bakhmut

Bakhmut (Ukrainian: Бахмýт, IPA: [bɐx'mut]), also known as Artemivsk (Ukrainian: Артемівськ) or Artyomovsk (Russian: Артёмовск), is a city in eastern Ukraine. It serves as the administrative center of Bakhmut Raion in Donetsk Oblast. It is located on the Bakhmutka River, about 89 kilometres (55 mi) north of Donetsk, the administrative center of the oblast. Bakhmut was designated a city of regional significance until 2020 when the designation was abolished. Population: 71,094 (2022 est.).Bakhmut was the capital of Slavo-Serbia (1753–1764), which was established by mainly Serbian frontiersmen. In 1920–1924, the city was an administrative center of Donets Governorate of the Ukrainian SSR.
During the 2022 Russian invasion of Ukraine, Bakhmut was besieged by Russian forces and largely destroyed, with most of its population having fled. As of March 2023, Ukrainian forces remain in control of the city, which is an epicentre of fierce fighting, as Russian forces battle to take control.

View More On Wikipedia.org
  1. Maleven

    Hatimae, Bakhmut iko mikononi mwa Russia (Wegner)

    hayawi hayawi sasa yamekua, Bakhmut belong to Russia, we don't need lgbtq+ sh+t here jeshi la Ukraine halikukumbia mji bali wamechakazwa pale hawakua na pakukimbilia
  2. MK254

    Kiongozi wa Wagner alia lia kuhusu namna Ukraine wanaendela kukomboa maeneo Bakhmut

    Alaumu wanajeshi wa Urusi kuendelea kuachia maeneo na kushangaa namna wazalendo wa Ukraine wanakomboa maeneo. Yaani Ukraine wana mzuka wa kichizi, vijana wanaingia kwenye historia kama ambao walijitokeza kuikomboa nchi yao, sikutegemea kitu kama hiki kwa vizazi vya leo, vijana wa leo huwa...
  3. S

    Jinsi Bakhmut na Kherson zinavyo andaa mashambulizi yajayo (counteroffensives) ya Ukraine

    Msimu huu wa kiangazi, kuna harufu ya counteroffensive inanukia nchini Ukraine, kwani matukio yanayotokea Kherson na Bakhmut yanatazamiwa kusambaa kote nchini na kuunda mkondo wa mashambulizi yajayo. Askari wa Ukraine wakati wa mafunzo kwenye mstari wa mbele katika eneo la Donetsk, Ukraine...
  4. MK254

    Ukraine waanza kuwasogeza nyuma Warusi kule Bakhmut

    Warusi walipoteza wanajeshi wengi sana, maelfu yao walikufa wakati wananyakua maeneo ya kamji ka Bakhmut, sasa yameanza kuwatokea puani. ================================== Ukraine said on Friday that its forces had made significant advances around the embattled city of Bakhmut in the eastern...
  5. MT255

    Russian mercenary chief Prigozhin says his forces will leave Bakhmut next week

    *zele kama zele anamjambisha mtu mzima * May 5 (Reuters) - Yevgeny Prigozhin, leader of Russia's Wagner Group mercenary force, said in a sudden and dramatic announcement on Friday that his forces would leave the Ukrainian city of Bakhmut that they have been trying to capture since last summer...
  6. MK254

    Mei 9 sikukuu muhimu kwa Warusi, Putin atawaambia nini Warusi, Bakhmut imeshindikana

    Kila mwaka, Mei 9 Warusi husheherekea ushindi wao kwenye vita vikuu vya pili vya dunia, huwa na mbwembwe kama zote za kutunisha misuli, mwaka jana kwenye hotuba ya sikukuu, Putin alibwatuka mikwara kama yote na kuahidi ushindi. Lakini hali imekua ngumu, ameshindwa hata kuteka kamji ka hovyo tu...
  7. MK254

    Bakhmut bado ni kimbembe, mfupa uliomshinda fisi, Mrusi hana hamu

    Mrusi ametupia kila kitu hapo Bakhmut, "mizoga" ya Warusi kila siku inaongezeka kwa maelfu lakini wazalendo wa Ukraine wamesimama kidete, wanapambana kuingia kwenye historia kama Daudi dhidi ya Goliathi, tuliaminishwa siku zote Urusi ni jitu............ =================== Kiev, April 11...
  8. MK254

    Warusi wabadilisha kauli na kusema kamji ka Bakhmut katachukua wiki zingine kadhaa kukateka

    Juzi walisema wameichukua Bakhmut, leo wameibuka na mengine na kusema bado ni mziki mkali na itachukua wiki kadhaa, wamekiri imewagharimu sana, makaburi kama yote.... ===================== Kiev, April 7, (dpa/GNA) - Ukrainian forces are continuing to resist Moscow’s attempts to seize the...
  9. MK254

    Kamji kadogo ka Bakhmut bado kameshindikana, hawa ndio walitaka Ukraine yote

    Nikikumbuka lile limsafara la kwenda kuteka Kyev nacheka sana maana shughuli yote imehamia kwenye kujaribu kuteka kamji ka Bakhmut ambapo Urusi imepoteza wanajeshi karibia laki moja kwenye haka kamji.... Na bado kameshindikana. ================ Kiev, April 6, (dpa/GNA) – Ukrainian soldiers...
  10. MK254

    Ndege nyingine ya Urusi yapigwa chini Bakhmut, zitaisha hizi

    A Russian Alligator Ka-52 helicopter was destroyed by the forces of the 10th Separate Mountain Assault Brigade "Edelweiss" on 5 April. Source: Serhii Cherevatyi, spokesperson for the East Grouping of Forces of the Armed Forces of Ukraine, in a comment to Ukrainska Pravda; "Edelweiss" Brigade on...
  11. MK254

    Ndege ya gharama sana ya Urusi yapigwa chini Bakhmut

    Ndege aina ya Su-24M bomber imepigwa chini na jeshi la Ukraine kwenye mji ambao Putin ameamua uwe kichinjio cha wanajeshi wake, yaani ameamua kuuteka hata kama atapoteza kila kitu..... Here's everything we know Ukrainian anti-aircraft crews operating near Bakhmut just shot down an expensive...
  12. 5523

    Wanajeshi 20,000 wa Urusi wadaiwa kuuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut, Ukraine

    Na BBC Swahili Vita vya Bakhmut, mji wa Ukraine ambao Urusi imetumia miezi kadhaa kujaribu kuuteka, "inaendela kwa utulivu", anasema kamanda mkuu wa Ukraine. Mapema mwezi huu, maafisa wa Magharibi walikadiria kati ya wanajeshi 20,000 na 30,000 wa Urusi waliuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut tangu...
  13. MK254

    Baada ya Urusi kutumia nguvu zote na kushindwa kufumua Bakhmut, sasa Ukraine kujibu

    Urusi imepoteza zaidi ya wanajeshi 70,000 kwa kujaribu kufumua kamji kadogo ka Bakhmut, imeshambulia kwa nguvu zote na kutupa kila kitu, lakini wazalendo wa Ukraine walipambana kuhimili hayo mapigo na kwa sasa Urusi imekwama kiasi cha kutojua nini cha kufanya zaidi.....kichekesho...hawa ndio...
Back
Top Bottom