A Barcelona player has tested positive for the novel coronavirus after reporting back for pre-season training, the La Liga side said in a statement on Wednesday.
Barca said the player was isolating in his home and was asymptomatic, adding that he had not been in contact with any of the players...
Lionel Messi, 32, ataendelea kubaki Barcelona
Chelsea wanafikiria kubadili uamuzi wao kwa kumsaini mshambuliaji wa RB Leipzig Timo Werner,24, ikiwa Mjerumani huyo ataonesha nia utayari wa kuhama. (ESPN)
Chelsea imemuweka mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa Leicester Ben Chilwell, 23, katika mpango...
FC Barcelona imethibitisha kumuajiri kocha wa zamani wa klabu za Real Betis pamoja na Racing Santander, Quique Setién kuchukua nafasi ya Ernesto Varverde aliyevunja mkataba na klabu hiyo.
Setien amesaini mkataba wa miaka miwili na nusu ili kuifundisha FC Barcelona.
====
OFFICIAL: Barcelona...
Barcelona anapewa nafasi kubwa kushinda gemu ya leo kwa sababu wana mchezaji bora duniani Messi na faida ya kucheza nyumbani lakini Zidane amesema Yes we can kwenye interview leo so inawezekana ikawa mechi ngumu kwa timu zote. tukae hapa maana gemu ina dakika chache inaenda kuanza.
Barcelona wenzangu Valencia wametupiga 2-1 mchezo wa fainali kombe la mfalme, nilivyoyaona magoli yote mawili tuliyofungwa ni uzembe wa wazi wa defenders ukiongozwa na Pique, hivi lini tutaimarisha ukuta wetu? Huyu Pique anasubiri nini kutimuliwa?
Ameshafungisha goli nyingi hadi sasa lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.