audio

  1. Yericko Nyerere

    Audio: Mahojiano yangu ya Radio Inland, Dunia yetu, Matarajio ya hotuba ya Rais kesho

    Mahojiano yangu ya Radio Inland, Idhaa ya Kiswahili kuhusu Hotuba ya Rais Kesho na matarajio. Na Yericko Nyerere
  2. SEASON 5

    Kuna uwezekano wa kurekodi video kwenye simu huku Audio ikiendelea ku play in background?

    Naombeni msaada ndugu zangu,natumia samsung s6 edge plus,tatizo nililo nalo ni wakati wa kirekodi video huwa natamani audio iwe ina play lakini matokeo yake nikiplay audio Nikigusa video record Ile audio ina acha kuendelea kuimba. Hii inanifanya nashndwa kucheza huku nikijirekodi,nataka...
  3. D

    Toyota IST... ikiwa kwenye silencer, unasikika mlio wa 'kugonga

    Wataalaamu wa magari, Sikiliza audio ya silencer kama nilivyoirekodi kwenye engine ya Toyota IST. Kuna mlio wa 'kugonga' hivi kwenye engine. Asubuhi napowasha gari hamna shida, silencer inakuwa normal and smooth. Lakini jioni au usiku naposimama na kuweka 'P', silencer inakuwa inasikika hivyo...
  4. Nafaka

    Watalaam wa audio recording na sound engineers, je huu mziki umerekodiwa kwa vyombo live?

    Eti huu wimbo, unaweza kuwa umerekodiwa wakati wa kuteneneza video? Yani hii video na audi vimefanyika wakati mmoja, vyombo vikipigwa live kama inavyoonekana. Au ni kwamba wamerekodi video wakaimba ila audio ikawa replaced na audio waliosharekodi kwenye studio. Napenda huyo mpiga drum...
  5. crankshaft

    New music audio Zuchu ft Diamond Platnumz

    Available in all digital platforms isikilize halafu leta maoni yako hapa Personally nimependa sana ubunifu wa Diamond platnumz kutumia current situation pale anasema "Tena wasipoteze muda kwa kura zao za kata,mi ndo kamati kuu hapa jimbo umepata." All in all nyimbo ni nzuri
  6. N

    Namna ya ku-download (kupakua) Audio kutoka AudioMack

    Naomba msaada namna ya kupakua/Kudownload audio kutoka Audiomack to MP3 file tofauti na IDM.
  7. F

    Ukisikiliza audio ya kocha wa Yanga, ameongea ukweli mtupu. Uongozi wa Yanga haupendi kuambiwa ukweli

    Habari wadau, Nimesikiliza Audio ya kocha wa Yanga maneno aliyoyasema ni ya kweli tupu. Mimi ni mwanayanga ila sijasikia sehemu akitutukana. Viongozi wa Yanga wameibadilisha tafsiri ya maneno ya kocha ili walinde vibarua vyao na kujitetea maovu yao kwa mashabiki. Kocha amesema anashangaa...
  8. mathsjery

    Nimeeleza hapa kuhusu kubadili video yoyote kuwa audio

    kuna jamaa kaniuliza kuhusu software inayoweza kubadili video kuwa audio, huyu jamaa anajiita EINSTEIN112 kwa hiyo nimeona nifungue huu uzi hapa. Kwa kuwa kule kulikuwa na uzi unaohusu mambo mengine. Karibu we jamaa. Ndugu, Nafikiri kuna software kibao ziko sokoni kwa ajili ya kazi hiyo...
  9. P

    Audio Battle: Ipi bora kati ya nyimbo hizi?

    StarBoy Wizkid__Joro vs Davido__Risky Kama umewahi kusikiliza hizi mbili ipi kali zaidi kwa upande wako?
  10. chiembe

    Wizara ya Elimu imeshindwa kuandaa audio na video ya vipindi vya masomo mbalimbali?

    Karne hii ya kidigitali wizara hii inafanya ? Vifaa vipo, walimu wapo wa kurekodi, nini shida? Kwa kila topiki tena na nyenzo za kufundishia Hii Wizara iamke usingizini
  11. Kiyoya

    Software gani nitume kukonvert audio tape kwenda digital

    Wataalam habari zenu ninaaudio tape za miaka hiyo natafuta namna gani huu music naweza weka ktka digital.
  12. Mr Why

    Audio Mpya

    Hello nimewaletea Audio Mpya hebu tusikilize alafu mtoe mawaidha yenu.
  13. Mr Why

    Tanzania Yapata Mwanamziki Mpya

    Tanzania yapata Mwanamuziki Mpya. Hayo yametokea hivi karibuni baada ya Mwanamziki huyo Paw Sixs wa miondoko ya Pop kuachilia kibao chake cha "Ooh" Sasa unaweza kusikiliza kibao chake
Back
Top Bottom