Wanabodi,
Japo hoja hii inge fit best kwenye Jukwaa la Habari Mchanganyanyiko, lakini kwa vile hii ni issue ya political economy ya uchumi wa nchi, nimeshuka nayo kwenye Jukwa la Siasa.
Naomba nianze na declaration ya uzalendo, mimi ni mdau mkubwa wa Shirika letu la Ndege, ATCL, hivyo...
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania;
Wiki moja baada ya kutangazwa matokeo, shirika la ndege la ATCL pamoja na mamlaka ya hifadhi ya TANAPA ina nini cha kuwapa wanafunzi 10 bora (waliofanya vizuri) katika mitihani ya darasa la saba kwa mwaka...
Baada ya nchi za Zimbabwe, Uganda na Zambia kufungua anga zao zilizofungwa sababu ya Corona
Shirika la Ndege la ATCL laanza safari zake za ndege kwenda Entebbe, Harare na Lusaka
Karibuni tupae na Ndege alizotununulia Dkt. Magufuli
Ndugu wanajumuiya ya ATCL Kuna mapungufu makubwa kwenye upande wa kitengo kidogo Cha Parcels(vifurushi)kwenda mikoani,kwani wahusika siyo waaminifu kabisa asilimia kubwa ya mapato mengi yanaenda mifukoni mwa watu.
Kwa mfano:hapo nje departure karibu na sales office Kuna vijana madalali wa hizo...
Huko majukwaani tunasikia mengi, lakini mengine nadhani yanafanywa kwa makusudi ya kutafuta kura. Inawezekana ikawa ndio maana halisi ya kampeni kwa tafsiri yetu ya Kibongo tu.
Ukimsikiliza Lissu anasema hakuna mbunge hata mmoja anayejua hata fedha zilizotengwa kununua hizo ndege. Hiyo ndiyo...
Tunayo Shirika letu la Ndege la ATCL na sasa hivi kwa safari za humu nchini haina ushindani kabisa kwa lugha ya kimombo ina (monopoly). (1) Kwanza nianze na gharama zao mfano Mwanza mpaka Dar.
Gharama zao ni kubwa sana na kama ndege zilinunuliwa kwa ajili ya watanzania kwa nini sasa manufaa...
Overview
Air Tanzania Company Limited (ATCL) is in the process of revamping its operations and has introduced new equipment to its fleet as part of implementation of its five years Corporate Strategic Plan (2017-2021). In line with this expansion, the company is also making some reforms in its...
Jana Rais wa Ghana ametangaza kuruhusu safari za ndege za kimataifa na kuruhusu kufunguliwa kwa uwanja wa ndege wa Accra, na wiki ijayo China nao watafungua anga lao.
Kuna wanafunzi wengi wa Africa waliokuwa wanasoma China wanajiandaa kurudi shule, wafanyabiashara wengi mzigo hawana wanajiandaa...
Nimeona ujumbe wa upotoshaji unaozungushwa kwenye mitandao ya kijamii ulioandikwa na Godsen Malisa kuhusu suala la ndege ya ATCL kuja China kuwachukua wanafunzi. Nimeona nitoe ufafanuzi ili umma uwezi kufahamu ukweli na kuachana na upotoshwaji unaofanywa kwa agenda anazozijua mwandishi mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.