apps nzuri ya kutunzia Documents

    Apps nzuri ya kuntuzia data Kisha ni unstall nikizihitaji ni zipate tena niki download.
  7. Mwenye kujua Apps nzuri ya music player msaada tafadhal

    Habar za usiku wananzengo!! Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza Kwayeyote mwenye kujua apps nzuri ya music player kwenye simu naomba anitajie tafadhali ili ni download niweze kuskiliza good music na mimi kwenye kijitambo changu
  8. Free Crypto Coin Mining Apps

    Bila shaka Neno crypto currency sio geni, miongoni mwetu coin maarufu ya BITCOIN ilianza mwaka 2009 ukiwa na thamani ya kutupwa lakini bada ya miaka kidogo ilifikia Hadi thamani ya $67,000. Dunia inaelekea huko hata hapa Kwetu TZ kuna fununu za miongozo kuandaliwa. Pia kuna wanadau Tayari...
  9. Njoo tujifunze namna ya kutengeneza Mobile Apps kwa Flutter

    Flutter ni moja ya Frameworks pendwa inayotumika kwa ajili ya kutengeneza cross platform applications. Kwa kutumia code base moja utaweza kutengeneza Apps kwa ajili ya Android, IOS, Mac OS, Windows, Linux na Web. Kutokana na ujuzi mdogo nilioupata nikaona sio vibaya nikianzisha uzi huu ili...
  10. WhatsApp imeanza kuweka mfumo wa Channels

    Namna ambavyo watumiaji wa WhatsApp wanaitumi app ya WhatsApp; itabadilika na soon WhatsApp itakuwa ni mtandao wa tofauti zaidi. Itakuwa ni sehemu ambayo sio lazima ukimaliza kuchat na rafiki yako kwenye WhatsApp, unafunga app ya WhatsApp na kufungua app ya Instagram ili kufahamu habari...
  11. Text to speech apps

    Habari za muda huu wanateknolojia Nikiwa kama mdau wa kusoma vitabu mbalimbali, ni kwa muda sas nimetafuta app inayoweza kuconvert texts to voice note ( hasa kwa pdf books) ili kurahish usomaji wangu niweze soma vitabu vingi kwa muda mfupi naomba kwa mwenye kufahamu App inayoweza kutumika...
  12. Instagram inaweka sehemu ya kurekebisha ujumbe wa DM

    App ya Instagram inaweka sehemu mpya ambayo itawezesha watumiaji kurekebisha ujumbe wa DM. Kwa sasa Instagram haina sehemu ya kurekebisha (edit) ujumbe katika sehemu ya DM. Endapo kama ukituma ujumbe, utaona hakuna sehemu ya ku-edit, sehemu ambayo ipo ni "unsend" ambayo inafuta ujumbe ambao...
  13. Je, unahitaji software ya kukusaidia kazi / biashara yako?

    Habari, Je unahitaji software yoyote katika kazi / biashara zako. Nipo hapa kukusadia kupata software yoyote unayotaka katika kukusaidia kazi / biashara yako. Software au program katika kifaa chako cha kazi kama kompyuta au simu. Nitajie sofware au kazi yako inayohitaji software maalum...
  14. WhatsApp itaweka sehemu ya "ku-edit message"

    WhatsApp itaweka mabadiliko ambayo kila mtumiaji alikuwa anatamani kuona sehemu hii mpya inawekwa. Kwa kawaida WhatsApp haina sehemu ya ku-edit message baada ya kuitumia. Mtu akikosea kuituma analazimika kuifuta message na kuandika upya. WhatsApp inafanya majaribio ya kuweka sehemu ya...
  15. Apple kuruhusu watumiaji kuweka Apps za nje ya App Stote

    Apple inalazimika kuruhusu watumiaji wa iPhone kuwa na uwezo wa kuweka app bila kutumia App Store ya Apple. Mabadiliko haya yatawezesha watumiaji wa iPhone ku-install app yoyote nje ya App Store. ๐Ÿ“ฒ ๐™†๐™ฌ๐™– ๐™ ๐™–๐™ฌ๐™–๐™ž๐™™๐™–, ukiwa unataka kuweka app kwenye simu ya iPhone, unalazimika kwenda katika App Store...
  16. Ni zipi alternative za playstore kwaajili ya kupublish na kudownload/kuinstall apps?

    Habari wakuu. Kwa android app. Ni alternatives zipi za kuchapisha na kupakua apps?
  17. Software ipi kwenye PC inaweza ikatumika kuhifadhi apps mbalimbali?

    Naomba kujua ni application ipi ni install kwenye PC yangu ili niweze k-run application mbalimbali kama vile whatspp, telegram nk
  18. Njia thabiti ya kujifunza programming ni kujaribu kutengeneza program

    Nataka niwakumbushe wale ambao wamesoma programming vyuoni lakini bado kwao programming imekuwa kama somo la nadharia tu. Njia pekee ya kujiendeleza katika programming ni uthubutu wa kutengeneza project ndogo ndogo. Wengi tunadownload games bure na tunaona kama wanaotengeneza vitu hivyo hawana...
  19. Natafuta mtaalam wa kutengeneza Apps/ Software

    Je wewe ni mtaalam wa kutengeneza apps/ software? Karibu tuwasiliane. 0687969981 0764255769
  20. Vidokezo (tips) kwa wanaotaka kujifunzakutengeneza apps

    1. Kwanza kuwa mpole, wala usipanic code zikizinguwa, hii ni kawaida. 2. Usiwaze kutengeneza app kubwa saaanaau yenye mambo mengi mapema. 3. Kutengeneza app ni kama ujenzi, usiwaze saaana kwamba utamaliza lini. 4. Usiwe msiri kuuliza unapokwama na wala usiwe msiri kusaidia wengine. Hata hivyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ