bajaji

Bajajirao Mudhoji Naik Nimbalkar was a Maratha nobleman and sixteenth Raja of Phaltan Jagir during 1644-1676. He was sardar of Deccan Sultanates and Maratha nobleman.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    INAUZWA Nauza Bajaji ipo kwenye hali nzuri kabisa kwa Tsh 2,200,000 tu

    Habari za leo wakuu, Nauza
  2. Nyoni NP

    Biashara ya Bajaji ya Abiria kwenye Jiji la Arusha

    Jamani naomba msaada wa kujua kama Biashara ya Bajaji ya Abiria inalipa kwenye jiji la Arusha? Maana kwa sasa na bei imepanda sana ni 7.5 mpya. Nimevutiwa kununua nimpe kijana anileteee pesa kwa Siku ama wiki, mwenye uzoefu na hii kitu naombeni jamani! Pia soma: Wazoefu wa biashara ya boda...
  3. Cash Generating Unit

    Ushauri: Nina milioni 6 lakini sijui nifanye biashara gani

    Wapambanaji mambo ni vipi, Mwezi unakata hata sijui nifanye biashara gani sababu kila nikicheki biashara ya kufanya sioni. Nilikua najichanga changa mwezi uliopita nikapiga hesabu nikapata million sita na point kazaa ila sasa shida inakuja kwenye kuchagua biashara ya kufanya kwani sipati...
  4. D

    Pata huduma ya kufungiwa GPRS kwenye chombo chako. Pikipiki, bajaji, gari

    GPS TRACKING SYSTEM NI NINI Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika. Mfano ---- Sehemu chombo kilipo ---- Mwendokasi wake ---- Kupata ripoti mbalimbali za mwenendo wa chombo husika ---- Chombo kuwashwa na kuzimwa...
  5. D

    NATAFUTA BAJAJI MBEYA MJINI

    Habari...Mimi ni kijana wa kiume wa miaka 26 na ninaishi Mbeya mjini..Natafuta Bajaji kwa ajili ya kufanya kazi ya kusafirisha abiria..Hivyo kama wew mwana Jf mwenzangu una bajaji na unahitaji dereva naomba unipatie mimi hiyo kazi..Ni mwaminifu na mchapakazi...Kikawaida kila siku kwa boss...
  6. Elisha Sarikiel

    Wasomi jifunzeni kwa dada Mwasu, dereva wa bajaji msomi mwenye shahada mbili

    Tofauti na mawazo ya wengi kuwa ukisoma hadi chuo kikuu lazima uajiriwe, Mwasu Mavere ameonyesha upande mwingine wa shilingi, kwamba unaweza kujiajiri na kufanikiwa zaidi. Licha ya kuwa na shahada ya uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), yeye ameamua kuwa dereva wa pikipiki ya miguu...
  7. Chizi Maarifa

    Nimeshafanya Service Bajaji yangu nataka kuondoka kwenda Mwanza na abiria wawili

    Naombeni ushauri wenu katika hili. Mambo yamekuwa tight kidogo nlisafiri Tanga nimerudi now nataka kwenda Mwanza. Gari nilizo nazo zina CC kubwa na mambo yamekuwa mengi sitaki shida January watoto wawili wanasoma Int. school n.k Sasa nmewaza nikagundua naumiza kichwa bure tu nina bajaji...
  8. D

    Natafuta bajaji ya kuendesha Mbeya Mjini

    Habari, Naitwa Daud Benjamin mhitimu Chuo Kikuu IFM Dar es Salaam mnamo mwaka 2019. Nina degree ya Social Protection. Kwa sasa ninaishi Mbeya. Dar es salaam nilihama kutokana na gharama za maisha kuwa juu sana na kukosekana kwa ajira. Nimetafuta ajira bila mafanikio mpaka sasa. Nilivyohamia...
  9. D

    Natafuta mdhamini wa kunipatia bajaji kwa makubaliano ya kumletea kiasi kadhaa kila siku Mbeya Mjini

    Habari.Mimi naitwa David Benjamin. NI muhitimu wa chuo kikuu IFM kilichopo Dar as salaam ambapo nilipata degree ya Social protection and Actuarial studies. Toka nimehitimu nimekua nikitafuta ajira bila mafanikio yoyote mpaka sasa licha ya kuwa na matokeo mazuri katika masomo. Nilifanikiwa...
  10. Adimu

    Natafuta Bajaji au gari ndogo ya mkataba kwa kusafirisha abiria

    Habari wakuu, mimi ni dereva mwenye leseni inayoniruhusu kuendesha abiria na nina hati ya tabia njema kutoka wizara ya mambo ya ndani. Natafuta bajaji au gari ndogo ya mkataba kwa ajili ya kazi ya kubeba abiria. Namba zangu ni 0742783775
  11. K

    Dereva wa Bajaji anahitajka

    Heshima zenu wakuu, natafuta dereva wa Bajaji ambaye amejiunga Uber na Bolt kwa ajili ya biashara ya Bajaji. Awe mkazi wa dar maeneo ya Tabata, Mwenge, Msasani, Mikocheni au Kawe au maeneo ya karibu. Dereva awe na leseni, kitambulisho Cha taifa, barua ya utambulisho na pia awe mchapakazi hasa...
  12. MrsPablo1

    INAUZWA Bajaji mpya iliyosajiliwa inauzwa million 6

    Ilianza kazi tarehe moja mwezi wa tatu, ikafanya kazi miezi 2 dereva akazingua, so imepaki toka mwezi wa 5 , mwenyewe hataki tena biashara ya bajaji 📞 0758851175, 0713220021
  13. Kizimbuzi

    Mimi dereva natafuta Bajaji ya Mkata

    Natafuta bajaji ya kuendesha kwa mkataba. Hesabu kwa Siku 20,000/=. Namba yangu 0713695147. Nipo Madale, Dar es Salaam. Kama una bajaji tuwasilian
  14. N

    INAUZWA Bajaji inauzwa Tsh 3,500,000

    Bajaji inauzwa Tsh 3,500,000 TVS Location: ARUSHA Contact: 0745483004 Maelewano yapo
  15. KITAU TRANSPORT AND GPS

    SOFTWARE Funga GPS kwenye magari, pikipiki yako na komesha wizi

    Habari Wadau wa Jamii Forum, Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu. Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji...
  16. Erick Richard R-Madrid

    Wazoefu wa biashara ya boda boda na bajaji, njoo mtujuze changamoto mnazokumbana nazo

    Salamu wana Jukwaa.... Nimepata wazo la kuanzisha biashara ya Boda boda na Bajaji kuanzia mwezii wa 11 jijini Dar es salaam, naanza biashara hii baada ya kujibana kwa kipindi cha miaka 3 sasa. Nimewekeza kiasi cha Milioni 10, nitaanza kwa Bajaji 1 na Boda boda 1. Nipata wazo hili huku...
Back
Top Bottom