bata

A Batá drum is a double-headed drum shaped like an hourglass with one end larger than the other. The percussion instrument is used primarily for the use of religious or semi-religious purposes for and originates from the native culture land of the Yoruba, located in Southwestern Nigeria, as well as, but not of origin, by worshippers of Santería in Cuba, Puerto Rico, and in the United States. The Batá drum's popular functions are entertainment and to convey messages. Its early function was as a drum of different gods, drum of royalty, drum of ancestors and drum of politicians. Batá drum impacted on all spheres of life in Yoruba land.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Bata la Dar "Clouds Fm" vs Komaa Concert "Efm" Nani ni Nani?

    Nimesikiliza Clouds FM katika kipindi cha Power Breakfast leo asubuhi kutoka kwa watangazaji wa kipindi hicho Nanuu, " Wameamua kukuleta BM (Adam Mchomvu) baada ya vijana kushindwa..." Mwisho wa kunukuu. Nae Adam Mchomvu alikiri Nanukuu, "Kuna eneo vijana wamepwaya ndio maana nimekuja..."...
  2. M

    Bata wanauzwa Bunju B

    Bata mbegu nzuri sana ya kienyeji wanauzwa Bunju B. Bei: Majike makubwa Tshs. 15,000 Wenye miezi 5 Tshs. 10,000 Dume kubwa la mbegu Tshs. 25,000 Piga 0759 819 819
  3. card78

    Bata ni fursa ila nakwama

    Ni namna gani naweza kupata ongezeko kubwa la bata, nimekuwa nikishuhudia watoto wa bata wakifa ovyo katika maeneo niliyowahi kukaa na kushindwa kuelewa ni kwa namna gani naweza kuzuia hiyo hali. Bata akifika umri fulani wa kubadilika rangi inakuwa ni ngumu sana kufa kama anavyokuwa mtoto...
  4. Ramon Abbas

    Kuna bata wangapi hapa? Test your Eyes and Count

  5. BABA SANIAH

    Naomba kufahamishwa zaidi kuhusu bata bukini

    Habari za leo, Ntaomba kufahamishwa kuhusu Hawa Bata,nataka kuwafuga kwa kweli. Huwa naaikia wanataga mayai mawili tu kwa mwaka. Kama Kuna taarifa nyingine au kuna mtu anawafuga, mwenye uzoefu nao anifahamiahe zaidi.
  6. The Boss

    Kwa hili bata la leo Dar ni kweli maisha magumu Tanzania?

    Ukiingia Mitandao leo ni full bata Dar karibu yote.. Waliokusanyika bar za nje uwanja wa Taifa Na maeneo mbali mbali leo kusherehekea Simba day ..beer zimeanza asubuhi.. Na Vijana mostly under 30 wamejaza bar karibu zote leo Dar wakitazama kwa TV Na kuanza kunywa beer kuanzia asubuhi .. Hizi...
  7. cefixime

    Kiwanja Cha Bata Arusha

    Wakuu tupeane location kwa hapa Arusha kiwanja kilichotulia Cha kimyakimya.
  8. M

    Taliban wavamia Theme park Kabul na kuanza kula bata kama watoto.

    Hawa wataliban wanaocheza na hivi vigari wanaendana kinyume kabisa na Taliban asili. Kwasababu Taliban hata kusikiliza mziki na kucheza ni marufuku unachinjwa. Hii Taliban ya sasa ni tofauti ndo maana wanataka diplomasia na mataifa mengine na China na Urusi imefungua mlango. Hii ni Taliban...
  9. Poker

    Hii ni kwa Wala bata

    Jamani members tupeane location weekend ndo hiyo Leo Bata linaliwa wapi maana nipo huku Tabata kumepoa sana
  10. kibovu

    Kiwanja cha bata chenye Totoz Classic kinachojaza Dodoma

    Wakuuu poleni na majukumu. Ijumaa ntakuwa dodoma ndugu yenu naombeni location ya kiwanja cha bata chenye watoto classic kinachojaza toto zinacheza mziki mkubwa hapa makao makuu Dodoma Natanguliza shukrani zangu za dhati
  11. TheDreamer Thebeliever

    Nilichostaajabu wakati nakula bata nchi za SADC

    Habari wadau. Tutaongea sana ila amini usiamini viongozi wetu ndio wachawi ndio wanaotufanya vijana wengi tusifanikiwe kwa vitu vidogo vidogo tu ambavyo wanatubania. Kipindi cha mzee wa RUKSA kila kitu kilikuwa RUKSA ndio maana yule mzee Mungu amemjalia maisha marefu sana,sababu alikuwa...
  12. Slowly

    Rayvanny ampost mpenzi wake Paula wa Kajala wakila bata

    Wakati sintofahamu ya uanafunzi wa mtoto mzur Paula bado ikiwa imepamba Moto , nyota wa Bongo Fleva anayeikamatilia YouTube. Kwa sasa Rayvanny mnyakyusa kupitia ukurasa wake wa Instagram amempost mpenzi wake huyo wakila bata maeneo ya watu wazito ....
  13. jmushi1

    Wafanyakazi wamemkubali Rais Samia, wamekula “Bata”

    Wanajamvi, Leo nimesikiliza madam President Samia Suluhu Hassan mwanzo mwisho. Mimi siyo mfanyakazi, lakini niliikubali hotuba yake na kuona busara nyingi sana ndani yake. Hata hivyo, sikuwa najuwa wafanyakazi wenyewe wameipokeaje hotuba hiyo. Jibu nililipata mtaani. Kwa kifupi sana...
  14. bukerebe alex

    Nataka kufuga Bata wa nyama

    Habari wana jukwaa la ufugaji, Nataka kufuga Bata wa nyama. Hivyo naomba ushauri wenu wadau ili niweze kutimiza lengo langu. Asanteni. Zaidi soma>>Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara
Back
Top Bottom