Barrick Gold Corporation is the largest gold mining company in the world, with its headquarters in Toronto, Ontario, Canada. The company has mining operations in Argentina, Australia, Canada, Chile, the Dominican Republic, Papua New Guinea, Peru, Saudi Arabia, Tanzania, the United States and Zambia. More than 75% of Barrick's gold production comes from the Americas region. In 2018, it produced 4.527 million ounces of gold at all-in sustaining costs of US$806/ounce and 383 million pounds of copper at all-in sustaining costs of $2.82/pound. As of December 31, 2018, the company had 62.3 million ounces of proven and probable gold reserves.
Wakati akiongea na shirika la habari ya Uingereza liitwalo Reuters, Mkurugenzi wa Kampuni ya Barrick Gold, Mark Bristow amesema Makontena ya Makinikia yaliyozuiwa na serikali ya Tanzania Bandarini Dar es Salaam yana thamani ya Dola za Kimarekani milioni 280 ambapo ni sawa na takribani shilingi...
Hili ni pendekezo tu.
Kwamba KUB awe anaalikwa katika matukio muhimu ya kiserikali ili akiisha kuelewa yeye aende akawaelimishe na wafuasi wa kambi yake.
Kwa aina ya wapinzani tulionao vichwa vyao ni rahisi kuelewa wanapoelezwa jambo " lile lile" na viongozi wao kuliko kusikiliza mubashara...
1. Hakuna kubadili sheria ya madini mpaka Barrick waondoke nchini.
2. Hakuna kuishtaki Barrick mahakama za ndani.
3. Barrick haitajisajili ndani ya DSE.
4. Hakuna Mtanzania atakayeweza kununua hisa kwenye kampuni.
5. Serikali itapata share ya net profit na net loss kwa 50%.
Kwa mkataba huu...
KAMA unatumia mtungi wa gesi ya kupikia nyumbani kwako, basi fahamu kwamba mtungi huo umeundwa nje ya nchi. Lakini muda si mrefu, mitungi ya aina hiyo itaanza kutengenezwa Tanzania na gharama zake zinatarajiwa kuwa nafuu kuliko ilivyo sasa.
Akizungumza katika Maonesho ya Viwanda Mkoani Pwani...
Wafuasi wa Lumumba ama kwa ile kukosa uelewa, au kwa makusudi tu, since Day 1 wamekuwa wakipotosha ambacho Tundu Lissu aliongea kuhusu MIGA! Au wakati mwingine inawezekana ni kutokana na tabia yetu Watanzania ya kutotafuta ukweli!
Binafsi nimekuwa nikilijadili suala la makinikia since Day 1, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.