barafu

  1. yasini jawadu

    Naomba kuelekezwa kutengeneza barafu na juice ya Matunda

    Habari wapendwa wa JamiiForums. Naomba mwenye elimu ya kutengeneza barafu na juice ya matunda mchanganyo wa nanasi ndizi na parachichi aweze kunisaidia, email yangu ni yasinijawadu@gmail.com Asante sana. Pia soma: Juisi mbalimbali nzuri kwa afya yako
  2. fungi06

    Sababu gani inayofanya meno ya mbele kufa ganzi ukingata barafu

    Za mida? Nimekua nikifikiria mno juu ya ili swala bila mafanikio Japo ni wazi kila mzizi wa jini uko connected mpaka kwenye ubongo naisi imnazifahamu nerves vyema? Basi kila jino mdomoni mwako liko connected na ubongo lakini turejee kwenye kichwa cha uzi kilivyo sema apo juu Kwa wale...
  3. fungi06

    Barafu inaelea juu ya maji almost 10 years!

    Kama barafu inauwezo huo inamaanisha nini? Je ni nyuzi za baridi kua kubwa mno? Kama barafu inaweza kuelea juu ya maji mda wote huo inamaanisha kua hata wewe unaweza kukaa au kufanya lolote duniani Amka dunia inakutizama
  4. Kisabulo

    Naomba mwenye uzoefu wa biashara shule za msingi wa uuzaji barafu anipe mchanganuo

    Naomba mwenye uzoefu na biashara ya barafu shule za msingi anipe mchanganuo
  5. M

    Nini kimepelekea Kadinali Pengo kuondolewa kwenye tovuti ya Jimbo Kuu la D'Salaam?

    SOURCE: Website ya Jimbo Kuu la D'Salaam Nimeshtushwa kuondoloewa kwa Kardinali Polycarp Pengo kwenye website ya Jimbo Kuu la D'Salaam. Ukiisoma inaonyesha Jude Thadaeus Ruwa'Ichi ndiye Askofu Mkuu wa Jimbo hilo na Eusebius Nzigilwa ni Askofu Msaidizi. Jamani nikumbusheni. Je, inawezekana...
  6. Ryzen

    Nataka Kujiunga na "Jesuit Fathers"

    Habari za Mchana Mwenzenu nimewiwa kujiunga na upadre ila nimependelea shirika hili la wajesuit, Naomba kwa wenye ufahamu wanisaidie nawezaje kujiunga na vigezo gani vinahitajika. Asanteni.
Back
Top Bottom