apps

  1. Jugado

    My phone is downloding certain Apps forcefully

    Dear members, I am using Tecno camon 17. This phone is a bit crazy. It downloads many apps by it self. Even when you uninstall the app it install it again. There is an app called SCOOPER NEWS. Every day I uninstall Scooper but the phone install it. Is this normal? Tecno acheni ulofa basi.
  2. Niache Nteseke

    Nawezaje Kuzuia/Ku-freeze System Apps Zisifanye Kazi Kwenye Simu?

    Habari wakuu. Natumai mpo sawa kabisa, naomba msaada kama kuna App au njia ya kuzuia system apps kama vile calls na sms apps zisifanye kazi kwenye Infinix note 10. Nimejaribu ku-freezer kwa app ya freezer ila umekataa inaandika not supported. Kwa anayejua hiko kitu naomba anisaidie tafadhali...
  3. KENZY

    Nawezaje kuona setting za VPN apps Kama manual VPN..?

    Mfano unatumia vpn app ambayo unabofya tu inajikonekti yenyewe,Sasa je Kuna namna ipi naweza pata data za hiyohiyo app na nikaziset mwenyewe manually..?? Msaada tafadhari.
  4. kali linux

    Ukiachana na VPN na TOR hii njia pia inaweza kukusaidia ku-access blocked sites au apps kwenye internet kwa kubadili DNS Servers

    Hello bosses....... Kuna muda matumizi ya internet yanabanwa kiasi fulani hivyo kufanya watu wengi waishie kutumia VPN. Japo matumizi ya VPN yanaonekana kuaminiwa sana ila kiukweli mara nyingi hizi free au cheap VPN haziko safe sana sana kwenye privacy yako kwa sababu wao wanapata browsing...
  5. adriz

    Hii imekaaje, lugha ya Kiswahili kutambulika kama lugha ya Kenya katika apps?

    Moja kwa moja.. Leo katika kuperuzi katika nikakuta adds ya app ya kujifunza kuongea kimalkia nikaamua kuipakua . Nimestaajabu kikivyokuja kipengele cha kuchagua lugha yako unayoitumia Kiswahili kukuta imewekewa bendera ya Kenya wakati Tanzania ndiyo wazungumzaji wa Kiswahili kwa asilimia...
  6. Eng Kimox Kimokole

    Upgrading Old Mac Computers to latest OSX Versions and New Apps (Kuhuisha Mac ya zamani kwenda OS na Program Mpya)

    Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia. Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu kadhaa kutoka kwa mafundi kwamba Computer zao zimepitwa na wakati na hivyo haziwezi tena kuingia...
  7. Eng Kimox Kimokole

    Upgrading Old Mac Computers to latest OSX Versions and New Apps (Kuhuisha Mac ya zamani kwenda OS na Program Mpya)

    Habari zenu wana Jamiiforums na wote wanaopenda kufahamu zaidi maswala ya teknolojia. Kwa walio wengi ambao ni watumiaji wa Mac Computers za zamani iwe ni PPC au Intel wamekutana na majawabu kadhaa kutoka kwa mafundi kwamba Computer zao zimepitwa na wakati na hivyo haziwezi tena kuingia...
  8. ukara

    Apps za kuulizwa maswali na kulipwa pesa zipo kweli?

    Natumaini nyote mmekuwa na siku njema. Niende moja kwa moja kwenye mada husika Nimeuliza swali kama kweli zipo mfano wake ni zipi?
  9. R

    Tatizo kudownload Apps Play store

    Habari Wakuu, Kwa siku tatu Sasa Simu yangu Tecno BC3 imekuwa na tatizo la kudownload Apps kwenye play store. Nikijaribu inasema pending tu. Nimejaribu solutions zote nilizopata mtandaoni isipokuwa factory reset bila mafanikio. Msaada tafadhali.
  10. KijanaHuru

    Habari njema kwa wanaohitaji application,website and desktop apps

    Kama kichwa kinavyoelezea hapo juu, Kwa upande wa Mobile Application iwe Android au iOS platform , Katika mifumo miwili hiyo hapo juu unaweza kujipatia App za mifumo App za kioffice App za majukwaa App za Biashara nk Pia katika maorodhesho hayo hapo juu inaweza kuwa ni Desktop App au Website...
  11. Simeone

    Java Apps

    Kisimu changu Itel It6910 kuna uwezekano nikatumia Facebook Lite au WhatsApp? Je, kuna uwezekano wa ku-update Java Version? Je, kwanini Apps nyingi zinagoma ila kwenye simu za batani zinakubali? Java AppStore gani yenye apps ambazo nitaweza kuzitumia kwenye simu h it6910? Pia Browser gani...
  12. The Boss

    Top ten apps Tanzanian made

    Tusaidiane kuzijua top ten apps ambazo ni Tanzanian made Juzi nimeona watu wameitaja Sarafu na siijui ni app inahusu nini? Hebu tuzitaje hapa Apps zote za Tanzania ambazo zina impact
  13. The Assassin

    Wadada acheni ushamba kwenye Dating Apps

    Kusema kweli nashindwa kuwaelewa mabinti/wadada wa Kitanzania (sio wote) kwenye mitandao ya kutafta mahusiano ama dating apps. Sijui ni ushamba ama ugumu wa kuelewa. Mitandao kama Tinder, Badoo, Hitwe, Tantan, Match.com, na mingineyo ni mitandao mahususi kwa datings na inaitwa kabisa dating...
  14. Abdul Ghafur

    Tunahitaji kuundiwa websites na Android Apps

    Ikiwa unaweza au unamfahamu yeyote mwenye yjuzi wakutengeneza website sna android apps zenye ubora na viwango vya juu, tuna kazi za haraka. Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar ipo mbioni kuanzishwa na inahitaji websites na apps. Taasisi itakuwa na vitengo visivyopungua 5 au zaidi...
  15. Abdul Ghafur

    Tunahitaji kutengenezewa website(s) na Android Apps.

    Ikiwa unaweza au unamfahamu yeyote mwenye yjuzi wa kuunda / kutengeneza website sna android apps zenye ubora na viwango vya juu, tuna kazi za haraka. Taasisi ya Kijamii ya Kiislaam iitwayo Abraar ipo mbioni kusnzishwa na inahitaji websites na apps. Taasisi itakuwa na vitengo visivyopungua 5 au...
  16. H

    Ni Apps gani za kupakua nzuri, best of the best huwezi kosa kwenye smartphone yako?

    heri nikose apps zote kwenye simu ila sio hizi mbili 🤣 🤣 🤣 🤣 apple music kwa ajili ya kusikiliza miziki amazon kindle kwa ajili ya vitabu labda naweza pata ya ziada apa
  17. dadeez

    Natafuta Designer Chipukizi mzuri wa Android Apps na IO's

    Kama Title inavyosema hapo juu, Natafuta Designer Mzuri mwenye kujiamini kwenye Area zifuatazo: 1. Android & IO's Apps Designing 2. Website na Graphics Designing 3. DataBase Sio lazima awe na uzoefu mkuuubwa kwa maana labda awe amefanya kazi na companies kadhaa au zinazotambulika hapana...
  18. Red Giant

    Kwanini tanzania hatuna apps store yetu?

    Ingependeza tuwe na sehemu ambako unazikuta app za kitanzania kwa wingi. Maana sehemu kama playstore ni vurugu tupu. App za kila aina. Pia tukiwa na apps store yetu ni rahisi kuweka vitu kama malipo kwa mazingira yetu. Kwanini hatuna apps store yetu?
  19. U

    Apps za kutuma pesa

    Naomba kujuzwa kuhusu hizi app za kutumia pesa toka ughaibuni kuja Tz. Nasikia kipindi hili cha uchaguzi zimezuiwa kwa muda kufanya kazi hapa Tanzania.
  20. T

    Thanks to Dating Apps, leo kutongoza imekua kazi rahisi sana, madomo zege mpewe nini zaidi?

    Miaka ya nyuma kutongoza was an art, na ilikua lazima uimudu hiyo sanaa uweze kupata ama kula watoto wazuri. Ilikua ni lazima uwe mtu wa maneno na vitendo. Miaka ya nyuma ukiwa domo zege wanawake utaishia kuwaona sokoni, madomo zege wengi waliishia kwenye punyeto maana hawakua na namna...
Back
Top Bottom