atm

ATM usage fees are the fees that many banks and interbank networks charge for the use of their automated teller machines (ATMs). In some cases, these fees are assessed solely for non-members of the bank; in other cases, they apply to all users.
Two types of consumer charges exist: the surcharge and the foreign fee. The surcharge fee may be imposed by the ATM owner (the deployer or independent sales organization) and will be charged to the consumer using the machine. The foreign fee or transaction fee is a fee charged by the card issuer (financial institution, stored value provider) to the consumer for conducting a transaction outside of their network of machines in the case of a financial institution.

View More On Wikipedia.org
  1. Kwa huduma ya CRDB cardless endapo hujatoa pesa atm, transaction itaexpire kwa mda gani pesa irudi kwenye account?

    Habari ndugu zangu, niliokosea kutoa pesa kwa njia ya crdb cardless kwa kutaka kutoa 137000, kumbe ni lazma uweke katika figures za 10000, je ili pesa irudi itatumia muda gani kufika.
  2. Walinzi ndani ya vyumba vya mashine za ATM

    Hivi ni kwa nini haya mabenki Tanzania yanaruhusu walinzi wa vyumba vyenye ATM machine wajilaze ndani ya vyumba hivi vidogo? Ukiingia kunakuwa na hewa nzito na jamaa wanakukodolea macho kwa huruma. Hivi hawawezi wajengea vibanda vidogo pembeni?
  3. Kuweka mashine ya kutolea pesa jirani na baa ni kusabaishia matatizo watu

    Mtu anajikuta anatengua bajeti na kwenda kunyogoa mzigo. Hii inasababisha watu kutungua mzigo ambao haukupangwa kutumika siku hiyo. Watu wengine wana mauzi na dharau husababisha kulazimika mtu kwenda kutoa mzigo ili ule masanga kwa hasira.
  4. Benki ya Equity kuweni makini, ATM hazitoshi

    Hi! kwa wana Jf wote, I hope mnaendelea vyema kabisa. Kwa wanaopitia mikikimikiki na vigingi tuzidishe duha M/Mungu atusaidie. Tusichoshane niende straight kwenye heading ya hapo juu. Benki ya Equity licha yakiwa na huduma nzuri lakini kuna mambo wanafeli mno. Imagine Mbeya nzima wana sehemu...
  5. Kuna haja mabenki kuweka ATM mpaka vijijini

    Kodi ya mshikamano italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya uchumi. Wakati benki ilikuwa ikionekana kama njia isiyo rafiki miongoni mwa Watanzania wengi, sasa inaonekana kuwa tiba mujarab kwenye miamala ya kifedha hasa kutuma na kupokea. Miamala ya kawaida ya kuhamisha fedha (ndani kwa ndani...
  6. Benki zapewa siku tatu kurejesha vitakasa mikono katika ATMs

    Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesisitiza miongozo yote iliyotolewa kwa umma kujikinga dhidi ya maambukizi ya Virusi vya CORONA (COVID - 19), izingatiwe. Mkurugenzi wa Idara ya Kinga wa Wizara hiyo, Dkt. Leonard Subi amesema Tanzania ni salama hata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…