Vincent Garcia, Mhariri Mkuu wa France Football ambao ndio wamiliki wa tuzo za Ballon d'Or amebaki njia panda baada ya CR7 kuzikacha tuzo hizo.
Pia, Soma:
Rodri ashinda Ballon d’Or 2024, kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo
Majina ya Vinicius Jr na Jude Bellingham yaondolewa kwenye Viti...
Mshindi wa Ligi Kuu ya Uingereza na Euro, Rodri, ametangazwa kuwa mchezaji bora wa kiume duniani kwa mwaka 2024, akiwa kiungo mkabaji wa kwanza kushinda tuzo hiyo.
Kiungo wa Manchester City, Rodri, ametunukiwa tuzo ya Ballon d’Or baada ya msimu bora uliomletea mafanikio katika ngazi ya klabu na...
Usiku wa leo, kuna hafla ya ugawaji wa tuzo za Ballon dor
Kwa mara ya kwanza tuzo hizo hazitakuwa na majina ya Lionel Messi au Cristiano Ronaldo.
Vinicius Junior wa Real Madrid anatajwa kama mshindi atakayetangazwa hapo baadae.
Sambamba na kutangazwa kwa Mchezaji bora wa Dunia, pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.