The bar is a metric unit of pressure, but not part of the International System of Units (SI). It is defined as exactly equal to 100,000 Pa (100 kPa), or slightly less than the current average atmospheric pressure on Earth at sea level (approximately 1.013 bar). By the barometric formula, 1 bar is roughly the atmospheric pressure on Earth at an altitude of 111 metres at 15 °C.
The bar and the millibar were introduced by the Norwegian meteorologist Vilhelm Bjerknes, who was a founder of the modern practice of weather forecasting.The International Bureau of Weights and Measures (BIPM) lists the bar as one of the "non-SI units [that authors] should have the freedom to use", but has declined to include it among the "non-SI units accepted for use with the SI". The bar has been legally recognised in countries of the European Union since 2004. The US National Institute of Standards and Technology (NIST) deprecates its use except for "limited use in meteorology" and lists it as one of several units that "must not be introduced in fields where they are not presently used". The International Astronomical Union (IAU) also lists it under "Non-SI units and symbols whose continued use is deprecated".Units derived from the bar include the megabar (symbol: Mbar), kilobar (symbol: kbar), decibar (symbol: dbar), centibar (symbol: cbar), and millibar (symbol: mbar). The notation bar(g), though deprecated by various bodies, represents gauge pressure, i.e., pressure in bars above ambient or atmospheric pressure.
Wakuu habarini za wakati huu kama kichwa cha habari kinavojieleza
nahitaji wahudumu wakike watano,Kaunta wawili na mtu wa jikoni mmoja.Mshahara mhudumu ni laki moja,Kaunta ni laki na nusu na jikoni ni laki moja kwa kuanza.Kulala ni hapo hapo kazini.Ofisi zipo Tanga wilaya ya Pangani
Kwa...
Hivi kitimoto ni kwa ajili ya walevi na wenye kipato kikubwa tu? Kwa nini hii nyama inauziwa baa na hotel kubwa tu halafu iliyoiva pia inapimwa kuanzia nusu kilo tu?
Kwa nini hakuna mama ntilie wanaouza kitimoto kama mboga ya ugali na wali?? Hatuoni huu ni unyanyapaa kwa watu wasioweza kuagiza...
Hivi pale G7 ni Tabata au malamba wakuu.
Nilipotea njia pale asee vijana wanatafuta hela Kwa shida alafu zinaenda kuisha kizembe.
Nimeagiza Redbull wanauza elfu 6. Mana Sasa hivi sio mnywaji wa pombe nimetokea kuiogopa pombe Sana Kwa Sasa.
Nauliza Tu Ile G7 ipo Tabata au Malamba?
Jana nilikuwa maeneo fulani pale black and white (Moro Town) hii bar ina nyama choma nzuri sana. Napenda kukaa konani sana
Mara pah wakaja wadada wawili wakaka pale mezani, simu yangu ikaita kuna mtu alinipigia simu alikuwa na changamoto yake ila huwa sipendi kuongea na mtu mazingira yasiyo...
Wakuu, habari za mihangaiko
Aisee Kwa wenyeji wa Buza bila shaka mnaelewa Hili.
Hii bar inaitwa New Savoy Iko Buza kanisani, Shughuli zinazoendelea hapa zimevuka utamaduni wetu, Sawa Kila mtu ana uhuru lakini kweli ndio hivi? Ifikapo saa 2 jioni hii njia unaogopa hata kupitia, ni mwendo WA...
Wazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni.
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya.
Wacha nijitoze wenda akatulia
Wakati nilipokuwa shuleni sekondari o-level enzi hizo pale Tanga Tech, japo ilikuwa ni bweni na ukali wa head master Mr Teti, mara kadhaa mimi na marafiki zangu tuliweza kutoroka na kutinga sehemu za starehe kama Raskazone Beach ama club LacasaChika kwa ajili ya kuburudika kimziki. Huko...
Nimewahi kuziona Baa kadhaa ambazo sikuwahi kudhania kabisa zitakuja kupoteza wateja, Wateja walihama kwa style za kimafia sana, yani vuuup!! ghafla bar inaanza kuwa tupu !! sio kwamba bar imefirisika, sio kwamba warembo wamepungua, sio kwamba hakuna service nzuri, n.k. yaani ndio hivyo, Vuup...
Leo nilikuwa naaga jirani yangu mmoja pale Kawe. Kijana alikuwa mpambanaji sana sana. Mwisho akaenda kupata mbili tatu La Rocka bar Kawe
Kufika akaja Kijana mwingine wakanza pishana maneno. Kijana akakasirika akaenda kuchukua kisu akampa ya moyo
Bra bye-bye
Rip soldier
Bar please tujitahidi...
Amefunguka Emma....
"Nataka kuoa mwaka huu, nitaoa mwanamke ambaye ni mhudumu wa Bar maana hawa wadada wanakuwaga hawana shida sana ukimwoa ukamweka ndani anatulia na maisha yake yote analeta watoto.. Hawa wa kanisani siwataki kabisa ni wakengeufu sana."
Tuliowahi kuumizwa na mademu...
Pimping - Kupata fedha kwa njia ya kuwadalalisha wanawake watumike kingono
Kumekuwa na michezo michafu inafanyika mabinti wa mikoa hiyo Songida, Manyara na Dodoma wanaitwa kuja kwenye majiji wakiahidiwa kazi kumbe ni mambo mengine kabisa.
1, Bar - Yaani wauza bar na Pub imekuwa kama wamekariri...
Mwalimu Yesu aliwahi kusema, Wana wa giza wanamaarifa katika Mambo Yao. Na sisi watu wa rohoni tusiwe wajinga kwenye Mambo ya rohoni.
Hawa jamaa wao huwa wanaanza Kula stare he na kukesha siku Tatu mfululizo. Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Huwa nawafuatilia wako siriasi Sana na ratiba ya...
Hawa watu huwa wa kusukumwa sana ili wakupe huduma ambazo ni wajibu wao kuzitoa, ni nadra sana kupata Hotel, mgahawa au Bar bongo ambapo wahudumu wake sio wa kususuasua na wako on point muda mwingi na kwa wateja walio wengi
Shida ni kwamba hawalipwi vizuri, wako kwenye hizo kazi kupoteza muda...
Ma dj waga waduazi sana wanajifanya mademu wazur wote wanaokuja clabu au bar ni spesho kwa ajili yao tu. Demu anakupanga fresh alafu badaye utamkuta yupo kwa dj pembeni kama kifaraga cha kuchi hapo kumtoa inakuwaga ngumu sana sana sana ukiforce utaishia kumaliza pesa zako tu tena mkimpa bia...
Wakuu Nimeamua kuacha pombe kutokana na matatizo ya kiafya.
Lakini soda pia niliQuite tangu 2020.
Sasa napata changamoto nikienda Bar unakuta siwezi kukaa na kampani ya washikaji maana wenzio wanakunywa we unatoa macho.
Hivi ndo nilikuwa natumia lakini naona siyo kabisa
1. Maji
Aisee haya...
Habari wakuu sisi tunaependa kunywa Vyombo kwenye hivi vi Grocery,Pub au Bar za mtaani kuna muda huwa tunajifunza mengi sana juzi nilika mtaani na machalii wakasema tukale vyombo tukaenda wakasema wanataka Valeur mimi nikapiga Castle Lite mbili na wao wakapiga Valeur Mbili hao Wahudumu wakanywa...
Aisee ukimkuta mdada anayepokea wateja guest amevurugwa anagawa wastani bila idadi unakuta mko wanaume watano vyumbani na wote mnatembelewa kila mtu Kwa muda wake yaani Mpaka yule wa mwisho wa alfajiri kashaelekezwa Mida yake.. Kuna siku tumeenda lodge fulani ya kibwege ubwege milango yake usiku...
Jumapili Moja mida ya jioni nipo zangu home sielewi,’mwanangu’ mmoja akanicheki “oyaa Satoh upo wapi now?” Nikamjibu nipo home nimechill nacheki game ya Simba. Hiyo siku ilikuwa Simba inacheza na timu Moja(nimeisahau) club bingwa.
Jamaa: Ibuka pande za bar X tuzibue vizibo mwanangu,nipo man...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.