awamu ya tatu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Hizi ndio taasisi zilizoanzishwa na Hayati Benjamin Mkapa. Umejifunza nini?

    Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa; 1. TAA 2. TCRA 3. PPRA 4. BRELA 5. EWURA 6. TACAIDS 7. SUMATRA 8. TANROADS 9. TAKUKURU 10. TRA. 11. MKUKUTA. 12.MKURABITA. Awamu ya sita ni 👇🏾 1. Samia Legal Aid 2. Goli la Mama 3. Samia App 3. Kazi Iendelee 4...
  2. Orodha ya matukio, vimbwaga na maamuzi yalioyotolewa wakati wa awamu ya Tatu ya Benjamini Mkapa

    Tiririka hapa tuyakumbuke maana ni muda wa watu kiongoza na watatuongoza milele Ungependeza ungekuwa utawala wa awamu ya kwanza - Sikuwepo (Nilisimuliwa) Ungependeza ungekuwa utawala wa awamu ya Pili - Nilikuwa Mdogo (Nikasimuliwa) Ukweli na Uwazi!
  3. Inawezekana kipindi cha Mkapa ndio ujambazi mkubwa ulitamalaki

    Nadhani IGP alikuwa Omary Mahita aliyekuwa na kashfa nyingi za kushirikiana na na baadhi ya Majambazi Kuna lile tukio la 2006 la uvamizi wa gari la NMB lililokuwa limebeba pesa.. Hili si la Mkapa lakini ni mabaki yake Tukio lile la CRDB Nyerere road wale wandava waliingia saa mbili asubuhi na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…