bashiru ally

Bashiru Ally Kakurwa Tanzanian politician, diplomat and Member of Parliament. He was the Chief Secretary of Tanzania in the 5th Cabinet, appointed by President Magufuli into office February 26, 2021. Before he had been Secretary General of Chama Cha Mapinduzi political party in Tanzania, appointed by Magufuli into office on May 31, 2018. Prior to his appointment as party Secretary General, he was a lecturer at the University of Dar es Salaam.
During the first cabinet reshuffle under President Samia Suluhu Hassan he was dropped from his cabinet post and instead given one of the slots for appointed members of parliament on March 31, 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    Kwanini ripoti ya Bashiru Ally haikutekelezwa na Magufuli?

    Kulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza kwa 100% ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally? Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama...
  2. Vugu-Vugu

    Kwanini Hayati Dkt John Pombe Magufuli aliwafuta uongozi Humphrey Polepole na Dkt Bashiru Ally?

    === Najua Dkt Bashiru Ally Kakurwa na kaka yangu Humphrey Polepole wanajua na Mungu anajua aliyewaondoa kwenye nafasi zao ndani ya Chama cha Mapinduzi za Ukatibu Mkuu wa Chama na Ukatibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Taifa ni Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli. Kwamujibu wa...
  3. U

    Nukuu ya Mzee Abdulhaman Kinana kwenye hafla ya kumkabidhi ofisi ya Ukatibu Mkuu mrithi wake Dkt Bashiru Ally Kakurwa

    Ilikuwa Juni 20,2018 kwenye hafla iliyoandaliwa na Watunga sheria kumuaga & kumkaribisha ( Abdulhaman Kinana & Dkt Bashiru Ally Kakurwa)
  4. Nyendo

    Pascal Mayalla: Tanzania sasa inajenga Mifumo na sio kujenga watu kama enzi za Hayati Magufuli

    Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania alifanya mabadiliko ya kiutendaji ikiwa ni pamoja na kumuondoa aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi Dokta Bashiru Ali na kumteua kuwa mbunge. Je, wachambuzi wanazungumzia vipi hatua hii? Msikilize mchambuzi wa siasa za Tanzania, Pascal Mayalla akichambua kwa kina...
Back
Top Bottom