asubuhi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa asema uwekezaji wa bandari ya Malindi Zanzibar una ubadhirifu

    Feb 27, 2025 Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ndugu Ismail Jussa atazungumza na waandishi wa habari.Mahala: Ofisi Ndogo za Makao Makuu Vuga ZanzibarMuda: 5:00 Asubuhi https://www.youtube.com/watch?v=hETI2UkrNJ0 Jussa ameeleza kuwa lengo la mkutano huo ni kueleza kuhusu kashfa...
  2. Carlos The Jackal

    DC wa ILALA Asubuhi kaja na "HALA BI MKUBWA" akishirikiana na Mwijaku, Jioni anakuja na CCTV za zaidi ya Million 500 !!

    Mbwembwe za kumtumia Mwijaku na Yale Makamera, Lengo lake Sasa ni hili la CCTV Kwa zaidi ya Milion 500 . Hapo anajua Kamtekenya Mama, kwahiyo Hatoulizwa hiiii gharama vipi? Sawa ni Cameras, kuwepo na Center ya uchakataji wa Taarifa , bado Milioni 500? Jamaa anakula na Kupuliza. sOMA: Pre...
  3. Dialogist

    Hivi Uongozi Wa Taji Media, Hua Unasikiliza Kipindi Chao Cha Michezo Cha Asubuhi...???

    Wakuu Habarini... Wakati Hii Redio Inakuja, Ilianza Kwa Kishindo Sana Na Wengi Tukafurahi Kwamba Sasa Tunapata Uwanda Mpana Wa Kupata Habari Toka Vyanzo Na Redio Mbalimbali. Ila Kuna Mbinu Ambayo Waliitumia Kwa Kushawishi Na Kuiba Wafanyakazi Wenye Uzoefu Toka Redio Zingine. Ni swala zuri...
  4. The ice breaker

    Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi

    Wakuu Mpenzi wangu hapokei simu tangu asubuhi. I'm very sad
  5. Christopher Wallace

    Mwandishi mkongwe Abdallah Majura, ahoji kuhusu redio kujadili michezo asubuhi

    Mwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga. “Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo tu, lakini siamini kwamba Watanzania wote wanapenda michezo tu” Nafikiri Majura atakuwa...
  6. Roving Journalist

    Bunge la 12 Mkutano wa 18 Kikao cha Tano, Februari 3, 2025 asubuhi

    Wakuu Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Februari 3, 2025 linaendelea na mkutano wake wa 18 ambapo, pamoja na Kipindi cha Maswali na Majibu, linatazamiwa kujadili hoja za kamati. https://www.youtube.com/live/4i2z6c3WnZk Innocent Bashungwa - Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi...
  7. Friedrich Nietzsche

    Nimeamka asubuhi nimekuta shuka zina matone ya damu!! mpaka saizi najitafuta nilipoumia sipaoni?

    Wakuu kama niliposema! Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu. Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote. Sijawai tokwa damu puani. Mkoa ni kigoma. Napata sana wasiwasi Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
  8. Magical power

    Usisahau kuniamsha tu asubuhi kwasababu😀 nilimeshawishika nimekula alam kimakosa🙌🏿

    Usisahau kuniamsha tu asubuhi kwasababu😀 nilimeshawishika nimekula alam kimakosa🙌🏿
  9. Q

    LGE2024 Saa 12 asubuhi yamekutwa mabox matatu tayari yamejaa kura. Hii ndio Tanzania.

    https://x.com/godbless_lema/status/1861661004586983644
  10. Magical power

    Ratiba ya kesho Jumatatu 🌄 Asubuhi watu watakuwa nyumbani kwao tabata changombe. Mwili utatoka mochwali utapitiliza kanisani Hautafika nyumbani

    Ratiba ya kesho Jumatatu 🌄 Asubuhi watu watakuwa nyumbani kwao tabata changombe. Mwili utatoka mochwali utapitiliza kanisani Hautafika nyumbani Utaenda kanisani kwa ajiri ya ibada. Walio Nyumbani na watakao toka mochwali tutakutana kanisani, Baada ya ibada Ni safari ya kuelekea Tunduma kwa...
  11. B

    Cha asubuhi huwa ni kitamu!

    Iwe Missionary Style, Iwe style za Mapokeo ya Kishenyento! 👉 Cha asubuhi ni muhimu kwa afya ya akili, husaidia kufikiria mambo mapya unapoamka asubuhi. 👉 Cha asubuhi huongeza ukaribu na mwenza wako. 👉 Cha asubuhi hudumisha upendo. 👉 Cha asubuhi kinaweza kusaidia kusahaulisha na hata kusamehe...
  12. monta

    Jinsi nilivyonusurika kufa leo asubuhi

    Wakuu habari zenu. Leo ilikua siku yangu ya mwisho hapa duniani ni vile tu Mungu hakupanga.Ipo hivi 👎 Jana katika pitapita zangu humu j.f nikakutana na uzi ukisema juisi ya vitunguu swaumu na pilipili kichaa huongeza nguvu hasa ya tendo la ndoa. Kwakua mimi ni mtu wa kujaribu jaribu vitu...
  13. Magical power

    Asubuhi yote hii unamka umwache mtoto wa mtu mpweke amejikunyata kwa baridi hii unaenda wapi.

    Asubuhi yote hii unamka umwache mtoto wa mtu mpweke amejikunyata kwa baridi hii unaenda wapi. Hali ya hewa ilivyo tamu kwa... Hebu endelea kupata kumbato bana au huna uhakika ndio maana unataka ufanye usafi🙌🏿😀 Hebu rudi kulala, mkumbatie na kuengemee💕
  14. Magical power

    Mimi na mke wangu hatukua na maelewano usiku wa jana, na hata asubuhi ya leo kabla ya kuondoka kwenda kazini.

    Mimi na mke wangu hatukua na maelewano usiku wa jana, na hata asubuhi ya leo kabla ya kuondoka kwenda kazini, Kila mmoja bado alikua kamkasirikia mwenzie. Mimi na yeye wote tunafanya kazi mjini, na ni kawaida yetu kila siku kutoka pamoja kwenda kazini, tumekua ni watu wa kutaniana wakati wa...
  15. Roving Journalist

    Bunge la 12 Mkutano wa 17 Kikao cha Tisa, Novemba 8, 2024 Asubuhi

    https://www.youtube.com/watch?v=52E6JA0VI7c
  16. V

    KERO Treni ya mchongoko Dar-Dodoma imeharibika porini toka saa 2 asubuhi kati ya eneo la Pugu na Soga

    Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi. Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea. Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini. Chombo ni...
  17. GENTAMYCINE

    Tulizoea kila wakicheza na kushinda Asubuhi pale Kwao huwa wanaandaa Supu na Chapati je, baada ya leo Bikira Kuvunjwa na Mgambia itakuwepo Kesho au?

    Bikira ikiwa imenona kulingana na Urembo / Uzuri wa Mwanamke husika hakika ukiivunja tu huwa unasikia Utamu mno.
  18. Roving Journalist

    Prof. Kitila Mkumbo: Waliopinga DP World wajitokeze hadharani wakiri mafanikio

    https://www.youtube.com/watch?v=MBMd95jalzs Prof. Kitila Mkumbo aeleza mafanikio ya uwekezaji wa DP World na Mradi wa SGR Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -Mipango na Maendeleo, Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo, leo tarehe 01 Novemba 2024 amewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa...
  19. Roving Journalist

    Mbunge Mageni: Watu wengi wanaamini hakuna ajira Serikalini bila kuwa na ‘connection'

    https://www.youtube.com/watch?v=ECVGyl8jL60 Akizungumza wakati wa mjadala Bungeni kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa Bungeni Mwaka wa Fedha 2022/23, leo Oktoba 31, 2024, Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni amesema imekuwa kawaida kuona Ripoti hiyo...
  20. Melki Wamatukio

    SI KWELI Jua tunaloliona nyakati za mawio na machweo sio jua halisi

    Katika pitapita zangu nimekutana na hii situation ikijadiliwa kuwa wakati wa mawio hadi kufikia mida ya saa 2 na pia mida ya kuanzia saa 12 kasoro mpaka jua linapochwaa, hilo jua tunaloliona si jua halisi. Ni taswira tu Kuna ukweli wowote kwenye hili?
Back
Top Bottom