baiskeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    Cheo cha kuteuliwa ni kama kupandishwa kwenye Baiskeli

    Cheo cha kuteuliwa ni kama kupandishwa kwenye Baiskeli. Huwezi kuketi juu ya baiskeli daima. Kuna wakati wa kupanda, wakati wa kupiga pedeli na wakati wa kushuka. Muhimu hakikisha miguu yako haisahau kutembea siku ukishuka.
  2. GoldDhahabu

    Kanda ya Ziwa wanastahili pongezi kwa uendeshaji wa baiskeli

    Unaweza ukashindana na watu wa Kanda ya Ziwa kwa mambo fulani fulani, lakini usithubutu kwenye uendeshaji wa baiskeli kama wewe si mmoja wao. Utaumbuka! Nazungumzia baiskeli za kawaida au za kazi, siyo zile za "starehe". Sina uthibitisho wa kitakwimu, lakini kwa makisio yangu, Kanda ya Ziwa...
  3. Roving Journalist

    Simiyu: Askari wawili wadaiwa kumshushia kipigo kijana na kumsababishia kifo wakimtuhumu kuiba baiskeli

    Kijana aliyefariki anaitwa Mandela Petro inadaiwa alishambuliwa akiwa mtaani na Askari wawili wakimshutumiwa kuhusika katika wizi wa baiskeli ambapo baadaye baiskeli husika iliyodaiwa kuibiwa ilipatikana na kubainika marehemu hakuwa mwizi, Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu. Ikidaiwa mmoja wa Askari...
  4. aka2030

    Baiskeli Bodaboda, Bajaji muwe na nidhamu barabara za lami hazijajengwa kwa ajili yenu

    Hamna serikali inayoweza kutenga pesa ijenge barabara ya lami eti bajaji sijui boda ipite Barabara za lami ni kwa ajili ya magari. Nawakumbusha wajue hilo so wanapopita kweywe barabara ambazo hazijajengwa kwa ajili yao wawe na nidhamu na kufuata sheria
  5. Stephano Mgendanyi

    DC Mwegelo akabidhi Baiskeli 200 kwa Watoto wa Kike shule 10 Korogwe

    MHE. JOKATE MWEGELO AKABIDHI BAISKELI 200 KWA WATOTO WA KIKE SHULE 10 KOROGWE Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Jokate Mwegelo amekabidhi baiskeli 200 kwa Wanafunzi wa kike kwa Shule 10 za Sekondari Wilayani humo ambapo amesema zitawasaidia Vijana wa kike kufika Shuleni kwa wakati na kuondokana na...
  6. Kyambamasimbi

    Je, waliooana wanakula bata sana kuliko sisi tunaolala kama baiskeli imepaki? Uzoefu wenu tafadhali

    Hasa msimu huu wa mvua na kibaridi huwa nahisi waliooa na kuolewa wanafadi Sana hasa nyakati za usiku. Au Ni mawazo yangu? Maoni yenu hasa wenye ndoa zao sio michepuko.
  7. AKILI TATU

    Kuendesha baiskeli

    Eti wandugu kuna ajabu / aibu Kwa MTU mzima mwanaume kutokujua kuendesha baiskeli au pikipiki!?
  8. MK254

    Hii aibu mwisho wake lini, wanajeshi wa Urusi watoroka kwa baiskeli

    Walioachwa nyuma wakati wenzao walitoroka kwa magari, wameishia kuiba baskeli na kutoroka nazo ili tu waokoe maisha yao...vijana wa Ukraine wanaendelea kutembeza kichapo.... Russian soldiers abandoned by their units in the eastern Kharkiv region of Ukraine fled in disguises on bicycles...
  9. Sky Eclat

    Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, wengi wameamua kutegemea usafiri wa baiskeli katika mizunguko. Barabara zetu ni salama kwa watumia baiskeli?

    Usafiri wa baiskeli kwa wengi ni kwa kuimarisha afya kwani unapotumia baiskeli unafanya mazoezi. Kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta wengi wameamua kutumia usafiri huu kuwafikisha kutoka hatua A kwenda B. Barabara zetu ni salama kwa atumiaji wa baiskeli? Bila tahadhari hii kutakua na vifo...
  10. T

    Nahitaji baiskeli aina ya Phoenix

    Hellooo wakuu habarini, Nahitaji kufahamu panapouzwa baiskeli aina ya Phoenix nahitaji kwa wingi sana kama mia moja au mia mbili nisaidieni location au namba za WAUZAJI Mawasiliano yangu ni +255686978566
  11. MakinikiA

    Rais Biden wa Marekani adondoka akiendesha baiskeli, anamuiga Rais Putin

    Huyu ni Biden alidondoka akiwa anaendesha baiskeli Huyu ni jemedari Putin akiendesha farasi
  12. Mr Sir1

    Kuna haja mamlaka husika kudhibiti wasafirisha mayai kwa baiskeli

    Kwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli. Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye...
  13. Sdebaseboy

    Natafuta baiskeli ya kununua

    Wapendwa, habari zenu? Natafuta baiskeli nzuri kwa ajili. ya matumizi yangu ya kawaida. Je, nani anauza na kwa bei gani? Asante
  14. Clark boots

    Nahitaji Baiskeli ya gear

    Wakuu Niko na Binamu yangu anasoma shule ya day Ila Kuna changamoto ya umbali kutoka nyumbani Hadi shule ni kama kilometa 3½ - 4. Mwenye Baiskeli nzuri used yenye good condition nistue
  15. Underthesea

    Story time: Amfuata mwanamke Sweden kutoka India kwa baiskeli

    Pradyumna Kumar "PK" Mahanandias alizaliwa mwaka 1949 katika kijiji kimoja huko India kwenye moja ya matabaka ya kihindi ya chini kabisa (untouchables) kwahiyo hakuwa na tumaini la kutoka kwenye maisha ya ubaguzi na umaskini. Ni kawaida Kwa wahindi kuita wanajimu watoto wanapozaliwa. Mnajimu...
  16. M

    Ligi kuu Tanzania Bara: Waliotangulia na baiskeli ya miti wanajifahamu, hata mwaka jana ilikuwa hivyo hivyo!!

    Hata mwaka jana walitangulia na baiskeli ya mbao na hawakufika popote!! Wakisikia gari kubwa huko nyuma linapiga lesi kiwewe tayari!!! Hiyo mliyosikia kilichompata Namungo ni lesi tu!!! Gari kubwa karibu lishaanza kuchanganya na hakuna namna ni suala la muda tu baiskeli ya miti lazima ipishe...
  17. BRN

    Kutembea kwa miguu au baiskeli kwenda Kigoma

    Wadau habari ya jioni,hivi karibuni tumeshuhudia wanaume wa mkoani Kigoma kutembea kwa miguu au kutumia baiskeli kwenda Dar kutazama mechi za Simba na Yanga. Je, wanaume wa Dar hamuoni kwamba sasa ni zamu yenu na nyie kurevenge.?!
  18. F

    Mtoto kaibiwa baiskeli

    Mtoto mmoja aliibiwa Baiskeli yake akaenda Police, akaulizwa unahisi ni nani aliekuibia? Mtoto akajibu: = Nahisi ni WAZAZI wangu, Police wakamuuliza kwanini unawashuku? Akajibu: = Jana usiku nilimsikia Mama akimuuliza Baba vipi IMESIMAMA? Baba akamjibu ndiyo PANDA BASI! Ikalie uichochee...
  19. Analogia Malenga

    Juni 3: Siku ya Baiskeli duniani

    Juni 3 kila mwaka ni siku ya kimataifa ya baiskeli ambapo wadau huangalia mazuri ya kuendesha baiskeli Kuendesha baiskeli kunaweza kuwa ni taaluma, burudani, sehemu ya mazoezi au namna ya usafiri Baiskeli imeelezwa kuwa ni nzuri kwa Afya ya Akili na pia kwa mazingira kwa kuwa haitoi gesi chafu...
  20. E

    Natafuta tairi ya baiskeli na tube zake, liwe na inchi 28

    Natafuta tairi inchi 28 na tube zake nipo Morogoro kama unashughulika nazo comments tumfanye biashara.
Back
Top Bottom