bati

  1. Naomba idadi ya bati kulingana na ramani hii

    Naomba idadi ya bati kulingana na ramani hii.
  2. Nini maoni yako kuhusu bati G30 hasa kwa mazingira ya pwani?

    Wakuu nimeona kuna gap la kama milioni moja kwa bei ya G30 na G28, je bati G30 haina shida?
  3. INAUZWA Water Pump,Printer,samsung Note 9, Bati Alaf na washing Machine

    Water pump Leo =300k Printer canon na Hp=200k Canon: inahitaji toner Hp: printhead imekufa Samsung note 9=400k Washing machine( von hotpoint 10kg) = 50k Washing machine: upande wa ku spin haufany kazi Bati alaf la kigae gage 28 zipo 15pcs= 800k Mazungumzo yapo..
  4. Kuna ukweli wowote bei za bati kupanda bei?

    Kuna watu nimesikia wakizungumza kuwa bei ya bati zimepanda leo je kuna ukweli wowote uko?
  5. Naomba kujuzwa duka lenye mabati bora kwa bei nafuu

    Wanajamvi naomba kujuzwa duka lenye mabati yenye ubora na bei nafuu Dodoma maana nahitaji bati kama mia mbili (200) nitashukuru kwa msaada
  6. Bati 20 za alaf futi 10 zinajenga vyumba vingapi?

    Mabingwa wa ukadiriaji hebu chakateni mlinganyo hapo nataka nimjengee mchepuko kajumba kadogo Sasa hizo bati zinatosha vyumba vingapi?
  7. DED wa Gairo aliyepiga bati asimamishwa kazi.

    Safi.. Maana ilikuwa inatia doa kwa Serikali.
  8. ALAF Tanzania, mnatumia kigezo gani kupandisha bei za bati zenu

    Wadau kama kichwa cha habari kisemavyo. Nimekutana na hii scenario nikabigwa na bumbu wazi Nilowahi kupiga simu huduma kwa wateja ALAF nikaulizia bei za bati zao nika note kisha nika andaa mahesabu yangu ya paa langu Ikapita wiki 2 nikaenda pale kiwandani kwao nikiwa na nia ya kununua mzigo...
  9. Kuna uwiano wowote kati ya rangi ya bati na rangi ya ukuta?

    Mfano , nimenunua BATI rangi ya kijani JE ni rangi gani nipake ukutani ili iendane na rangi ya bati?
  10. Naomba ushauri wa aina ya bati ya kuchaguala?

    Habari wadau, Najua Kuna mada nyingi kuhusu bati ila hebu tushauriane hapa. Kwasasa naelekea Hatua ya upauaji ila nimejikuta napata shida niangukie wapi BATI ZA RANGI Wengi wanashauri ALAF, SAWA ila bei yake iko juu sana 39 (bati ya kawaida ya rangi) na pia nimekutana na wadau wanasema...
  11. K

    Kenchi ikikaa muda gani bila bati inaharibika

    Salama wanajamvi? Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza. Wiki nne zilizopita Nilifunga mbao za kench ktk site yangu na kuoda bati alaf ila bati bado hazijatoka nimeambiwa nitegemee zitatoka ndani ya wiki tatu zijazo. Na mvua za masika ndio naona zimeanza hapa Dar. Sasa naingia wasiwasi kama...
  12. Natafuta bati used, palywood(Marine bodi)

    Wakuu natafuta mabati ambayo ni used kwajili ya site fence ya ujenzi, pia ukiwa na Playwood(MARINE BOARD) na material zingine za ujenzi Please tuwasiliane kwa namba 0766943145
  13. L

    Gharama ya bati geji 30

    Wakuu naomba mnisadie garama ya bati Geji 30 kwa hapa Dar es Salaam na Kibaha.
  14. M

    Wanyonge wenzangu, bei ya Saruji huko kwenu ipo vipi?

    Wanyonge wenzangu huko mkoa uliopo bei ya cement ikoje? Mimi huku nilipo Cement ya dangote 23000/mfuko na twiga ni 25000/mfuko. Bei ya Dangote kutoka 18500 mkapa 23000. Mnyonge mnyongeni lakini mnyonge kabisa. Soma: Serikali iruhusu kuingiza saruji kutoka nje ==== Bei saruji haishikiki 09 NOV...
  15. Bati zinauzwa, usafiri bure ndani ya Dar es Salaam

    Hii aina ya bati ni royal roma rough(material ya chenga) kwa mita moja 18,500 gage 28
  16. Bati la geji 32 ni lakupaulia au? na ukilipaka rangi linaimarika?

    Nataka kumpaulia shangazi yangu nyumba yake bati la geji 32 futi nane linauzwa 12 kwakuwa nyumba yake ni kubwa inahitaji bati 140 na kwaharakaharaka hiyo hela ninayo ila zaidi ya hapo sitamudu kwasasa . Naombeni ushauri hi geji 32 ni durable? Na je kutokana na wepesi wake ukilipaka rangi...
  17. INAUZWA Nauza bati Mpya

    Migongo mipana Kampuni: Ando Gauge28 Rangi carrot Mahali Dodoma Vipimo Upana cm 190 Urefu 6.0m lipo 1 4.8m Zipo 3 na 3.6m ipo 2 Jumla mita 27 Bei 13000 kwa mita Mwenye interest tuonane
  18. ULINGANISHO WA UBORA: Tanki la Maji la Plastiki vs, Tanki la bati au chuma. Lipi imara?

    Tanki la kuhifadhia Maji la Plastiki dhidi ya tanki la chuma Unapotafuta tanki la kuhifadhia maji ya mvua au hata ya bomba kwa ajili ya matumizi ya baadae huko sokoni utapata matanki ya kila sampuli ambayo yametengenezwa kutokana na malighafi tofauti. Sasa kwa leo tuangalie haya mawili. Kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…