Water pump Leo =300k
Printer canon na Hp=200k
Canon: inahitaji toner
Hp: printhead imekufa
Samsung note 9=400k
Washing machine( von hotpoint 10kg) = 50k
Washing machine: upande wa ku spin haufany kazi
Bati alaf la kigae gage 28 zipo 15pcs= 800k
Mazungumzo yapo..
Wadau kama kichwa cha habari kisemavyo. Nimekutana na hii scenario nikabigwa na bumbu wazi
Nilowahi kupiga simu huduma kwa wateja ALAF nikaulizia bei za bati zao nika note kisha nika andaa mahesabu yangu ya paa langu
Ikapita wiki 2 nikaenda pale kiwandani kwao nikiwa na nia ya kununua mzigo...
Habari wadau,
Najua Kuna mada nyingi kuhusu bati ila hebu tushauriane hapa.
Kwasasa naelekea Hatua ya upauaji ila nimejikuta napata shida niangukie wapi
BATI ZA RANGI
Wengi wanashauri ALAF, SAWA ila bei yake iko juu sana 39 (bati ya kawaida ya rangi) na pia nimekutana na wadau wanasema...
Salama wanajamvi?
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. Wiki nne zilizopita Nilifunga mbao za kench ktk site yangu na kuoda bati alaf ila bati bado hazijatoka nimeambiwa nitegemee zitatoka ndani ya wiki tatu zijazo.
Na mvua za masika ndio naona zimeanza hapa Dar. Sasa naingia wasiwasi kama...
Wakuu natafuta mabati ambayo ni used kwajili ya site fence ya ujenzi, pia ukiwa na Playwood(MARINE BOARD) na material zingine za ujenzi
Please tuwasiliane kwa namba 0766943145
Wanyonge wenzangu huko mkoa uliopo bei ya cement ikoje? Mimi huku nilipo Cement ya dangote 23000/mfuko na twiga ni 25000/mfuko. Bei ya Dangote kutoka 18500 mkapa 23000. Mnyonge mnyongeni lakini mnyonge kabisa.
Soma: Serikali iruhusu kuingiza saruji kutoka nje
====
Bei saruji haishikiki
09 NOV...
Nataka kumpaulia shangazi yangu nyumba yake bati la geji 32 futi nane linauzwa 12 kwakuwa nyumba yake ni kubwa inahitaji bati 140 na kwaharakaharaka hiyo hela ninayo ila zaidi ya hapo sitamudu kwasasa .
Naombeni ushauri hi geji 32 ni durable? Na je kutokana na wepesi wake ukilipaka rangi...
Migongo mipana
Kampuni: Ando
Gauge28
Rangi carrot
Mahali Dodoma
Vipimo
Upana cm 190
Urefu
6.0m lipo 1
4.8m Zipo 3 na
3.6m ipo 2
Jumla mita 27
Bei 13000 kwa mita
Mwenye interest tuonane
Tanki la kuhifadhia Maji la Plastiki dhidi ya tanki la chuma
Unapotafuta tanki la kuhifadhia maji ya mvua au hata ya bomba kwa ajili ya matumizi ya baadae huko sokoni utapata matanki ya kila sampuli ambayo yametengenezwa kutokana na malighafi tofauti. Sasa kwa leo tuangalie haya mawili.
Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.