bahasha

Bahasha (film) is a 2018 Tanzanian movie about a public official who seeks redemption after taking bribe. It battles the issue of corruption in our present society.The film was nominated at Africa Movie Academy Award for Best Film In African Language in 2018.

View More On Wikipedia.org
  1. liwaya

    Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison

    Nasikia kitu kizito kimeshatua huko Ila imetoka kwa lugha ya malkia mwenye taarifa atuwekee kitu hapa ==== MAHAKAMA ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison Raia wa Ghana na kumfanya mchezaji huyo kuwa halali...
  2. Yesu Anakuja

    Kwanini matajiri hukupatia pesa kwenye bahasha ya khaki?

    Hili swali kuna mtu kaja kuniuliza nikashindwa kumjibu, what is it behind matajiri wanapokupatia pesa cash, kukuwekea kwenye bahasha ya khaki, anauliza kwanini wasikupatie tu mkononi. Inaonesha alifanya kazi fulani akatakiwa kupewa cash, akapewa kwenye bahasha ya khaki, na yeye ni kama mtu...
  3. Mrs Gudman

    Vijana wa Kiume badilikeni

    Habari za jumapili wana Jamii Forum Leo naomba nizungumze kidogo na hawa wenzetu upande wa Kiume mana miaka ijayo kuna hatari ya kupoteza nguvu kazi Siku izi ni kawaida kabisa kukuta mdada anauza matunda, anatembeza mtumba, anachoma mandazi ubuyu na juice na mengine mengi ya kuingiza kipato...
  4. OKW BOBAN SUNZU

    Yanga SC 1-1 KMC | VPL | Mkapa Stadium

    00' Mpira unaanza kwenye dimba la Mkapa 28' Greyson David anaachia mkwaju na kuiandikia KMC bao la kwanza 36' Chars Iyanja anashindwa kuingozea KMC bao la pili baada ya kubaki yeye na goli, mlinda mlango FaruqShikalo alijaribu kutoka kuuwahi mpira lakini aliukosa 45+2' Mapumziko 46' Yaqub...
  5. E

    Mawazo kuhusu biashara ya Bahasha za khaki / Paper Bags

    Habari? Jina Langu ni Mr Equator. Ni kijana ambaye najaribu kuyatafuta maisha. kwa njia mbali mbali. Nimekuwa nikitafuta wazo la biashara ya pembeni (Side-hustle) ya mtaji kati ya Laki 1-2. Kwenye pita pita zangu nimepata wazo la biashara ya bahasha na nika angalia video baadhi Youtube. Nika...
Back
Top Bottom