Habari watanzania wote.
Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kilivyo.
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna media zimeanza propaganda ambayo wao wanafikiri hatujui hesabu zao na kilichopangwa nyuma yao.
Naombeni niwaambie ukweli, yule maulid anaweza kusamehewa, lakini nyie...