Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa, makala ya Leo ikiwa ni makala ya swali la hypothetical question (swali la kufikirika), Kwa njia ya "thinking aloud", yaani unawaza kwa sauti.
Hii ni makala mwendelezo wa makala hii Hongera Rais Samia, Kwenda US, Kuhutubia UN...
Hi there!
Do you remember our history. Here is a story written 27 years ago:
Tanzania Jet Hijacked; 2 Are Reported Killed
Published: February 27, 1982
Hijackers demanding the resignation of President Julius K. Nyerere of Tanzania seized a Tanzanian jetliner with more than 90 passengers...
Binafsi najua kwamba kuna chnagamoto ya Korona ila hata kabla ya hapo bado changamoto zilikuwepo.
Tuyashauri mashirika ya ndege likiwemo la kwetu hapa nyumbani
Ushauri wangu;
1. Natamani mashirika ya ndege kwanza yajenge imani Nyumbani. Namaanishe Yafanye kazi kwenye route zenye uhakika na...
3.0.1 JOB TITLE: INSTRUCTOR II – 2 POSTS
3.0.3 JOB TITLE: MECHANICAL ENGINEERING DEPARTMENT – 1 POST
3.0.2 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To teach up to NTA level 6 and may assist teaching in higher NTA levels;
ii. To assist in conducting tutorial and practical exercises for students under...
Nimesoma gazeti moja la kimataifa linalo ongea kuhusu mashirika ya ndege na kuja kushitukizia kuwa swissport ndio inayo endesha shirika kutokana na changamoto zilizo kabili shirika. Naomba mwenye habari hizi atuelemishe zaidi.
Story hii ni ya Jan 2020...
Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall.
#MkutanoMkuuACT2020
#KaziNaBata
#TheFutureIsPurple
=====
UPDATES
======
#UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR
- Chama hicho...
ZITTO KABWE alifukuzwa CHADEMA kujiunga ACT Wazalendo.
MAALIM SEIF aliondoka CUF kujiunga ACT Wazalendo
BERNARD MEMBE alifukuzwa CCM kujiunga ACT Wazalendo
Je, majeruhi hawa wa kisiasa ndio chanzo cha umaarufu wa ACT Wazalendo?
Zitto Kabwe
Majina mawili ya wanasiasa ndani ya chama cha...
Wenzetu Kenya Airways wametonywa, ndege zao ambazo hazijaruka hewani muda mrefu, watalazimika kuzipeleka service nzito, ama sivyo kuna hatari ya engine zake ku- stall (kuzima) hewani.
Kwa hiyo Air Tanzania vile vile wauchukue mtonyo huo na kuufanyia kazi.
US issues safety alert for 10 KQ Boeing...
Naona ATCL wameamua kwamba wataenda China kupitia Bangkok, Thailand Bangkok. Njia hii ina ushindani sana, haitakuwa na faida kwao kupitia Bangkok na kushindana na mashirika makubwa ambayo yameweka mizizi sana kwenda au kupitia Bangkok pamoja na Ethiopian Airways and Kenya Airways.
Ninawashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.