The bar is a metric unit of pressure, but not part of the International System of Units (SI). It is defined as exactly equal to 100,000 Pa (100 kPa), or slightly less than the current average atmospheric pressure on Earth at sea level (approximately 1.013 bar). By the barometric formula, 1 bar is roughly the atmospheric pressure on Earth at an altitude of 111 metres at 15 °C.
The bar and the millibar were introduced by the Norwegian meteorologist Vilhelm Bjerknes, who was a founder of the modern practice of weather forecasting.The International Bureau of Weights and Measures (BIPM) lists the bar as one of the "non-SI units [that authors] should have the freedom to use", but has declined to include it among the "non-SI units accepted for use with the SI". The bar has been legally recognised in countries of the European Union since 2004. The US National Institute of Standards and Technology (NIST) deprecates its use except for "limited use in meteorology" and lists it as one of several units that "must not be introduced in fields where they are not presently used". The International Astronomical Union (IAU) also lists it under "Non-SI units and symbols whose continued use is deprecated".Units derived from the bar include the megabar (symbol: Mbar), kilobar (symbol: kbar), decibar (symbol: dbar), centibar (symbol: cbar), and millibar (symbol: mbar). The notation bar(g), though deprecated by various bodies, represents gauge pressure, i.e., pressure in bars above ambient or atmospheric pressure.
Mwanangu hakuna kingine ambacho unaweza jivunia au kukupa heshima kwa mumeo zaidi ya kumtumzia usichana wako (ubikira) maana kama ni elimu huna ya kutosha na hali duni ya maisha ya sisi wazazi wako faraja pekee ya sisi wazazi wako ni wewe kutupa heshima maana tumekuzaa na kukulea katika maadili...
Ripoti ya Uchunguzi wa Sumu kuhusu chanzo cha vifo vya vijana 21 waliofariki dunia wakati wakinywa pombe eneo la #Tavern mwezi Juni, 2022 imeonesha kuwa walikosa hewa kutokana na msongamano wa watu.
Mmiliki wa eneo lilipotokea tukio hilo anakabiliwa na mashtaka ya kukiuka sheria za Pombe za...
Wakuu hizi ni Bar za Arusha ambazo toka utotoni zipo na zinaonekana bado zipo sana tu.
1. Parma - ipo stendi ndogo.
2. Mrina iliyopo Kaloleni.
3. Keny Garden makao mapya.
4. Sakina Bar
5. Cheetah iliyoko Majengo.
6. Kati makutano Makao mapya
7. Jogoo iliyoko Town
8. Stanley bar iliyoko town
9...
Kumbe Moshi, Kilimanjaro ndio kumewaka namna hii hakika hakuna mpinzani nimejaribu kutupia hapa vibweka vyake uploading imeshindikana ni hatari sana labda mnaweza kuchungulia insta, mimi ni mpenzi wa viwanja lakini cha namna. hata vilivyopo hapa Dar, havikamati hili shangwe! WASALAAM.
Wahudum wa bar wanahitajika haraka umri miaka 18-30 awe na uzoefu na kazi tajwa msafi na mwenye kauli nzuri kwa wateja.
Location Moshi Njia Panda.
Kwa wahitaji piga 0685940663
Masuala ya kijinsia yanajumuisha nyanja na masuala yote yanayohusiana na Maisha na hali ya mwanamke na mwanaume katika jamii, jinsi wanavyohusiana, na tofauti zao katika upatikanaji na matumizi ya rasilimali, shuguli zao, na jinsi wanavyo itikia mabadiliko mbalimbali katika jamii. Jinsia ni aina...
Kuna baadhi ya bar mameneja wanajua kuchagua bana.
Na hapa nshakula wawili. Hawajijui. Nimekula watoto wa jikoni Hadi cashier. Kondomu ndio silaha namba Moja.
Acheni bana Kuna Watoto wazuri hapa Duniani. Bia Tamu bila mtoto mkali anakuletea bia na unajua mbususu yake. Hapo Raha inazidi...
Habari wana JF. Nimekuwa nikifanya biashara ya grocery kwa mda sasa sema changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni wingi wa madeni(nadai wateja), sasa nikawa nafikiria pengine nikihama eneo na kujipanua nikaanzisha Bar ya kawaida maybe ntakuwa nimesolve hii ishu ya kukopwa sana. Kama kuna mtu ana...
Hii baridi ya mwaka huu ni noma Sana, 👇
----
Ikiwa bado hali ya hewa ya baridi kuwa kali katika baadhi ya maeneo nchini ikiwemo Mkoa wa Njombe kupelekea shughuli za kiuchumu kuwa na ugumu katika utekelezwaji kutokana na wakazi wa maneno hayo kupunguza muda wa kufanya kazi kwa kutafuta vyanzo...
APRI 29 mwaka 2019 tukio kubwa na aina yake lilitokea mjini moshi baada yakundi kubwa la watu wakiwa na silaha za moto kuvamia na kupora mali kwenye mgahawa maarufu wa Meku’s Bristol Bar and Restaurant .
Wavamizi hawa ambao walikuwa na kila aina ua jeuri baada ya uvamizi huo waliondoka na mali...
Salamu wakuu..
Juzi siku ya jumapili nilisema wacha nitoke niende zangu club nikapate beer 🍺 kadhaa ila sjaenda club anayofanya demu ambaye nilikuwa natoka nae.
Wiki iliyopita alienda kwao KZN (Durban) ila mimi naishi Jozi.
Sasa bana kipindi napiga mambo yangu na mizuka imepanda ya akili za...
Wakuu, habari zenu,
Samahan mimi nipo Mwanza nina juice bar naona hapa biashara kidogo imekua ngumu nawaza kuhamia mji mmoja kati ya Katoro au Kahama,
Naombeni ushauri kwa wenyeji wapi panafaa zaidi kwa biashara hyo na urahisi wa kupata eneo na matunda, pia aina ya watu sehemu izo,
ASANTENI
Heshma kwa wadau rika zote.
Nadhan tumeshakubaliana kuwa hasa tuishio mjini imeshakuwa tabia mbaya kurudi nyumban mapema sana baada ya mihangaiko.
Isitoshe mipango hufanyika bar sio kufuatana majumban!
Na hivi wenye wake wanakwepa visiran vya wenza ili zisitolewe saba mkupuo.
Unakuta mke...
Wanajukwaa naomba kusaidiwa kuchumbia mwanamke anaefanya huduma sehemu tajwa vipi anahitaji kuchunguzwa zaidi na keshasema ukweni yeye ni bikra na yupo tayari kuwa mke.
Mawazo yenu tafadhali
Wakuu Niko Arusha Kwenye Miangaiko Sasa Jana nikaenda Bar ya picnic Arusha, Sasa Wakati ñaenda Nikamwambia Mwenyeji wangu, yule Mwenyeji wangu akanambia kuwa makini Na picnic kuna wezi kama wote, nikamjibu Poa.
.
Lakini yule Jamaa akanambia watu wageni wanaogopa Sana Hapo maana ULINZI zero.
...
Kudadadeeeki walahi ayaaaaa ukisikia kulamba asali ni huko zenji aiseeeee ina maana vita vya ukraine effects zake hazifiki zenji? hivi kule wamachinga walitimuliwa?
Sitashangaa kusikia hata mfumuko wa bei haujaathiriwa na vita vya ukraine au nchi mbili tofauti hizi?
Wakuuuu poleni na majukum,
Kiukweli huwa nikija dar mapumziko ya kikaz hupenda kujirusha viwanja mbali mbali .
Lakini samaki samaki masaki wazeee weekend kuna ps kali zinakula bata tupeane machimbo mengine kesho ntakuwa dar wakuu.
Wadau sijui hii kama ni mimi tu nimeliona kuna hili la bar na nyumba za starehe kama clubs na vingine yaani asilimia 70 ya hivi vitu wamiliki ni wachaga yaani kila bar utasikia hiyo ya Kimaro sijui mara sijui Mushi mara sijui Lyimo hivi kuna Siri gani kwenye hili naomba nisieleweke vibaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.