Asilia Guillén (1887–1964) was a Nicaraguan folk artist, specializing in embroidery and painting.
Guillén was born in Granada, Nicaragua, into a patrician family. She received an education typical for a young woman of her station, learning embroidery and music among other subjects. She worked in embroidery for much of her artistic life, in line with the tradition of the bordados granadinos produced by the city of her birth. She took up painting at the age of sixty-five; once discovered by poet Enrique Fernández Morales, she took classes with Rodrigo Peñalba, at the time director of the School of Fine Arts in Managua. Early in her career she showed work at the São Paulo Art Biennial. In 1957 she was one of the six artists included in the group exhibition 6 Artists of Nicaragua organized by the Organization of American States; soon thereafter she was taken up by José Gómez-Sicre, who ensured that her work gained exposure in Latin America and further afield. Her paintings were shown at the Mexican Inter-American Bienal and in exhibits in Knokke and Baden-Baden, and in 1962 she exhibited eighteen works in Washington, D.C. in her first solo show; she visited under the auspices of the United States Department of State, and gained further international recognition as a result. Gómez Sicre commissioned another work from her in 1964, titled The Founders of the Americas Meet on the Islands of Lake Granada and designed for inclusion in the Central American and Panama Pavilion at the 1964 World's Fair. For a time Guillén lived at the Solentiname art colony, becoming acquainted with its founder, Ernesto Cardenal.Stylistically, the embroideries Guillén produced at the beginning of her career grew more elaborate as she developed, moving from traditional floral motifs to more complicated landscapes and historical scenes. Her paintings, which depict similar scenes, are known for their intricate detail. She drew much of her inspiration from the history and vistas of her native city. Two of her paintings, both oils on canvas, are owned by the Art Museum of the Americas; they are Rafaela Herrera Defends the Castle from Pirates of 1962 and Heroes and Artists Come to the Pan American Union To Be Consecrated of the same year.
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesema limeandaa mpango maalumu wa kuanza kusambaza nishati ya gesi asilia kupitia mabomba makubwa kwa lengo la kuwafikia wateja wengi katika mikoa mbalimbali nchini.
Mtaalamu wa idara ya mafuta na gesi kutoka TPDC, Mhandisi Eva Swilla amesema...
Tanza ikadiriwa kuwa na mita trilioni 230 za ujazo za gesi asilia, ingawa zilizothibitishwa mpaka sasa ni futi trilioni 57.5, hivyo kuiweka kwenye ramani ya dunia ikishika nafasi ya 82.
Gesi hiyo tayari imeanza kuzalishwa katika visiwa vya Songosongo wilayani Kilwa, mkoani Lindi na eneo la...
Ukweli ni kwamba, japo bei ya mafuta mwezi huu imetangwaza kushuka, bado wananchi hawataona tofauti ya maana katika bidhaa na wala hakuna uhakika kuwa huko mbeleni mafuta yataendelea kushuka kwani yanaweza kupanda pia.
Hivyo, kwakuwa bei ya bidhaa na huduma kwa kiasi kikubwa inachangiwa na bei...
Gesi Asilia ni nini?
Kwa mujibu wa tovuti ya “renovablesverdes”, Gesi asilia ni mafuta ambayo, kama makaa ya mawe au mafuta ya petroli, huundwa na hidrokaboni, mchanganyiko wa molekuli zinazoundwa na atomi za kaboni na hidrojeni. Utafiti wa kisasa wa kijiolojia umewezesha kugundua na kutumia...
(Ngono kinyume na maumbile kwa wanandoa au wachumba)
🎀
Tendo la ndoa au kufanya mapenzi ni jambo nyeti na muhimu sana kwa binadamu.
🎀
Ufanyaji mapenzi au kujaamiana hufanywa na wapenzi walio na wasio kwenye ndoa.
Wapenzi wengi hasa jamii ya kiafrika wanapitia changamoto nyingi sana hasa katika...
Moja ya majukumu yangu ni kuwasaidia wafiwa kuandaa nyaraka muhimu za mirathi na kuwapa ushauri ni namna gani wanaweza kulinda mali za wapendwa wao marehemu na haki za warithi wao kisheria pindi wanapokuwa wamefiwa ikiwemo ufunguaji na uteuzi wa wasimamizi wa mirathi.
Katika utendaji wangu huu...
Swali kubwa linaloibuwa mijadala miongoni mwa jamii ni kwa namna gani inawezekana kukidhi mahitaji ya muhimu ya ki-jamii bila kuathiri uwezo wa vizazi vijavyo kukidhi mahitaji yao wenyewe. Katika miaka ya hivi karibuni kumeshudiwa uharibifu mkubwa wa mazingira asilia katika nchi ukilinganisha na...
Wote tunafahamu jinsi gharama ya mafuta ya dizeli, petroli na ya taa yalivyo ghali.
Njia pekee ya kushusha gharama hizi ni kuanza kutumia gesi asilia kujaza kwenye magari yetu na hivyo tunaiomba DIT ifungue tawi hapo Mwanza ili wananchi wanaopenda kutumia gesi kwenye magari yao wapate huduma...
NBC is the oldest serving bank in Tanzania with over five decades of experience. We offer a range of retail, business, corporate and investment banking, wealth management products and services.
Job Summary
Participate in an internship programme in order to maximise individual and organisational...
Muhimu: Uzi huu hauhusishi matatizo ya nguvu za kiume, tayari kuna uzi wake maalum jukwaa la mapenzi
Huu ni uzi spesho wa mirejesho yetu tuliowahi kutumia tiba asili na zikatusaidia, yaani sisi ndio tuwe mashuhuda sio kukopi ma kupesti humu.
1. Nilikuwa nakula samaki ghafla kimfupa kikanikomea...
COMPANY NAME: ASILIA LODGES AND CAMPS LTD
POSITION: ASSISTANT CAMP MANGER
DEPARTMENT: FIELD OPERATIONS
REPORTING TO: FIELD OPERATIONS MANAGER
At Asilia we aim to be an organization that offers Better Experiences and Strong Positive Impact
We give people joy and...
Hivi karibuni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini ya makubaliano ya awali ya mkataba wa mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia na kampuni za Equinor ya Norway na Shell ya Uingereza.
Rais Samia amesema mradi huo ni wa kimkakati kwa nchi ambao utakapokamilika...
Na George Bura, Dar es Salaam
Juni 11, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, alishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya awali na kampuni kubwa za uchimbaji mafuta duniani zikiwemo Equinor na Shell kwa ajili ya utekelezaji wa ujenzi wa mradi wa uchakataji na...
11 Juni 2022
Dar es Salaam, Tanzania
Serikali ya Tanzania yasaini mradi wa thamani ya dola za Kimarekani 30 bilioni na mashirika makubwa ya Equinor la Norway na Shell la Uingereza kwa ajili ya ujenzi wa mitambo ya kuchakata gesi asilia yaani LNG (Liquified natural gas) ambao umeshuhudia na Rais...
Habari wakuu,
1.Tujuzane hapa kama unawajua waganga wa asili wanaotibu meno,hasa fizi kuvimba na maumivu makubwa ya meno.
2. Dentists wazuri.
3.Hospitali nzuri za meno.
4. Dawa nzuri ya meno.
5. Njia zilizokusaidia.
Mawasaliano yao na bei zao.
Dogo hapa ana shida ya haraka.
Habari ndugu,
kuna huu utaalamu wa Ufungaji wa mfumo wa gesi Asilia (CNG) kwenye Vyombo vya moto unaofanyika hapa Tanzania na DIT udsm-engineering (Sina uhakika kama kuna tasisi nyingine imeongezeka).
Naomba kufahamu kama kazi hii ni ruksa kufanywa na yeyote mwenye weledi huo au kuna Taasisi...
Dizeli oyee,
Katika kupambana na bei ya petroli kwenye pitapita nimeona gari zinauzwa zikiwa tayari na mfumo CNG kutoka Japan japo nyingi zinaonekana zinatumika kwa wingi na waitaliano, hizi haziwekwi mtungi ndani, nafikiri unakaa sehemu iliyotakiwa kukaa tank la mafuta.
Zina changamoto zozote...
Ili kupunguza gharama za maisha nilitegemea kipindi kama hichi viongozi washauri baadhi ya watanzania kutumia gesi asilia badala ya petrol kwenye magari.
Gesi asilia (CNG) ni nishati ambayo hutumiwa kama mbadala wa petroli kwenye magari. Vilevile hutumiwa kama mbadala wa dizeli pia.
Mfano...
Kuupanda mchongoma kushuka ndio ngoma
Rais Biden wa Marekani anajadiliana na kufikia makubaliano namna USA itavyowapelekea Ulaya cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia pengo lililojitokeza baada ya kuiwekea vikwazo Russia.
Source: BBC
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.