bara la asia

  1. W

    Mbinu zilizotumika kuzuia Uzimwaji wa Mitandaoni katika Nchi za Bara la Asia na Oceania. Tanzania tunachakujifunza hapa

    Kwa mujibu wa Utafiti uliofanywa na "Indo-Pacific Center for Civil Society Resilience" jumla ya nchi 7 katika bara la Asia na Oceania (Indo - Pacific region) zilipitia changamoto ya kuzimwa kwa mtandao na kuminywa kwa Uhuru wa kujieleza Mtandaoni kwa mujibu wa ripoti ya "Freedom of the Net"...
  2. Mhafidhina07

    Hivi ni kweli Mungu yupo bara la Asia tu?

    Nimeona tamaduni za Kiyahudi, Uislamu na ukristo chimbuko lake ni Asia. Hivi ni kweli Mungu aliona muhimu kuwaleta mitume kwa bara hilo tu? Majibu tafadhali.
Back
Top Bottom