banda

Mount Banda Banda, a mountain of the Mid North Coast region of New South Wales, Australia, is situated 320 kilometres (200 mi) from Sydney within the Willi Willi National Park. Banda Banda can be seen on the north western horizon from Port Macquarie. And seen on the south western horizon 39 km from the town of Kempsey. At 1,258 metres (4,127 ft) AHD  it is the highest mountain in the region.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Baaada ya beki Banda wa Mtibwa Sugar FC kuhongwa ili ajivunje, sasa ni zamu za akina Yondan na Nyosso wa Geita Gold FC nao kuhongwa wajivunje

    Ukiujua Mpira wa Bongo (Tanzania) na Janja Janja yake ni raha sana. Pongezi sana Kocha wa Mtibwa Sugar FC Salum Mayanga kwa Kuwaanzisha Wachezaji wabovu ila baada ya Yanga SC kufunga Goli la Pili ndipo ukawaingiza Wachezaji wazuri akina Kibaya. Hongera sana Kipa Shabaan Kado (mwana Yanga SC...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    Mimi na wenzangu tumefurahishwa na kiwango cha Peter Banda

    Huyu dogo ana kipaji nina hakika hapa Simba Sc anapita tu kama njia. Ukimtazama kwa jicho la karibu utaona mpira mkubwa anaocheza. Mechi ya Asec aliupiga mpira mkubwa sana pamoja na kukosa magori kadhaa. Jana nilimfuatilia kwa karibu sana nimebaini ana madini mguuni. Huyu akipata striker...
  3. Little brain

    Peter Banda uwezo wa kawaida sana

    Yupo slow sana, back pass nyingi labda ball control anajitahidi ila kiufupi hatishi yani hafiki hata kwa Tepsi Evans (19) au Denis nkane.
  4. GENTAMYCINE

    Banda wa Simba SC nimemuona akicheza AFCON ya Cameroon, ila Diara wa Yanga SC namuona 'anaozea' Benchi tu. Kulikoni?

    Sasa kama Kipa Djigui Diara ( Yanga SC ) ni mdaka Mishale na kila Siku Magazeti ya Kinafiki ya Mwanaspoti na Championi yanajipendekeza Kumpamba ( Kumsifia ) mbona tokea aitwe na Mali huko AFCON ya Cameroon anaozea tu Benchi / Mkekani? Cha Kushangaza yule Mchezaji Bora na asiyeimbwa na Magazeti...
  5. Saad30

    Je, hii ramani imekamilika?

    Habari nyingi wakuu.. Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi. Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii...
  6. V

    Natafuta kazi, nimesoma Bachelor of Finance na uzoefu mwingi

    Hello wanaforum naitwa richard nimegraduate degree ya finance university of dsm natafuta nafasi ya kazi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote nipate uzoefu Napatikana Dar Es Salaam Tanzania namba zangu 0657710078
  7. Ramon Abbas

    House4Sale Banda la Miamala linauzwa, keko Dar es salaam

    Nipigie 0713096076 bei 250,000
  8. Msumbufu1953

    Nauza Banda la biashara pamoja na bidhaa

    Ni banda la chuma ambalo lina ukubwa wa futi 8 kwa 6. Unaweza kuendelea kufanya biashara hapohapo au uhamishe, kwasasa ni duka/kibanda cha bidhaa za nyumbani pamoja na genge(meza za genge zipo) Mali zilipo ndani Mizani Bidhaa Kreti za soda Location: Ubungo Tanesco Bei 1.65mil WhatsApp/Call...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Magori: Maingizo mapya ni balaa,ahofia kupokonywa Banda

    News za Simba zipo Simba App. PlayStore Simba SC #NguvuMoja App - Apps on Google Play Appstore
  10. kavulata

    Kwanini Al-Ahly walimchagua Konde boy na sio Banda?

    Kwa vyovyote vile kuondoka kwa Moquissone na Chama kumeiumiza Simba, no doubt. Miquissone alikuwepo na Banda alikuwepo lakini mmoja kaenda Al-Ahly na mwingine kaja Simba. Tusidanganyane, Banda sio Miquissone hata kwa robo. Tukaze buti
  11. M

    Two hat-tricks in two games: Zambia goal machine Banda taking the Olympics by storm

    The 21-year-old, who idolises Cristiano Ronaldo, has already written her name into the record books at Tokyo 2020 Barbra Banda has played two matches at an Olympic Games – and she is already in the record books. She is the first woman to score two hat-tricks in one women’s football tournament...
  12. S

    INAUZWA Mashine ya juice ya miwa na banda lake

    Nauza mashine ya juice ya miwa na banda lake na kila kifaa cha kazi ikiwepo vyombo vya wateja,vya maji na extension ya umeme wewe ni kununua miwa tu na kuanza kazi.. Inatumia umeme Imetumika MIEZI MITATU TU!!! Kila kitu 1M
  13. N

    Abdi Banda: Simba wanaweza kutumia pesa kuwachanganya marefa. Awatahadharisha Kaizer Chief

    Nakumbuka kabisa huyu jamaa yeye na Hassan kessy ni mabeki walioondoka simba kwa nyodo na kejeli sana na wote wakaishia kutupiana maneno na Haji Manara kisa tu Simba ilikuwa na hali mbaya kipesa majuzi baada ya kutemwa na team mbovu ya Baroka na yeye kuona hamna team inayomtaka akawa...
Back
Top Bottom