Kumbe Tanzania tulikuwa katika huu mchakato wa kupata Entry na parmenent uraia wa Marekani, lakini sikua nafahamu mwanzoni nilikua nahisi ni kwa nchi kama Somalia, Sudan, Syria, Eritrea n.k.
Kwa Tanzania huu mchongo haukua maarufu au huenda kuna kakundi kadogo kalikua kanaujua mchezo halafu...