ayo

  1. Christopher Wallace

    Tetesi: Millard Ayo afunga ndoa kimya kimya

    Kuna tetesi mjini kuwa Millard Ayo ameamua kufunga ndoa kimyakimya bila kelele wala nini. Na kuna mdau amenambia Millard kwasasa hata hasikiki kwenye kipindi chake cha Amplifaya, pengine kuna ukweli, unampa neno gani Millard?
  2. C

    Juma Ayo: kanjanja anayejiita mchambuzi pale Times FM

    Yaani kama vile jamii ya Tz kwa sasa ilivyokumbwa na wimbi la kutisha la machawa pro max basi kuna hawa viumbe wanaojiita wachambuzi , kwa kweli ile sheria ya degree ianze tu hiyo December labda itapunguza vilaza waliojazana huko wakijipa majina ya soccer pundits Simba ilipopigwa hamsa hamsa...
  3. The Mongolian Savage

    Millard Ayo: Bilionea mstaarabu

    One of the richest bloggers in Africa Forbes ilinukuu. Ukimuona simple tu wa kawaida lakini ana hela ndeefuuu na nyingi sana. Utajiri wake unakadiriwa 3-5 Millions US dollars. Vyanzo vingine vya uhakika na kuaminika vinadai anaweza kuwa na utajiri hata zaidi ya iyo dollar million 5. Ni kwa...
  4. Black Label

    TANZIA Mpiga picha wa Ayo TV, Nellyson Grigery afariki dunia

    Mpiga picha wa AyoTV Kanda ya Ziwa Nellyson Grigery (alievaa shati la kijani) kafariki katika ajali ya gari iliyotokea Kibaha safarini Mwanza kuja Dar. Mwingine aliyefariki ni Mujitaba Yusuf (hayupo kwenye picha) huyu si mfanyakazi wa Ayo TV. Kwenye ajali hio mwandishi wa AyoTV Kanda ya Ziwa...
  5. sky soldier

    Hatimaye Millard Ayo aanza kuweka taarifa kuhusu Diamond kwenye kurasa zake

    Ni kipindi kirefu sana millard ayo aliacha kupost contents za Diamond, Ishu hii iligeuka fursa kwa wenye channel za youtube maana milard alipanua wao wakaingiza, kusema kweli ilitoa fursa kwa youtube channels nyingine kupata subscribers na views wengi kwa habari za wcb Matokeo yake ni channels...
  6. Red Giant

    Nimeona mabadiliko makubwa kwa Millard Ayo na Michuzi.

    Wakuu zamani ukipita kwenye hizi site zilikuwa zimechafuka kwa matangazo. Hadi unaikuta habari unakuwa umepita matangazo si chini ya matano. Leo nimepita nakuta kweupe kabisa. Nini kimewapata?
  7. L

    TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

    Habari zilizotufikia punde ni kuwa mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Hamisi Tale au Babu Tale) aitwaye Shamsa Tale almaarufu kama Shammy Nails amefariki. Pole kwa familia ya Babu Tale maana ameacha watoto wadogo.
  8. mayowela

    Content enterpreneurs: Sky Walker, Salama Jabir, Millard Ayo nk

    Tumeshasikia kitu wanaita ujasiliamali wa maudhui (content enterpreneurs), hii ikoje? Hii ni biashara kama biashara zingine na wengi wanafanya na wanapiga mpunga wakutosha. Kuna baadhi ya wadau nimewataja hapo juu wanafanya hii kitu na wengine wengi. Inafanyikaje? Kinachofanyika watu hurekodi...
  9. T

    Millard Ayo blog kuwa na ubaguzi wa habari. Je, tutegemee Millard Ayo kufa kama michuzi blog?

    Miaka ya nyuma hasa utawala wa kikwete Jf ilikuwa inashindanishwa na michuzi, in short, system ilikuwa inataka kuuwa Jf na kuifanya michuzi bora zaidi lakini mwisho wa siku kila kitu kilikwama Michuzi blog ikajifia kifo cha mende na Mjegwa blog ikajifia kifo cha mende Sasa utawala huu unatumia...
  10. N

    Utekaji Hai ,Lema kuhitaji viza kwenda hai ni figisu za kawaida,Dc sabaya ni shujaa wa awamu ya tano,millard ayo alikosea kuomba radhi

    Haina haja ya kulialia sana hata waziri Jafo alisema figisu katika chaguzi ni vitu vya kawaida sana hata Israel na Marekani vipo cha muhimu ni vyama vya upinzani kuonyesha ukomavu na kujiongeza kama walivyofanya Renamo au Unita Wapinzani wanadeka sana juzi katekwa kiongozi wao huko hai na...
  11. BASIASI

    Millard ayo huu ujinga utafukuza wapenzi wa mtandao wakooo

    nI MMOJA WA WAPENZI WA MTANDAO WA HUUYU MH LO NIMEONA NITOE YA MOYONI VIDEO NYINGI UKISEMA.UNAFUNGUA UNAKUTANA NA MATANGAZO YA WANAIMDHAMINI BADALA YA. VID HUSIKA HUU UJINGA AUFAI SIO KILA.MTU ANA BET WENGINR WANATAKA KUONA MATUKIO HIKI.NDICHO NIMEKUTANA NACHO BAADA YA KUAVLICK VID hATA...
Back
Top Bottom