Mount Banda Banda, a mountain of the Mid North Coast region of New South Wales, Australia, is situated 320 kilometres (200 mi) from Sydney within the Willi Willi National Park. Banda Banda can be seen on the north western horizon from Port Macquarie. And seen on the south western horizon 39 km from the town of Kempsey. At 1,258 metres (4,127 ft) AHD it is the highest mountain in the region.
Ukiujua Mpira wa Bongo (Tanzania) na Janja Janja yake ni raha sana.
Pongezi sana Kocha wa Mtibwa Sugar FC Salum Mayanga kwa Kuwaanzisha Wachezaji wabovu ila baada ya Yanga SC kufunga Goli la Pili ndipo ukawaingiza Wachezaji wazuri akina Kibaya.
Hongera sana Kipa Shabaan Kado (mwana Yanga SC...
Huyu dogo ana kipaji nina hakika hapa Simba Sc anapita tu kama njia. Ukimtazama kwa jicho la karibu utaona mpira mkubwa anaocheza. Mechi ya Asec aliupiga mpira mkubwa sana pamoja na kukosa magori kadhaa. Jana nilimfuatilia kwa karibu sana nimebaini ana madini mguuni.
Huyu akipata striker...
Sasa kama Kipa Djigui Diara ( Yanga SC ) ni mdaka Mishale na kila Siku Magazeti ya Kinafiki ya Mwanaspoti na Championi yanajipendekeza Kumpamba ( Kumsifia ) mbona tokea aitwe na Mali huko AFCON ya Cameroon anaozea tu Benchi / Mkekani?
Cha Kushangaza yule Mchezaji Bora na asiyeimbwa na Magazeti...
Habari nyingi wakuu..
Katika ujenzi ambao nataka nianze Inshaallah baada ya kumaliza mambo mengine sasa nimechorowe ramani hii hapa kutokana na nyumba yangu nataka iwe hivi.
Hivyo basi wakuu humu kuna magwiji wa haya mambo ya ramani pamoja na ujenzi wake.Naomba kufahamu kutoka kwenu je hii...
Hello wanaforum naitwa richard nimegraduate degree ya finance university of dsm natafuta nafasi ya kazi ya kujitolea kwenye kampuni yoyote nipate uzoefu Napatikana Dar Es Salaam Tanzania namba zangu 0657710078
baada
banda
chuma
dar
dar es salaam
daressalaam
duka
fundi
godown
halali
internship
kariakoo
kazi
kazi yoyote
kibarua
kuuza
kuuza duka
maduka
mafundi
manual
msaada
natafuta
natafuta kazi
sugu
ujenzi
warehouse
Ni banda la chuma ambalo lina ukubwa wa futi 8 kwa 6.
Unaweza kuendelea kufanya biashara hapohapo au uhamishe, kwasasa ni duka/kibanda cha bidhaa za nyumbani pamoja na genge(meza za genge zipo)
Mali zilipo ndani
Mizani
Bidhaa
Kreti za soda
Location: Ubungo Tanesco
Bei 1.65mil
WhatsApp/Call...
Kwa vyovyote vile kuondoka kwa Moquissone na Chama kumeiumiza Simba, no doubt.
Miquissone alikuwepo na Banda alikuwepo lakini mmoja kaenda Al-Ahly na mwingine kaja Simba. Tusidanganyane, Banda sio Miquissone hata kwa robo. Tukaze buti
The 21-year-old, who idolises Cristiano Ronaldo, has already written her name into the record books at Tokyo 2020
Barbra Banda has played two matches at an Olympic Games – and she is already in the record books.
She is the first woman to score two hat-tricks in one women’s football tournament...
Nauza mashine ya juice ya miwa na banda lake na kila kifaa cha kazi ikiwepo vyombo vya wateja,vya maji na extension ya umeme wewe ni kununua miwa tu na kuanza kazi..
Inatumia umeme
Imetumika MIEZI MITATU TU!!!
Kila kitu 1M
Nakumbuka kabisa huyu jamaa yeye na Hassan kessy ni mabeki walioondoka simba kwa nyodo na kejeli sana na wote wakaishia kutupiana maneno na Haji Manara kisa tu Simba ilikuwa na hali mbaya kipesa majuzi baada ya kutemwa na team mbovu ya Baroka na yeye kuona hamna team inayomtaka akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.