asha baraka

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    TCRA Mjibuni Asha Baraka, alifanya maombi ya leseni ya redio hajajibiwa hadi leo

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, tunawaomba jitokezeni na kumjibu mteja wenu aliyeomba leseni ya kumiliki kituo cha redio, kwa masikitiko makubwa hakujibiwa zaidi ya kuzungushwa kutokupewa sababu ya kunyimwa. Akihojiwa kwenye kipindi cha The Classic kinachorushwa na kituo cha EFM 93.7 Mhz Asha...
  2. Picha: Nyumba ya Asha Baraka yabomolewa na watu wasiojulikana eneo la Hanansifu jijini Dar

    Mkurugenzi wa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta', ambaye pia ni Mjumbe wa Nec CCM, Asha Baraka, akiwaka wakati akizungumza na mtandao huu jana jioni alipokuwa akisimamia zoezi la kuwazuia wabomoaji kutobomoa nyumba na vibanda vya wananchi katika eneo hilo la Hanansifu bila kufikia muafaka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…