Wakuu sio kwa ubaya ila kiukweli nilikua sijawahi kufika chamazi na nilikua na picha nzuri tu kichwani ya maeneo ya huko. Sasa majuzi nikajikuta nimefika kutokana na shughuli zangu kunipeleka huko.
Kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana nini kilipelekea Azam kuamua kwenda kujenga uwanja kule...
All the Best Mnyama 🦁
Updates za Mchezo wa Leo..
Kikosi cha Simba Kinachoanza.
Updates...
Mpira unaendelea kwa kasi Kidogo.
Simba wanajaribu kufanya mashambulizi kwenye lango la Tabora
DK 5'
Game on
0-0
DK 10'
Mpira unaendelea
0-0
DK 19'
Goooooooooooal
Sadio Kanoute anatia goli wavuni...
Patashika ya ligi kuu kuendelea leo, kwa kukutanisha wekundu wa Msimbazi dhidi ya wazee wa Mapigo na Mwendo baada ya futari. Muda ni saa mbili na robo usiku, Azam complex
Kikosi
Game ishaanza dakika ya 18 bado bila bila
Yellow card Michael Masinda kamfanyia Saido faulo, game inaendelea...
🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC 🆚 Geita Gold FC
📆 14.03.2024
🏟 Azam Complex
🕖 02:15 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Geita Gold FC
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Aziz k anachezewa madhambi nje ya 18
Dakika ya 7
Yanga SC wanapata kona...
🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans SC🆚Ihefu FC
📆 11.03.2024
🏟 Azam Complex
🕖 12:00 Jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Yanga SC 0-0 Ihefu SC
Dakika ya 10
GOAAAAAAL Pacomeeeee
Dakika ya 15
Yanga SC 1-0 Ihefu SC
Dakika ya 19
Yanga SC wanakosa...
Klabu ya @simbasctanzania imethibitisha kuwa siku ya tarehe 28/2/2024 watacheza mchezo wao wa ASFC dhidi ya TRA kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Mchezo huo utakuwa pia ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wao wa mwisho wa CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy.
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 ASFC
⚽️ Young Africans SC🆚Polisi TZ
📆 20.02.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Polisi Tanzania
Mpira umeanza
Dakika ya 13
Goaaaaaaaal Guedeeeee
Dakika 45+1
Chuma cha piliii Farid Mussa⚽️🙌🏼
Dakika ya 45 niongeza 2
Gwedeeee goli la tatu dakika ya 46...
⚽️ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji
05.02.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku.
Mpira umeanza
Dakika ya 5
0-0
Dakika ya 9
Yanga SC wanapata Kona ya kwanza
Dakika ya 15
Bado ni 0-0
Dakika ya 20
Yanga SC wanakosa goli la wazi
Dakika ya 25
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 27
Mchezaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.