Amiri Baraka (born Everett LeRoi Jones; October 7, 1934 – January 9, 2014), previously known as LeRoi Jones and Imamu Amear Baraka, was an American writer of poetry, drama, fiction, essays and music criticism. He was the author of numerous books of poetry and taught at several universities, including the University at Buffalo and Stony Brook University. He received the PEN/Beyond Margins Award in 2008 for Tales of the Out and the Gone.Baraka's career spanned nearly 52 years, and his themes range from black liberation to white racism. Some poems that are always associated with him are "The Music: Reflection on Jazz and Blues", "The Book of Monk", and "New Music, New Poetry", works that draw on topics from the worlds of society, music, and literature. Baraka's poetry and writing have attracted both high praise and condemnation. In the African-American community, some compare Baraka to James Baldwin and recognize him as one of the most respected and most widely published black writers of his generation. Others have said his work is an expression of violence, misogyny, and homophobia. Regardless of one's viewpoint, Baraka's plays, poetry, and essays have been described by scholars as constituting defining texts for African-American culture.Baraka's brief tenure as Poet Laureate of New Jersey (in 2002 and 2003) involved controversy over a public reading of his poem "Somebody Blew Up America?", which resulted in accusations of anti-Semitism and negative attention from critics and politicians.
Baraka Shamte ambaye ni mtoto wa Mohamed Shamte, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Zanzibar kabla ya kupinduliwa
Huyu mtu nilikuwa simjui hadi nilipomuona kwenye video kuhusu sekeseke lake na CCM hivi majuzi
Kilichonisukuma kuanzisha uzi ni kuwa mbona huyu mtu ni Mwafrika wala hata sio chotara (mixed)...
SAKATA LA BARAKA SHAMTE: HATARI YA KUSEMA YASIYOTAKIWA KUSEMWA
Katika kila jamii kunakuwa na ''mwiko,'' yaani kitu kisichotakiwa kufanywa na kwa kawaida huwa watoto wanafunzwa toka udogoni.
Katika jamii nyingi watoto wa kiume hufunzwa kutofungua mifuko ya wanawake uwe mama au dada zao...
BARAKA SHAMTE...
Lugha ya Kiingereza inakuwa kila siku kwa kuja na maneno ambayo mimi sikupata kuyajua hapa zamani.
Siku hizi kuna neno ''trend.'' ambalo nadhani lina maana, ''lililopo sasa.''
Habari inayo-''trend,'' mitandanoni hivi sasa ni Baraka Shamte.
Baraka Shamte haitaji kuelezwa si...
Pamoja na jitihada zetu za kitokomeza ajali barabarani bado kampuni hizo tajwa hazijaelewa somo.
Nimesafiri na mabasi haya kwa nyakati tofauti tofauti na kujionea uvunjifu mkubwa wa usalama barabarani. Zaidi kwa route za kusini (Mtwara, Lindi, Masasi na Tunduru)
Na leo pia nimesafiri kwa basi...
Tembea uone mambo usingoje kuambiwa.
Hii nchi wengi wakipenda kusema ni ngumu, kwa kweli ni ngumu sana. Ama kwa hakika huenda hata sheria zinazotumika kunakoitwa mjini ni tofauti mno na za huko shamba.
Nimeyaona ushirombo ambako labda Waziri Bashungwa hata hajui wizara yake kuwa imeshikwa...
Ummy Msika (45)mkazi wa Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro ameiomba mamlaka za kiuchunguzi kumsaidia kuchunguza na kumkamata rafiki yake aitwaye Mama Bahati kwa madai kuwa alimpatia maji ya baraka yaliyopelekea kumuathiri sehemu zake za siri. https://t.co/kX1YFZDpZ2
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuishi kwa mshikamano kama watu wa Taifa moja, kuepuka kubaguana kwa namna yoyote ile.
“Kwa kuwa Mungu anatupenda basi tuheshimiane, tulinde utu, mambo ya Ufisadi yanayoanza kutajwajatwa sasa...
BARAKA HUTOKA KWA BABA, LAANA HUTOKA KWA MAMA! UTAAMUA MWENYEWE!
Anaandika, Robert Heriel,
Mwanafalsafa.
Utaamua mwenyewe, utapima na kuamua maisha yako mwenyewe.
Baba ndiye mungu wa dunia, utake usitake, Mama ni msaidizi wa Baba upende usipende. Endapo hili halitatokea maisha ya mtoto huwa...
Wasalaam wana JF
Katika tafakari zangu nimekua nijiuliza mambo mengi yanayohusu mustakabali wa taifa letu. Maranyingi ustawi wa taifa letu una kwenda mbele na kurudi nyuma kila baada ya awamu moja kwenda nyingine. Atakuja kiongozi mzuri atajenga uchumi anayefuata anabomoa.
Hali kadhalika...
Ni lazima wajitokeze watubu na kuwaomba radhi waTanzania walio wengi kutokana na kadhia ya Uchaguzi mkuu uliopita,hakuna asiejua kilichotokea.
Watafanya mengi mazuri ya kufurahisha lakini yatakuwa hayana baraka ,hivi hela ya wizi inatenda Jema mbele ya Mwenyezi Mungu?
Wanatia huruma sana...
Ukiangalia namna wanavyopangwa Watangazaji wa Azam TV utaona kuwa Baraka Mpenja ndiyo Mtangazaji namba 1 hivyo hupewa mechi nyingi kubwa au zile zenye mvuto. Utaratibu huu pia upo kwenye Channel kubwa za Kimataifa kama Sky Sports, BT Sports pamoja na ITV ( Uingereza) ndiyo maana Peter Drury...
Serikali ya Tanzania imepata msaada wa Euro Milioni 425 (Tsh. Trilioni 1.15) kutoka Kamishineni ya Umoja wa Ulaya (EC) kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo, Rais wa Kamisheni hiyo ametangaza kiasi hicho cha msaada baada ya kukutana na Rais Samia ambaye yuko ziarani nchini...
RESOURCE CURSE
Resource ni rasilimali
Curse ni laana
Hivyo RESOURCE CURSE ni balaa au laana ambayo inaambatana na nchi, mtu, kubarikiwa jambo flani.
Waswahili wanasema kwenye miti hapana wajenzi.
Nchi za kiAfrica zina experience sana hii laana, nchi zimebarikiwa na rasilimali za kutosha...
Tangu mwaka jana nimekuwa nikimsikiliza mfanyabiashara Ramadhani Ntunzwe anavyosumbuliwa bila kupata ufumbuzi.
Nina imani kabisa rais wa wakati huo kama kweli alikuwa na nia ya kumaliza jambo hilo lisingechukua muda mrefu kiasi hiki.
Pia nadiriki kusema mateso aliyoyapata huyu mfanyabiashara...
Katika vitu vinaumiza ni mtu kudai malimbikizo yake ya kazi aliyoitolea jasho halafu Fomu zinajazwa hapo wizarani unazikuta zinazagaa mpaka zinapigwa mateke kwa kukosa utaratibu mzuri
Ukiingia chumba cha Approvers ni aibu mafomu yametupwa kila mahali na kupelekea kupoteza haki za watu
Kuna...
Haya niambie!!! Taifa stars kwa ku fluke ikawa hiyooo hadi Qatar. Hebu tuseme ukweli ingekuwaje?
Taifa lengepata aibu inayoweza kuuangusha chini hata mlima wa Kilimanjaro. Timu hii ya akina Samatta na Kibu ingemwaibisha Waziri mkuu na kila mtu nchini.
Kilichoipata Zaire 1974 ambacho dunia...
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.
Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako, sikudhani wewe ungekuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.
Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.