azam complex

  1. maroon7

    Ilikuwaje Azam wakaenda kujenga uwanja Chamazi? Tunalitia taifa aibu

    Wakuu sio kwa ubaya ila kiukweli nilikua sijawahi kufika chamazi na nilikua na picha nzuri tu kichwani ya maeneo ya huko. Sasa majuzi nikajikuta nimefika kutokana na shughuli zangu kunipeleka huko. Kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana nini kilipelekea Azam kuamua kwenda kujenga uwanja kule...
  2. Suley2019

    FT: Azam 5-1 Kagera Sugar | NBC PL | Azam Complex | 25/05/2024

    Kikosi cha Azam kilichoanza Kikosi cha Kagera Sugar kilichoanza
  3. uran

    FT: Simba SC 2-0 Tabora United | NBC Premier League| Azam Complex | 06.05.2024

    All the Best Mnyama 🦁 Updates za Mchezo wa Leo.. Kikosi cha Simba Kinachoanza. Updates... Mpira unaendelea kwa kasi Kidogo. Simba wanajaribu kufanya mashambulizi kwenye lango la Tabora DK 5' Game on 0-0 DK 10' Mpira unaendelea 0-0 DK 19' Goooooooooooal Sadio Kanoute anatia goli wavuni...
  4. kiwatengu

    FT: Yanga 1 - 0 Coastal Union | NBC Premier League | Azam Complex | 27. 04. 2024

    🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Yanga 🆚 Coastal Union 📆 27.04.2024 🏟 Azam Complex - Chamanzi 🕖 12:00 Jioni. Tukutane hapa kwa updates #Daimambelenyumamwiko# Kikosi cha Yanga kinachoanza. Kikosi cha Coast Union Kinachoanza Updates... 1' Yanga wanafanya Shambulizi kali, Guede anakosa...
  5. Mtoto halali na hela

    FT: Simba SC 2-0 Mashujaa FC | NBC Premier League | Azam Complex | 15.03.2024

    Patashika ya ligi kuu kuendelea leo, kwa kukutanisha wekundu wa Msimbazi dhidi ya wazee wa Mapigo na Mwendo baada ya futari. Muda ni saa mbili na robo usiku, Azam complex Kikosi Game ishaanza dakika ya 18 bado bila bila Yellow card Michael Masinda kamfanyia Saido faulo, game inaendelea...
  6. Vincenzo Jr

    FT: Yanga SC 1-0 Geita Gold FC | NBC Premier League | Azam Complex | 14.03.2024

    🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans SC 🆚 Geita Gold FC 📆 14.03.2024 🏟 Azam Complex 🕖 02:15 Usiku Kikosi kinachoanza dhidi ya Geita Gold FC #TimuYaWananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko Mpira umeanza Dakika ya 5 Aziz k anachezewa madhambi nje ya 18 Dakika ya 7 Yanga SC wanapata kona...
  7. Vincenzo Jr

    FT: Yanga SC 5 - 0 Ihefu SC | NBC Premier League | Azam Complex | 11.03.2024

    🔰𝐍𝐄𝐗𝐓 𝐔𝐏🔰 🏆 #NBCPremierLeague ⚽️ Young Africans SC🆚Ihefu FC 📆 11.03.2024 🏟 Azam Complex 🕖 12:00 Jioni Kikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC Mpira umeanza Dakika ya 5 Yanga SC 0-0 Ihefu SC Dakika ya 10 GOAAAAAAL Pacomeeeee Dakika ya 15 Yanga SC 1-0 Ihefu SC Dakika ya 19 Yanga SC wanakosa...
  8. Frank Wanjiru

    Simba kucheza kiporo chake cha Azam Federation 28 February Azam Complex

    Klabu ya @simbasctanzania imethibitisha kuwa siku ya tarehe 28/2/2024 watacheza mchezo wao wa ASFC dhidi ya TRA kwenye Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo utakuwa pia ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wao wa mwisho wa CAFCL dhidi ya Jwaneng Galaxy.
  9. Vincenzo Jr

    FT: Yanga SC 5-0 Polisi Tz | ASFC | Azam Complex | 20.02.2024

    🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰 🏆 ASFC ⚽️ Young Africans SC🆚Polisi TZ 📆 20.02.2024 🏟 Azam Complex 🕖 1:00 Usiku Kikosi kinachoanza dhidi ya Polisi Tanzania Mpira umeanza Dakika ya 13 Goaaaaaaaal Guedeeeee Dakika 45+1 Chuma cha piliii Farid Mussa⚽️🙌🏼 Dakika ya 45 niongeza 2 Gwedeeee goli la tatu dakika ya 46...
  10. Vincenzo Jr

    FT: Yanga SC 1-0 Dodoma Jiji | NBC premier League | Azam Complex | 05.2.2024

    ⚽️ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji 05.02.2024 🏟 Azam Complex 🕖 1:00 Usiku. Mpira umeanza Dakika ya 5 0-0 Dakika ya 9 Yanga SC wanapata Kona ya kwanza Dakika ya 15 Bado ni 0-0 Dakika ya 20 Yanga SC wanakosa goli la wazi Dakika ya 25 Pacome anakosa nafasi ya wazi Dakika ya 27 Mchezaji wa...
Back
Top Bottom