Position: Legal Counsel Civil Litigation (2 Posts)
Location: Head Office
Job Purpose:
Oversee the artistic design of the bank's digital assets for multimedia and graphics projects while tracking the success of the designs, and...
Asalaam aleykum,
Hapo Posta panagadeni nzuri mno mno ambayo ikipangiliwa vizuri inaweza kugeuka sehemu nzuri ya kustaftahi, kula ngisi, urojo juice, soda na katu pombe zisiwepo kamwe!....
Itapendeza mno hasa baada ya ubunifu mahususi kufanyika.
Nimekua ni mtu wa kuchukua Pesa mara kwa mara Bank na mara nyingi ni mtu ambae sikuaga na utaratibu wa Kuhesabu Pesa ninazo pewa toka BANK.
Lakini niwahakikishie wale ma teller either ni wao au mtu anaewapa yale maburungutu anakua anapiga hela.
Mara nyingi nikitoa Salio la maburungutu huwa...
Kijana kabla haujatumia hela yako kuiingiza katika biashara hakikisha unaipitisha bank .
Bank kuna upako mkubwa Sana pitisha hela yako sehemu ambayo matajiri wanapitisha .
Pia hakikisha nyumba unayoishi amka ukiwa mtu Wa kwanza maana baraka za Ahsubui utazipata wewe ukiwa Wa kwanza unaweza...
Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
Position: Remittance Product Manager (1 Position)
Job Location: Head Office
Job Purpose:
This role ensures the client's expectations are met, by managing remittance business and ensuring optimal delivery of related solutions. Key functions include participating in client engagements, sales...
Ni majuzi hapa nimeomba MKOPO wa CRDB kwenye biashara wakahitaji vielelezo vyote nikawapa.
Dhamana ipo (nyumba) iliyopo 25km tokea High Way, wakaenda itembelea dhamana wakajitidhisha ila wakaniambia POLICY yao haiwaruhusu kukopesha dhamana iliyo mbali kiasi hicho.
Wakaniambia kwamba nitafute...
Position: Program Manager
Job Location: Head Office, Hq
Job Purpose:
To lead and oversee the implementation of digital and paperless solutions within the Bank. The goal of these projects is to streamline operations, enhance customer experience, and reduce reliance on physical paperwork...
Position: Senior Manager; Agri Retail - Commercial
Location: Head Office, Hq
Job Purpose
To plan and direct the work of Agri retail Commercial Relationship Managers handling high profile agri-retail customers. Grow both Agri Retail Assets and Liabilities from the agribusiness high profile SMEs...
Position: Senior Manager; Agri – MSE
Job Location: Head Office, Hq
Job Purpose:
To grow and maintain the Asset portfolio of Agri MSEs, mobilize Agri Retail deposits related to Agri MSEs and also collaborate with other departments, zones (and cluster) and branches to facilitate customer...
Position: Relationship Manager – Public & High Net Worth
Key Responsibilities:
Grow portfolio value in line with agreed targets. This is achieved through cross sell or up sell by providing a variety of products and services to customers.
Expand assigned portfolios through product optimization...
RE: ISRAELI CRIME IN GAZA STRIP AND THE WEST BANK FACTS AND FIGURES
"In Gaza, one has to stand in line for hours to get anything... water, the toilet, bread. Everything except death, no line is needed for that." - UNRWA Staff
According to the Palestinian Ministry of Health, more than 11000...
Position: Senior specialist; Revenue Assurance and Governance
Job Location: Head Office, HQ
Job Purpose:
Identify areas of improvement in bancassurance revenues and margins, provide analytics and report on pricing, costs, and revenue for the department in both life and general products...
Mimi kama diaspora nimeona fursa kubwa sana kwa nchi yetu na bank kuu yetu.
Kwasasa hakuna utaratibu wowote wa kumwezesha;
1. Diaspora kurudi nyumbani miaka ya baadae kwa kuwekeza nyumbani.
2. Utaratibu wa serikali kupata pesa za uhakika kutoka kwa diaspora.
Sasa nini kifanyike;
1...
Poleni sana ndugu zangu, naona maisha yamewapiga sana mpaka nafikiria kufungua miradi mingine niwaajiri wote.
Tuachane na hayo, leo nilikuwa kwenye bank moja nikashuhudia kitu cha kushtua kidogo, jamaa alikuwa anajaza form ya mkopo, yaani hasomi terms and conditions yeye anaoneshwa saini hapa...
Position: Senior Private Sector Specialist
Job #: req24601
Organization: World Bank
Sector: Private Sector Development
Grade: GG
Term Duration: 4 years 0 months
Recruitment Type: Local Recruitment
Location: Dar Es Salaam, Tanzania
Required Language(s): English
Job Duties and Responsibilities...
Kiukweli nasikitishwa na huduma za kibenki kwa ujumla, kwa bank za hapa TZ.
Unaweza kwenda bank na shida ndogo na ya kawaida ila mlolongo unakua mrefu usio na maana wala tija yoyote.
Nilikua na shida ya majina kwenye kadi yangu ya nmb, majina yalichanganywa la kati na la mwisho hivyo ishu...
Sijui ni nani tu huwa anawaandikia hayo maelezo!
Whoever that person is, he or she ought to get a pay cut.
The grammatical sloppiness in the above screen grab is blasphemous.
“After you have been created”…….seriously NBC? Fukumean by that?
Improper use of articles.
How does such a text...
Mimi ni mfanyabiashara mdogo, natengeneza vikapu vya ain mbalimbali.
Kwa siku nyingi sikuweza kuwa na account ya bank kutokana na gharama kubwa za kufungua account, hivyo pesa yangu niliitunza kwenye line ya simu.
Juzi kati nikiwa kwenye biashara yangu nilitembelewa na watumishi wa CRDB BANK...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.