Taarifa zilizopo ni kuwa Anjela yupo Basata akipambana angalau kupata haki yake, hata hvyo mshale unaonekana atashindwa tuu, mana Harmonize hajatangaza kumfukuza kama alivyowafukuza wengine, pamoja na Yule mlamba mdomo yeye aliamua kukimbia kimya kimya.
Harmonize amemwambia Anjela Yuko huru...