Bado maombi yana nguvu. Puuza wanaopuuza maombi.
Maombi Yanaweza kugeuza maamuzi ya Serikali na viongozi wakubwa wa nchi. Mfalme wa Iran Koreshi, Altashasta na Dario walijikuta wanaendeshwa na maombi ya wakina Danieli, Nehemia, Ezra licha ya ukatili wao.
Maombi yalimtoa Petro Gerezani.
Maombi...