bajaj

Bajaj Finserv Limited, a part of Bajaj Holdings & Investments Limited, is an Indian financial services company focused on lending, asset management, wealth management and insurance.The company employs over 20,154 employees at 1,409 locations, and is engaged in consumer finance businesses, life insurance, and general insurance. Apart from financial services, Bajaj Finserv is also active in wind–energy generation with an installed capacity of 65.2 MW.Bajaj Finserv was ranked among The Economic Times 500 as #119 in 2014.Bajaj Finance Limited (BFL), participates in the financial business and is a company listed on The Stock Exchange, Mumbai (BSE) and the National Stock Exchange (NSE)

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Ungetatua vipi mgogoro wa daladala na bajaj?

    Tension inazidi kuwa kubwa kati ya bajaj na daladala. Na mara nyingi hii huwa inaleta vurugu na mahasi baina ya wahusika wa bajaj na daladala, ila pia migomo ambayo inapelekea tabu kwa wasafiri. Currently, huko Arusha kuna mgomo wa daladala. Jamaa wa daladala wanalalamika bajaj wanawaharibia...
  2. Chief Wingia

    Kampuni ya Bajaj imetoa toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125 HD

    Habari zenu wadau na wapenda bike, aisee niende moja kwa moja kwenye mada. Kampuni ya Bajaj wamekuja na toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125hd isiyokuwa na paper oil filter. Tuone kama muendelezo wa uboreshaji huu utaweza kuboresha engine za boxer maana toleo hili jipya jamaa wameondoa...
  3. BARD AI

    LATRA kuanza kupiga Mnada Bajaj korofi Arusha

    “Kama mnavyojua awali waliokuwa wanatoa leseni za usafirishaji ni halmashauri ya Jiji la Arusha, lakini tangu mwaka jana tulikaa na tukaamua tufunge usajili baada ya kuonekana zimekuwa nyingi, lakini nashagaa pamoja na kufunga, bado kuna baadhi ya wafanyabiashara wameendelea kuzinunua na...
  4. NgomaJr

    Natafuta Bajaj mpya ya mkataba

    NDUGU naitwa Athumani ngoma ni mkazi wa morogoro mjini nina uhitaji wa BAJAJ MPYA ya mkataba nina uwezo wa kurejesha elfu 20 kila siku kwa kwa miezi 24. Yeyote mwenye uwezo naomba msaada wa jambo hlo please
  5. Suzy Elias

    Chalamila aanza kwa kishindo! Atumia usafiri wa bajaj

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam bwana Chalamila ameanza kazi kwa kasi ya ajabu huku akitumia usafiri wa Bajaj kuwafikia Wananchi ili kusikiliza kero zao. Mapema leo jioni bwana Chalamila ameonekana maeneo ya Mwenge akizungumza na wafanyabiashara ndogo ndogo kutaka kufahamu changamoto zao. Akiwa...
  6. Mp4real

    Nauza bajaj niliyoichukua kwa mkopo, atakayeitaka atatakiwa kurudisha rejesho

    Nilikopa bajaj TVS KING TUKTUK mpya kwa kampuni flani ila nilitanguliza Tsh 1m kama dhamana, imetembea km 300 tu na ina bima ndogo, ina fire extinguisher, Latra na triangle zake ikiipata ni road tu. Rejesho ni 139,400 kwa wiki nimesharejesha mwezi kama na kitu. Kwa anaehitaji hii bajaj na deni...
  7. benzemah

    Sumbawanga: Madereva Bajaj waandamana kisa CHADEMA kushindwa kuwalipa baada ya kukodishwa kumpokea Freeman Mbowe

    Madereva Bajaj wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wameandama hadi kwenye ofisi za Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA aitwaye Cedrick Malila almaarufu IKUWO WAKIDAI MALIPO YAO waliyoahidiwa wakati wamekodishwa kwenda kumpokea Mwenyekiti cha CHADEMA Freeman Mbowe huko Katumba...
  8. Mp4real

    INAUZWA Nauza Bajaj TVS KING ya 2022 MC 965 DSA

    Habari! Nauza Bajaj TVS KING ya 2022 MC 965 DSA imetembea km 1500. Nimenunua 8,100,000 -Ina bima kubwa mnaita comprehesive ya mwaka 1, itaexpire 07/02/2024. Kwa 600,000 -ina latra ya 32000 expire 07/02/2024 -fire extinguisher 15000. -triangle 8000. -sticker 2000. Ikiichukua ni barabarani tu...
  9. N'yadikwa

    AJABU ZA MBEYA NA DAR: Bodaboda, Bajaj, vipanya vs Coaster daladala

    Kwenye hii miji miwili ya MBEYA na DAR ES SALAAM kuna mambo yanachekesha sana. Unajiuliza wafanya maamuzi walikuwa wanatafakari kweli? Mbona walifanya maamuzi ambayo yako Illogical! Mwaka 2008 Dar es Salaam jiji walipiga marufuku mabasi madogo almaarufu vipanya "Hiace". Sababu ilikuwa ni...
  10. Sambinyakwe kitololo

    Bajaji, guta, pikipiki zinanunuliwa kwa Kasi Sana

    Ikiwa Ni mwaka mmoja na mwezi mmoja Toka namba D ya vyombo hivo vianze kwa Sasa wanasajili no MC**** DR* Ambapo kwenye magari walitumia muda mrefu sana kufika usajili huo, Ni wazi Hadi mapema mwaka ujao watakuwa wamemaliza no D yao na kuanza fukuzana na no D ya magari na kuwaacha forever...
  11. JituMirabaMinne

    INAUZWA Kifaa cha kuzuia wizi wa Magari, Pikipiki na Bajaj. (Wireless Kill switch)

    Kwanza tuelewane. Kifaa hiki kinamzuia mtu asiweze kuwasha Chombo chako cha moto na kuondoka nacho unless akipakie au akikokote. Chombo chako cha moto ikinafungwa switch secretly na wewe unakuwa na remote control ya hiyo switch. Nipigie simu/Whatsapp 0621 221 606 au 0688 758 625. Kwa lugha...
  12. tutafikatu

    Kwanini bajaj zinavunja sheria za barabarani na hazichukuliwa hatua kama magari?

    Bajaj zikipita traffic light bila ruhusa haina shida, wewe mwenye gari ukiunga ukidhani mmeruhusiwa imekula kwako. Bajaj ikijaza watu, igeuze main road, ichukue abiria nje ya kituo, na dereva aendeshe kwa kuning'inia hakuna mtu atambugudhi. Daladala ifanye kosa mojawapo hapo utaumia. Kama...
  13. Nyuki Mdogo

    Igoma (Mwanza): Bajaj ya abiria inauzwa bei poa

    Bajaj ya ABIRIA inauzwa. kampuni Piaggio IGOMA-MWANZA Uhakika elfu 20 kila siku Haina shida yoyote, njoo na fundi wako mkague inapiga kazi mpaka sasa njoo na 4mil uendelee na kazi Tuwasiliane 0767733555
  14. Replica

    Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji

    Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana. Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther ===== Mwigulu Nchemba: Imekuja tozo, mtu anasema ona waziri huyu ameagiza mabasi 60...
  15. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Tabata-Dar: Bajaj Tvs inauzwa kwa bei ndogo sana

    Bajaj ya abiria aina ya Tvs. Haina shida yoyote njoo na fundi kagua, lipa anza kuswampa Bei elekezi 1,500,000 0713096076 tuwasiliane
  16. Chachu Ombara

    Kanusho: Bodaboda na Bajaji hawajapigwa marufuku kuingia katikati ya Jiji kuanzia Alhamisi 21 Aprili, 2022

    Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania imewatangazia kuanzia kesho Alhamisi bodaboda na bajaji zote hazitaruhusiwa kuingia katikati ya Jiji hilo. ================= TAARIFA HII IMEKANUSHWA DAR: BODABODA WAPEWA VITUO 9 MJINI Baada ya kudaiwa bodaboda na Bajaji za biashara...
  17. Degelingi_One

    PIKIPIKI: Bajaj Boxer 150 vs TVS 150

    Wasalaam wakuu humu ndani, Mwezi ujao natarajia kuingia dukani kuchukua chombo cha usafiri pikipiki. Kuna hivi vyuma Boxer na tvs kwa haraka haraka unaweza ukadhani ni vyuma sawa. Lakini wataalamu na wazoefu wanavijua vema kipi kinamzidi mwenzake. Naomba ushauri wenu ipi ni nzuri hasa...
  18. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Igoma-Mwanza: Bajaj ya abiria kwa bei ndogo

    Njoo uchukue bajaj hii inafanya kazi ya kubeba abiria hapa hapa igoma jijini Mwanza engine nzima, seat nzima, 0713096076 kwa siku unaweza ingiza 15,000+ faida tupu Tunaanzia 2,500,000 it means punguzo kidogo lipo.
  19. Nyuki Mdogo

    INAUZWA Bajaj inauzwa, Mwanza

    Hii hapa inauzwa kwa bei nafuu Mahali, Buhongwa mwanza haina shida yoyote. milioni 4 tu 0713096076
  20. Nyuki Mdogo

    INAUZWA MWANZA: Nauza Bajaj kwa bei ndogo

    NUNUA BAJAJ UPEWE NA DEREVA WAKE BURE... Mwanza 0713096076 Nauza bajaj za kila aina!! Bei nzuri tu kuanzia mil 3 mpaka milioni 5 mwisho. zote ziko vijiweni zinafanya kazi MTEJA SERIOUS PIGA SIMU...
Back
Top Bottom