baba t

  1. The Sheriff

    Pumzika kwa amani Emsley "Baba T" Smith

    Emsley "Baba T" Smith Picha: Ukurasa wake wa Facebook Miaka kadhaa iliyopita nilipata fursa ya kuonana na Baba T pale East Africa Radio. Tulishikana mikono. Alikuwa ni pande la mtu, na kiganja changu kilimezwa mkononi mwake. Nilikuwa mtembeaji tu na kijana mdogo niliyependa kusikiliza Reggae na...
  2. Spartacus boy

    TANZIA Mtangazaji nguli, Baba T wa East Africa Radio afariki dunia

    Aliyekuwa Mtangazaji wa kipindi cha Lovers Rock ya EastAfrica, Baba T amefariki dunia leo katika Hospitali ya Rabininsia iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam Taarifa zaidi kuhusu taratibu za mazishi zitatolewa. Pia soma > Mtangazaji na DJ wa EA Radio, Baba T atimiza miaka 81 Wasifu mfupi wa...
  3. MTAZAMO

    Mtangazaji na DJ wa East Africa Radio, Baba T atimiza miaka 81

    Kutoka EATV facebook wall, Kwa mara nyingine tumebarikiwa kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mfanyakazi mwenzetu mwenye umri mrefu zaidi hapa ofisini. Jina lake halisi ni Emsly Smith maarufu kama Baba T. Baba T ni Dj wa muziki wa Reggae na pia ni mtangazaji wa kipindi cha 'Lovers Rock' cha East...
Back
Top Bottom