atc

Air traffic control (ATC) is a service provided by ground-based air traffic controllers who direct aircraft on the ground and through controlled airspace, and can provide advisory services to aircraft in non-controlled airspace. The primary purpose of ATC worldwide is to prevent collisions, organize and expedite the flow of air traffic, and provide information and other support for pilots. In some countries, ATC plays a security or defensive role, or is operated by the military.
Air traffic controllers monitor the location of aircraft in their assigned airspace by radar and communicate with the pilots by radio. To prevent collisions, ATC enforces traffic separation rules, which ensure each aircraft maintains a minimum amount of empty space around it at all times. In many countries, ATC provides services to all private, military, and commercial aircraft operating within its airspace. Depending on the type of flight and the class of airspace, ATC may issue instructions that pilots are required to obey, or advisories (known as flight information in some countries) that pilots may, at their discretion, disregard. The pilot in command is the final authority for the safe operation of the aircraft and may, in an emergency, deviate from ATC instructions to the extent required to maintain safe operation of their aircraft.

View More On Wikipedia.org
  1. M24 Headquarters-Kigali

    KQ yaongeza route NBO-Gatwick Vs ATC?

    Majirani zetu sasa wameongeza route ya Nairobi - Gatwick, London, UK. Kama nyongeza kwa Ile ya route ya awali NBO-LHR. Nairobi - Gatwick - J5, Ijumaa na j2
  2. M24 Headquarters-Kigali

    Ajali ya Azerbaijan Airlines iwe somo kwa ATC!

    1. Nianze kwa kuwapa pole wafiwa na majeruhi wote katika ajali ya Azerbaijan airlines iliyotokea jana huko Kazakhastan. 2. Natumaini ni somo tosha kwa ndege pendwa ATC kuzingatia hatua zote za usalama (kabla ya safari) Isije kuwamwaga watu huko milima ya Uluguru na hatuna bimbo vya uokozi sijui...
  3. M24 Headquarters-Kigali

    ATC ya saa 5 usiku JRO-DAR tunaondoka saa 9 alfajiri?

    1. Tumelala KIA(JRO) baada ya ndege yetu ya saa 5 usiku kucheleweshwa mpaka saa 9 na nusu alfajiri. 2. Domestic flights mtu unalala airport Karne hii? Mwezi uliopita Mwanza-Dar delay masaa 12 no apology na hakuna anayejali. 3. ATC ina CEO/MD? NB: European Union wana kila sababu kuipiga pini...
  4. G

    ATC kuzuiwa kutumia anga la nchi za EU, vyombo vya habari vimezibwa mdomo tena?

    Habari ya shirika letu la ndege kuzuiwa kutumia anga la nchi za Ulaya ni habari kubwa sana. Kwa mshangao mkubwa sijaona wala kusikia chombo chochote cha habari cha ndani kuripoti habari hii. Kumbe udanganyifu wa watawala hauishii kwenye uchaguzi tu
  5. Donkey

    ATC Anzisheni haraka route ya Dar to JFK New York USA

    Shirika la ndege Tanzania- ATC Anzisheni haraka safari za kutoka Dar/Kilimanjaro kwenda JFk New York USA, sababu Kuna abiria wengi sana Toka USA kuja Tanzania. Changamkeni
  6. I

    Omary Mjenga: Gharama za Gulf Stream kwenda Rio de Janerio Brazil ni mara 7 ya Dreamliner ya ATC

    Hakika hawa machawa wa mama Kizimkazi wanatuona Watanzania bado ni wajinga sana! Omary Mjenga ni mwanadiplomasia Mwandamizi na Mtendaji Mkuu wa National Defense College leo ametetea Rais Samia kutumia ndege ya ATC aina ya Boeing Dreamliner yenye uwezo wa kubeba zaidi ya abiria 100 kibiashara...
  7. Mparee2

    Kwa nini ATC haiongezi ndege ARS/JRO weekend?

    Hivi ni kweli hatuna ndege za kufanya safari za ndani? Nauliza hivyo kwa kuwa, kila wiki Ijumaa hadi Jumatatu huwezi kupata ndege ya Arusha au JRO to Dar labda ukimbizane na hivi vicaravan (C208) vya watu 10 wakati huo huo, ATC inalalamika haina biashara. Utashangaa vi Caravan zaidi ya 15...
  8. Tulimumu

    Nikikumbuka Mabasi ya Mwendokasi, TAZARA, TRC, KAMATA, UDA, ATC, makampuni ya usafiri ya mikoa KAUDO, KAUMA, KAURI nk sina Imani na SGR

    Wakuu. Hii SGR imeanza kwa mbwembwe nyingi kama zilivyoanza kampuni nilizozitaja hapo juu zikisimamiwa na serikali kama DART ambayo ilianza kwa mbwembwe nyingi kama SGR ikuwa na mabasi ya kisasa yenye kamera, screen, mike zikifanya kazi na mpangilio mzuri wa tiketi hadi kutumia kadi na simu...
  9. Mad Max

    Wanafunzi wa ATC waja na uvumbuzi wa kujenga barabara za makaratasi, mizani isioonekana na wireless electricity

    Wanafunzi kutoka Chuo cha Ufundi Arusha (Arusha Technical College ATC) wamekuja na uvumbuzi utakaotumia takataka karatasi katika ujenzi wa barabara. Haijaishia hapo tu, ila pia kutakua na mizani isioonekana chini ya izo barabara za makaratasi, na pembeni hakutakua na nguzo za kupitisha umeme...
  10. M

    Prospectus ya Arusha Technical College (ATC)

    Nimewahi kuomba namna ya kuipata prospectus ya chuo cha ATC lakini sijapata msaada na bado naihitaji. Pamoja na kuendelea na ombi langu ila najiuliza kwa nini chuo cha ATC hawaweki prospectus yao kwenye website yao wakati vyuo vingine vinavyotoa elimu ya juu vinafanya hivyo?
  11. FaizaFoxy

    ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

    Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza. ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena. Reli ya kati na TAZARA...
  12. Mparee2

    Ushauri wa bure kwa ATC

    Baada ya shirika letu pendwa kuendelea kushusha vyombo (madege mapya na ya kisasa) ni wakati sahihi wa Kuajiri Marketing Manager Mzungu na pengine Ops Manager. Wenzetu wapo smart sana, anapewa malengo asipofikia anaondoka, tunaleta mwingine hadi kieleweke.... (Ila asiingiliwe mipango yake na...
  13. NostradamusEstrademe

    ATC Rekebisheni hili kabla hapajawa jioni

    Kampuni yetu pendwa yenye ndege tulizonunua wenyewe kwa kodi zetu kuna mambo inatakiwa warekebishe kidogo ili waende sambamba na ushindani wa kibiashara. 1.Kuambiwa ndege imeahirisha safari au itachelewa kuondoka kwao ni jambo la kawaida 2.Ndege hata kama imeahirishwa hawana utaratibu wa...
  14. H

    Ndege moja ATCL kwa safari za Arusha-Dar ni sababu zilizopo hazitoshi?

    Hivi ni kweli kuwa Airtanzania hawana ndege? Kiasi kwamba wanaweka kandege kamoja tu Arusha to Dar hata siku busy kama Ijumaa?
  15. JanguKamaJangu

    ATC yahitimisha mafunzo kwa Wakaguzi wa Magari, waonyesha umahiri katika Teknolojia ya ukaguzi magari

    Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) kimehitimisha mafunzo ya ukaguzi wa magari kwa askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini ambacho kilihusisha wakuu wa kikosi cha usalama barabarani na wakaguzi wa magari (vehicle inspectors) kote nchini ambacho kilianza februari 19 hadi 20 mwaka huu katika chuo...
  16. and 300

    Rwandair anatua DOH, DXB,JHB, CPT, LOS, ACC, EBB Vs ATC?

    Rwandair wanatua destinations za mashiko kibiashara 1. London Heathrow, 2. Brussels, 3. Paris, 4. Dubai, 5. Doha, 6. Mumbai, 7. Lagos, 8. Douala, 9. Libreville, 10. Accra, 11. Dar, 12. Entebbe, 13. Nairobi, 14. Kilimanjaro, 15. Johannesburg, 16. Cape Town, 17. Lusaka, 18. Harare...
  17. Mparee2

    Haiwezekani Air Tanzania iwe na ndege inayotoza Tsh. 100,000/- kwa safari za ndani?

    Hivi haiwezekani ATC iwe na ndege ambayo kwa mfano itacharge shs 100,000/- kwa safari za ndani ya nchi na iwe maalum kwa viwanja vyenye abiria wa kujaza ndege. Mfano: Mwanza, Kigoma, Kilimanjaro, Arusha, Dodoma (hata mara 4 kwa siku). Mbadala wake, waruhusu mabasi yatembee usiku; namaanisha...
  18. Jidu La Mabambasi

    ATCL, Airline in Total Confusion!

    Je, umesafiri kwa ndege za ATCL hivi karibuni? Basi utakumbana na madudu ambayo yalikuwepo miaka takriban 20 iliyopita. Schedules za ndege ni kizungumkuti. Unaweza kusubiri ndege airport utafikiri unasubiri basi la kwenda Igunga. Ndege kuchelewa kuondoka kwa masaa 3 hadi 4 sasa ni jambo la...
  19. K

    Ndege ya Saudia kuja Tanzania ni habari nzuri kwa taifa, Sio mbaya kwa ATC

    Watanzania ni lazima waeleweshwe vizuri. Biashara ya Ndege haina faida. Biashara ya Ndege ya ATC faida yake ni kusaidia biashara nyingine muhimu kama utalii na mizigo kama ya kilimo, Maua na mifugo. Sasa kuna wasomi wengi nashangaa wana lalama eti ndege ya saudi ambayo itakuja kuchukuwa mizigo...
  20. Next Elon Musk

    Ni Chuo kipi kati ya UDOM, COICT, IFM, ATC, RUCU, Mzumbe na AIA kiko vizuri kwenye Computer Science field, practical na theory?

    Nimemaliza diploma kutoka college ja ndoto zangu ziko in computer science najua programming languages kadhaa inshort najua field hii inataka nini. Ila changamoto ni chuo kipi kitanifaa kwa level yangu na kunipa chance ya kula explore deeper in the field.
Back
Top Bottom