bahati mbaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Je utumwa ilikua mipango ya Mungu ana ilitokea bahati mbaya?

    Watu wa dini husema kila kitu ni mipango ya Mungu. Kwamba hakuna jambo linatokea tu from no where, lazima lilishapangwa kutokea huko kabla. Sasa ningependa kufahamu, je utumwa ambao tulifanyiwa waafrika kwa karibu niaka 400 na mataifa mengine ya Ulaya na Asia, ilikua imepangwa hivyo kwamba...
  2. C

    Pre GE2025 Tanzania tunaongozwa na Watanzania? Yanayotokea ni bahati mbaya? Asante CDF

    Idara ya uhamiaji ya Tanzania inadaiwa wamejaa Wakenya! How come tunaruhusu haya..afu Wakenya wenyewe waliopo wengi ni TOP. (But Anna ni mtu wa kusini). Idara ambayo ni mama ya inchi kama uhamiaji wanadaiwa wameajiri Wakenya tena top position. Ndiyo maana unakuta kazi hata ndogo km hotel wapo...
  3. Escrowseal1

    Serikali kujitenga na mazoea kwenye maandamano haikuwa Bahati mbaya

    Kama ni mfuatiliaji mitandao ya kijamii hasa u tube utanikubalia kuwa Zama zimebadirika. System ime benefit kwa muda mrefu kutokana na ujinga wa jamii tuliyonayo Kwenye mitandao ya kijamii watanzania wamekuwa kaa la Moto. Akili zilizoko huko ndani ndo zinezaa matunda mahsusi ya haya...
  4. GENTAMYCINE

    Je, ukijamba kwa bahati mbaya au kwa kulazimika uwapo Kanisani au Msikitini Dua yako inapokelewa na aliyeketi Juu Mbinguni?

    Najiandaa kusoma Comments zenu.
  5. Ritz

    IDF imewapiga risasi mateka 3 na kuwauwa huko Gaza, wanasema bahati mbaya.

    Wanaukumbi. Hagari anasema IDF inawajibika kwa "tukio hilo la kusikitisha." "Hili ni eneo ambalo wanajeshi walikumbana na magaidi wengi, wakiwemo washambuliaji wa kujitoa mhanga," anaongeza. Hagari anawataja mateka hao kuwa ni Yotam Haim, ambaye alitekwa nyara na Hamas kutoka Kfar Aza, na...
  6. F

    Nina bahati mbaya kwenye daladala

    Kila nikipanda daladala kuelekea kwenye nguvu kwa nguvu yaan kaz za ujenz au misele sipat bahati ya kukaa siti moja na warembo. siku zote naokaa nao wanakua wazee au wahuni. mabint hupita siti yangu kama vile hawaioni. na hata akija binti mrembo kukaa ambayo ni nadra sana hata nikimsalimia...
  7. O

    Nyie endeleeni kutembeza bahasha za kaki, sisi wenzenu tunatengeneza pesa kwenye kilimo

    Maneno machache kazi nyingi aisee nyie endeleeni kutembea na bahasha za kaki tu sie wenzenu tunapiga mitulinga tu huku kwenye kilimo na hakika kilimo kinalipa Ona sasa karibuni nimepiga mshindo wa milioni 24 kwa kuuza ufuta na mihogo halafu anatokea jobless na mpuuzi yeye kutwa kuzunguka na...
  8. B

    Maandalizi kuelekea maandamano ya amani kesho Novemba 9

    Kwamba taarifa zote zilifuatwa. Hata ilipobidi rufaa ilikatwa kwa waziri: "Silence gives consent." Kesho tutamwagika mitaani kwa maandamano yatakayokuwapo kila tarehe 9 ya mwezi hadi hoja zetu zitakapojibiwa. Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, rais wetu mpendwa wa JMT: "Kuna tetesi...
  9. MamaSamia2025

    Usidharau kinachotamkwa na mwanasiasa, hakuna bahati mbaya kwenye siasa

    Leo ninaandika nikiwa na mawazo mengi sana mchanganyiko. Kwanza nimeshtushwa na hili ongezeko la watu wanaoniita Anko/Mjomba badala ya kaka. Hii inaashiria nini kwa mimi kijana mdogo wa CCM mwenye miaka 38? Wakati nikitafakari hilo nikashtuka kuona mvi kwenye ndevu nilipojitazama kwenye kioo...
  10. SAYVILLE

    Shida ya Moses Phiri ni kuwa position yake haijulikani pale Simba

    Hili jambo nililiona siku nyingi za nyuma nikaamua kulikaushia ila ngoja tu leo niliseme. Ukipitia profile za wachezaji wote wa Simba katika website ya timu, Moses Phiri ndiye mchezaji ambaye ana taarifa fupi na chache kuliko mchezaji yoyote. Wakati wachezaji wengine katika profile zao...
  11. sky soldier

    Ushahidi unaoonesha jinsi Kombora lililorushwa na Hamas lilivyoshindwa kuendelea na safari likatua Hospitalini na kuua mamia

    Mji wa Gaza unarekodiwa masaa 24, kwenye mida ya 18:59 live footage ilionyesha Hamas wameanza kurusha Makombora kuelekea Israel lakini moja ya kombora likapata hitilafu (misfire) likadondoka kwa kishindo kwenye Hospitali ya Al-Mamamani na kusababisha mlipuko, Baada ya dakika 11 (19:10) Hamas...
  12. Boss la DP World

    TEC wameiva kisaikolojia, waraka kusomwa wiki 6 mfululizo si bahati mbaya

    Mimi waraka haukunitisha sana japo ulikuwa na facts, ila kilicho nitisha ni zile wiki 6. Kwa wasio fahamu nenda kasome saikolojia ya kuamini ukisha maliza utagundua ni kwanini ulisomwa kwa wiki 6 sio zaidi au pungufu. Kama kuna mahali serikali inapaswa isijichanganye ni hapa. Ningekuwa nahusika...
  13. Engager

    Ni bahati mbaya sana kwamba tunaongozwa na wanasiasa

    Sijui hata ni kwanini ilikuwa hivo. Makampuni makubwa yanayotikisa dunia yanaongozwa na watu smart sana. Hata hapa bongo, makampuni yanayofanya vyema yanaongozwa na watu smart. Kampuni halichukui mtu wa hovyo kuongoza alimradi tu eti anaweza kupiga kabobo. Nchi, Taifa, Taasisi nyeti kabisa...
  14. FRANCIS DA DON

    Bwawa la umeme likikamilika sitegemei Dar iwe na barabara za giza hata kwa bahati mbaya

    Kwa sasa Tanganyika inatumia Takriban Megawatt 1,500 za umeme, ukijumlisha na zile Megawatt 100 wanazopewa bure wala urojo inakuwa MW 1,600. Bwawa la Nyerere likikamilika litazalisha Megawatt 2,100, na kufanya jumla ya Megawatt kwenye Gridi ya Tanganyika kuwa 3,700. Kwakuwa umeme unaozalishwa...
  15. R

    Wakili Madeleka: Kauli aliyotoa Masauni inathibitisha hafahamu wajibu anaoutumikia, inawezekana alipewa kwa bahati mbaya

    Wakili Madeleka amesema mamlaka aliyonayo Masauni kama Waziri wa Mambo ya Ndani ni mamlaka ya kisera kuhusu vyombo ambavyo vipo chini ya wizara ile lakini hana mamlaka ya kiutendaji ya kila siku ya vyombo vile. Kama ni polisi kuna IGP mwenye majukumu yake na yuko trained kuyatekeleza majukumu...
  16. GENTAMYCINE

    Hivi kuna Mtu Mwingine mwenye Bahati Mbaya na Sifa za Kiasili za Makabila ya Watani zake Kama Mimi?

    1. Wahaya: Wapenda Tamu zote za Kibaiolojia 2. Wanyiramba: Viburi sana 3. Waha: Wabishi tukuka 4. Wanyaturu: Wezi mno 5. Warangi: Wachawi 6. Wakerewe: Walafi 7. Wanyamwezi: Washamba sana Mzanaki Mimi nina bahati mbaya nao mno hawa Watani zangu kwani Wazanaki ndiyo Kabila pekee nchini...
  17. N

    Ujio wa Makamu wa Rais wa Warekani sio bahati mbaya

    Haya mambo hayatokei kwa bahati mbaya! Rais Samia Suluhu amerudisha sana heshima ya Tanzania kwenye diplomasia na sasa imerejea mahali pake, Serikali ya awamu ya tano ilififisha mahusiano kati ya Tanzania na nchi nyingi lakini Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani amefanikiwa kuimarisha...
  18. Mufti kuku The Infinity

    Picha ya dunia kutoka umbali wa Kilomita Bilioni Sita (06). Halafu kuna watu wanafikiri uwepo wao duniani ni kwa bahati mbaya

    Picha hii iliyopewa jina la "kitone cha samawati (The blue dot)" ilipigwa na Voyager 1 mwaka wa 1990. Chombo hicho kilipo kimbia kuelekea anga za juu, kiliikamata Dunia kutoka umbali wa maili bilioni 3.7 (kilomita bilioni 6). Nb: Atheists mrudieni mungu bado hamjachelewa
  19. McCollum

    Wazazi/ Walezi pambaneni na wahitimu wa darasa la saba, kwa bahati mbaya wengi wanauelewa usioridhisha

    Habari kwa wanajukwaa, ni matumaini Yangu muwazima wa afya. Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwezi wa January napenda kulizungumzia suala la uelewa wa wahitimu wa darasa la Saba ambao kwasasa wako kidato cha kwanza. Sitawazungumzia hao waliopita kwakuwa sina uzoefu nao, ila nataka kuwazungumzia hawa...
  20. millerson

    Najihisi nina bahati mbaya!

    Najihisi nina bahati mbaya maana hili jambo limenitokea mara tatu,imefika mara ya tatu kupendwa na wadada wenye mimba tena kimapenzi,hata sielewi kwanini inajirudia.sielewi ni mkosi au nini,halafu kibaya zaidi wote ni wake za watu dah!!
Back
Top Bottom