bank

A bank is a financial institution that accepts deposits from the public and creates a demand deposit while simultaneously making loans. Lending activities can be directly performed by the bank or indirectly through capital markets.
Due to the importance of banks in the financial stability and the economy of a country, most jurisdictions exercise a high degree of regulation over banks. Most countries have institutionalized a system known as fractional reserve banking, under which banks hold liquid assets equal to only a portion of their current liabilities. In addition to other regulations intended to ensure liquidity, banks are generally subject to minimum capital requirements based on an international set of capital standards, the Basel Accords.
Banking in its modern sense evolved in the fourteenth century in the prosperous cities of Renaissance Italy but in many ways functioned as a continuation of ideas and concepts of credit and lending that had their roots in the ancient world. In the history of banking, a number of banking dynasties — notably, the Medicis, the Fuggers, the Welsers, the Berenbergs, and the Rothschilds — have played a central role over many centuries. The oldest existing retail bank is Banca Monte dei Paschi di Siena (founded in 1472), while the oldest existing merchant bank is Berenberg Bank (founded in 1590).

View More On Wikipedia.org
  1. hp4510

    Malalamiko yangu juu ya CRDB bank

    Siku ya Leo imekuwa mbaya Sana kwangu, Nilikuwa natuma pesa Kwa bimkubwa wangu huko kijijini kwetu kwa ajili ya matibabu yake Nimetuma pesa asubuh kwa SIM banking kwenda mpesa, tangu hiyo asubuh mpaka muda huu hiyo pesa haijafika, Nimepiga simu Sana huduma Kwa wateja wanasema shida sio crdb...
  2. knaan

    All in one power bank

    Natafuta kifaa kinaitwa all in one bank kinaweza kutumika kucharge simu, kuonesha TV pale umeme hakuna.
  3. successiful dreamer

    Je, kuna mabadiliko yoyote ya riba kwenye Benki?

    Habari ya uzima wanajamvi? Natumaini wote tumejaliwa zawadi adhimu ya uhai na Mola yeye atuwezeshaye kufanya yote tuyafanyayo kila siku. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada au jambo nililopenda kulijua kutoka kwenu.Mimi nipo kijijini kwa mda mrefu sijafika mjini. Huku niliko hakuna Benki...
  4. S

    Ninon Marapachi, Dada Mtanzania anaydongoza kitengo Bank Of America New York

    On Resilience: How Ninon Marapachi Went From Poverty In Tanzania To Wall Street Domination Ninon Marapachi is the head of the Hedge Fund Business at Bank of America within the Global Wealth Investment Management division. Whew – long title. Having that much title at one of the biggest banks in...
  5. K

    Nini kitatokea endapo IMF & World bank zikifilisika?

    Kwa wale waliosoma issue za uchumi wajaribu kunielewesha ni kipi kitatokea endapo taasisi tajwa hapo juu zitafilisika ghafla Je, ni kipi tufanye sisi raia wa kawaida kujiandaa na matokeo ya kufilisika kwa mashirika tajwa hapo juu. Halafu je mpaka sasa korona hajaweza kuzitia misukosuko ya...
  6. MK254

    Kenyan Journalist Named Director at Multi-National Bank Days After Quitting BBC

    Kenyan journalist Solomon Mugera has landed a new prestigious job just days after announcing his resignation from the British Broadcasting Corporation (BBC) on Friday, August 27. Mugera, who served as BBC boss for 23 years has been appointed as Director of Communication and External Relations...
  7. luangalila

    Naomba kujuzwa ubora au udhaifu wa mabati aina ya Sun Bank

    Wadau Habari za asubuhi? Nikiwa site nilitembelewa na sales team wa haya mabati ya Sun Bank. Wakajinadi sana wakidai bati zao ni bora sana mithili ya ALAF Wakasema izo bati ni popular Arusha , nikaona bora niulize humu ili kupata taarifa walau kama kuna yeyote aliyewahi kutumia izi bati
  8. robinson crusoe

    TRA kwanini Wamehamishia akaunti ya malipo KCB, siyo tena NMB? Ni ufisadi baada ya Magufuli?

    TRA na BOT watajitetea kwa sababu zozote zile lakini sisi tunaolipa kodi ktk nchi hii, kwa kujua nani anamiliki KCB (Kenya Commercial Bank) hii ni chini ya kiwango cha uzalendo uliohubiliwa miaka mitano iliyopita. Nalinganisha malipo niliyofanya 2020 na mwaka huu, yakielekezwa benki tofauti...
  9. M

    Kwenu CRDB Bank

    Kwanza nianze kwa kuwapongeza kuendelea kuwepo katika biashara ya fedha katika kipindi chote na kuendelea kuwa miongoni mwa Bank bora Tanzania Baada ya Kimei kuondoka Bank iliendelea kuwa strong chini ya mkurugenzi mpya aliyekuwa CRDB mwanzoni na kuondoka kwenda NMB na baadae kurudi kuwa...
  10. F

    Wafanyakazi ( staffs) wa NMB bank wanapwaya sana kujua huduma za mwajiri wao

    Habari wadau. Kwa zaidi ya mara 1. Nimegundua bank yetu ya makabwela inapwaya sana kwenye training za staff wao. Zamani kidogo Kuna siku nilienda kuprocess refund ya malipo online. Staff wote niliowakuta kila mmoja alikuwa haelewi process zilivyo. Na manager alikuwa ametoka. Ilibidi nimsubiri...
  11. F

    Wananchi wa NMB Bank wanapwaya kwenye kuelimisha wateja kuhusu products zao

    Habari wadau. Kwa zaidi ya mara 1. Nimegundua bank yetu ya makabwela inapwaya sana kwenye training za staff wao. Zamani kidogo Kuna siku nilienda kuprocess refund ya malipo online. Staff wote niliowakuta kila mmoja alikuwa haelewi process zilivyo. Na manager alikuwa ametoka. Ilibidi nimsubiri...
  12. MK254

    Bank of America Splashes Millions in Honour of Kenyan Hero

    Former Vice President Joseph Murumbi TWITTER Bank of America is splashing millions in honour of a Kenyan Hero in their latest project, targeting 13 countries across the world. US's most prestigious bank is directing funds aimed at preserving art pieces collected by Kenya's former...
  13. D

    Kulikoni Benki leo hakuna mtandao wa malipo ya TPA!

    Nataarifiwa na vijana wangu kuwa leo Benki zote hakuna mtandao wa malipo ya TPA , kama ni kweli basi kuna tatizo kubwa sana, tunaomba mamlaka husika fuatilieni ili tulipe tutoe mizigo ya wateja wetu.
  14. M

    Nafasi 1000+ za scholarship kutolewa na Access Bank and Udacity

    Access Bank and Udacity will provide 1,000 Nanodegree program scholarships for people in Africa to build practical, in-demand, cutting-edge tech skills. The scholarship will create upskilling opportunities for scholarship recipients and give them the skills needed by many tech companies today...
  15. Kabulala

    Naweza kuwashitaki CRDB ili walipe fidia kwa usumbufu na kadhia?

    Leo nimeenda Bank kuchukua pesa ambazo kabla sijaanza kuwapatia wanihifadhie tulipeana masharti. Cha kushangaza Leo nimeenda branches mbili zote walinzi wao (ambao hawakuwepo wakati nawekeana makubaliano na bank kuhusu vigezo na masharti) wakanizuia kuingia ndani kuchukua pesa zangu Kwa kigezo...
  16. H

    Msaada: Waliowahi kufanya written Interview Access Bank Microfinance position ya Recovery Loan Officer (RLO) naombeni muongozo

    Habari wakuu..! Aliyewahi fanya usahili wa kuandika pale Access Bank Microfinnce naombeni muongozo tafadhali. Asanteni:
  17. The Assassin

    BoT: Hatua za kisera kuongeza upatikanaji wa mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki kuu ya Tanzania imetoa muongozo wa benki za biashara kupunguza riba kwa sekta binafsi. Benki kuu imetenga fungu la Trilioni moja ambayo itatumika kuzikopesha benki na taasisi za fedha kwa riba ya 3% na kutaka benki zitoe mikopo kwa riba isiyozidi 10%. Binafsi napongeza hizi hatua za...
  18. mwilawi

    Msaada kuhusu malipo kwa visa card za bank

    Jamani mimi niko na ATM card ya Equity bank, inaonyesha kuwa iko na uwezo wavkufanya malipo kwa VISA . SWALI LANGU KWA WAZOEFU . Naomba kujulishwa usalama wa akaunti yangu baada ya mm kilipia app au manunuzi yoyote kwenye mitandao maana nimeona wakati wa manunuzi kwe site husika nahitajika...
  19. Kurunzi

    Tozo kuingia Menu ya Benki wanakata Shilingi 100

    Ndugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100 Naona Mzee wa Kuhamia Burundi amedhamiria tuhame kweli. Tusubiri treni iliyopeleka Mashaki Kigoma
  20. Sky Eclat

    Foleni ya Bank jana na leo asubuhi

Back
Top Bottom