Feb 27, 2025 Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo
Zanzibar, Ndugu Ismail Jussa atazungumza na waandishi wa habari.Mahala: Ofisi Ndogo za Makao Makuu Vuga ZanzibarMuda: 5:00 Asubuhi
https://www.youtube.com/watch?v=hETI2UkrNJ0
Jussa ameeleza kuwa lengo la mkutano huo ni kueleza kuhusu kashfa...
Mbwembwe za kumtumia Mwijaku na Yale Makamera, Lengo lake Sasa ni hili la CCTV Kwa zaidi ya Milion 500 .
Hapo anajua Kamtekenya Mama, kwahiyo Hatoulizwa hiiii gharama vipi?
Sawa ni Cameras, kuwepo na Center ya uchakataji wa Taarifa , bado Milioni 500?
Jamaa anakula na Kupuliza.
sOMA: Pre...
Wakuu Habarini...
Wakati Hii Redio Inakuja, Ilianza Kwa Kishindo Sana Na Wengi Tukafurahi Kwamba Sasa Tunapata Uwanda Mpana Wa Kupata Habari Toka Vyanzo Na Redio Mbalimbali.
Ila Kuna Mbinu Ambayo Waliitumia Kwa Kushawishi Na Kuiba Wafanyakazi Wenye Uzoefu Toka Redio Zingine. Ni swala zuri...
Mwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga.
“Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo tu, lakini siamini kwamba Watanzania wote wanapenda michezo tu”
Nafikiri Majura atakuwa...
Wakuu
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Februari 3, 2025 linaendelea na mkutano wake wa 18 ambapo, pamoja na Kipindi cha Maswali na Majibu, linatazamiwa kujadili hoja za kamati.
https://www.youtube.com/live/4i2z6c3WnZk
Innocent Bashungwa - Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi...
Wakuu kama niliposema!
Najiuliza yametoka wapi bado sina majibu.
Silali na mtu hajaingia mtu chumbani kwangu Sijaumia popote.
Sijawai tokwa damu puani.
Mkoa ni kigoma.
Napata sana wasiwasi
Yaan kifupi hamna namna ambayo inanipa jibu matone yametoka wapi
Ratiba ya kesho Jumatatu 🌄
Asubuhi watu watakuwa nyumbani kwao tabata changombe.
Mwili utatoka mochwali utapitiliza kanisani Hautafika nyumbani Utaenda kanisani kwa ajiri ya ibada.
Walio Nyumbani na watakao toka mochwali tutakutana kanisani, Baada ya ibada Ni safari ya kuelekea Tunduma kwa...
Iwe Missionary Style, Iwe style za Mapokeo ya Kishenyento!
👉 Cha asubuhi ni muhimu kwa afya ya akili, husaidia kufikiria mambo mapya unapoamka asubuhi.
👉 Cha asubuhi huongeza ukaribu na mwenza wako.
👉 Cha asubuhi hudumisha upendo.
👉 Cha asubuhi kinaweza kusaidia kusahaulisha na hata kusamehe...
Wakuu habari zenu.
Leo ilikua siku yangu ya mwisho hapa duniani ni vile tu Mungu hakupanga.Ipo hivi 👎
Jana katika pitapita zangu humu j.f nikakutana na uzi ukisema juisi ya vitunguu swaumu na pilipili kichaa huongeza nguvu hasa ya tendo la ndoa.
Kwakua mimi ni mtu wa kujaribu jaribu vitu...
Asubuhi yote hii unamka umwache mtoto wa mtu mpweke amejikunyata kwa baridi hii unaenda wapi. Hali ya hewa ilivyo tamu kwa...
Hebu endelea kupata kumbato bana au huna uhakika ndio maana unataka ufanye usafi🙌🏿😀
Hebu rudi kulala, mkumbatie na kuengemee💕
Mimi na mke wangu hatukua na maelewano usiku wa jana, na hata asubuhi ya leo kabla ya kuondoka kwenda kazini, Kila mmoja bado alikua kamkasirikia mwenzie.
Mimi na yeye wote tunafanya kazi mjini, na ni kawaida yetu kila siku kutoka pamoja kwenda kazini, tumekua ni watu wa kutaniana wakati wa...
Imetoka Dodoma saa 12 kamili asubuhi.
Tangu saa mbili asubuhi, treni imekwama. Sasa inaenda saa 7 mchana, na hakuna matumaini ya kuendelea.
Treni iko kilomita 45 kutoka Dar, porini. Wengine wanashuka na kupanda boda; wanaenda wapi, sijui. Tangazo la TRC linasema mafundi wapo kazini.
Chombo ni...
https://www.youtube.com/watch?v=MBMd95jalzs
Prof. Kitila Mkumbo aeleza mafanikio ya uwekezaji wa DP World na Mradi wa SGR
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -Mipango na Maendeleo, Mheshimiwa Prof. Kitila Mkumbo, leo tarehe 01 Novemba 2024 amewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa...
https://www.youtube.com/watch?v=ECVGyl8jL60
Akizungumza wakati wa mjadala Bungeni kuhusu Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa Bungeni Mwaka wa Fedha 2022/23, leo Oktoba 31, 2024, Mbunge wa Sumve, Kasalali Mageni amesema imekuwa kawaida kuona Ripoti hiyo...
Katika pitapita zangu nimekutana na hii situation ikijadiliwa kuwa wakati wa mawio hadi kufikia mida ya saa 2 na pia mida ya kuanzia saa 12 kasoro mpaka jua linapochwaa, hilo jua tunaloliona si jua halisi. Ni taswira tu
Kuna ukweli wowote kwenye hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.