bbc swahili

The BBC World Service is an international broadcaster, owned and operated by the BBC. It is the world's largest of any kind. It broadcasts radio news, speech and discussions in more than 40 languages to many parts of the world on analogue and digital shortwave platforms, internet streaming, podcasting, satellite, DAB, FM and MW relays. In 2015, The World Service reached an average of 210 million people a week (via TV, radio and online). In November 2016, the BBC announced that it would start broadcasting in additional languages including Amharic and Igbo, in its biggest expansion since the 1940s.The World Service is funded by the United Kingdom's television licence fee, limited advertising and the profits of BBC Studios. The service is also guaranteed £289 million (allocated over a five-year period ending in 2020) from the UK government. The World Service was funded for decades by grant-in-aid through the Foreign & Commonwealth Office of the British Government until 1 April 2014.BBC World Service English maintains eight different regional feeds with several program variations, covering, respectively, East and South Africa; West and Central Africa; Europe and Middle East; Americas and Caribbean; East Asia; South Asia; Australasia; United Kingdom. There are also two separate online-only streams with one being more news-oriented, known as News Internet. The service broadcasts 24 hours a day.
The current controller of BBC World Service English is Mary Hockaday.

View More On Wikipedia.org
  1. Beira Boy

    BBC wachakachua uzi wa mwana JamiiForums

    Amani iwe kwenu wakuu Kuna member wa JamiiForum aitwaye screpa alileta uzi kumhusu msanii dully skys naona leo BBC wamepita nao kiaina Soma pia: Kwanini Dully Sykes anasema yeye ndiye Mwanzilishi wa Bongofleva?
  2. The Palm Beach

    Fuatilia mahojiano aliyofanya Tundu Lissu na Mtangazaji Sammy Awami wa BBC Swahili. Ajibu tuhuma za kutokuwa mtu wa shukrani nk

    SEHEMU YA KWANZA👇🏻👇🏻 https://youtu.be/OO2AYA3VY-Y?si=rYCwWDRt0KJognM3 SEHEMU YA PILI👇🏻👇🏻 https://youtu.be/e0MXkGVJrn8?si=56j8vHveXRune5eo Kwa ufupi: ➡➡Amejibu na kutoa ufafanuzi wa tuhuma mbalimbali zilizotolewa na mgombea uenyekiti mwenzake Ndugu Freeman Mbowe.... Miongoni mwa tuhuma hizo...
  3. M

    Julia Pastrana mwanamke wa karne ya 19 huko Yuropa ametajwa kuwa mwanamke mwenye sura 'mbaya zaidi' duniani

    Mwanamke wa karne ya 19 huko Yuropa ametajwa kuwa mwanamke mwenye sura 'mbaya zaidi' duniani. Jina lake ni Julia Pastrana. Uso mzima wa Julia ulikuwa umefunikwa na nywele kwa sababu ya ugonjwa adimu wa maumbile. Alikuwa akifanya kazi kama mwanasarakasi. Julia alikufa mwaka wa 1860. Baadaye...
  4. M

    BBC Swahili inaripoti kwa upendeleo mgogoro wa Israel Vs Palestina

    Hizo propaganda zenu baada ya kushindwa Urusi mumehamia Mashariki ya kati? Ukifungua page ya website ya bbc swahili kila kukicha Isreal hivi hivi huku ikishindwa kuandika kabisa mafanikio ya Palestina. Licha majeshi ya Isreal kupigwa na kurudishwa nyumbani kwao ktk majeneneza lkn wamekuwa...
  5. USSR

    Simulizi kuhusu waliopotea katika mazingira ya kutatanisha Tanzania 2023/24

    Nimesoma kwa masikitiko taarifa za siri za watu kutekwa nyara kuuwawa na watu wanajitambulisha kuwa polisi kwenye website ya BBC Swahili. Taarifa ilikusanywa na mwanahabari Samy Awami na timu yake ,Samy ni mtanzania mwenzetu amefanya kazi kubwa nawaomba moderators wauweke hapa. ===========...
  6. M

    UTAFITI: Makosa ya Lugha kupitia BBC SWAHILI

    Kuanzia nafanya utafiti jinsi Lugha ya Kiswahili inavyaondikwa kimakosa katika mtandao wa bbc swahili Mfano leo wameandika Mamilioni ya watuwenye umri wa makamo wameongozwa kimakosa kuamini kuwa wao si wanene, kulinganana utafiti wa Kiitaliano ambao uliangalia mafuta ya mwili badala ya...
  7. M

    Maajabu ya bbc swahili

    Ktk page yao wanAnalalamika Palestina kupewa na Iran . Halafu wnalalamika Ukrain kunyimwa pesa na Marekani ili kupambana na Urusi Bbc swahili website yenu ibadilike. Waandishi wasiwe bias. Waislam pia tunaipitia page hio Pasaka njema. Waandishi waislam mnaofanya kazi humo ktk vikao vyenu...
  8. M

    Kwanini BBC swahili inahimiza Islamic State wamehusika Urusi wakati Urusi inasema Ukraine ndio wahusika?

    Kwanini BBC Swahili inahimiza Islamic State wamehusika shambulio la Urusi wakati serikali ya Urusi inasema Ukraine ndio wahusika? Warusi wanahimiza Ukraine ndio wahusiks lkn BBC swahili hawataki kuripoti hivyo. Kwanini BBC hataki ripoti badala yake wanayo yao mfukoni?
  9. M

    BBC Swahili VS Hinkle, nani yupo sahihi?

    Nimesoma makala moja ya bbc swahili ikimponda sana mchambuzi na Twitter maarufu ndugu Hinkle Hinkle alisema mashambulio ya Hamas ya October 7 yalifanywa na Isreal alikwenda mbali zaidi na kukanusha ukatili wa Hamas wa Oktoba 7, akidai watu waliohudhuria tamasha la Supernova hawakuuawa na...
  10. M

    Bbc Swahili: Isreal sio ardhi yao ni ya Palestina

    Tangu karne ya kumi na tisa, Palestina imeshuhudia idadi ndogo ya wahamiaji wa Kiyahudi, lakini waliongezeka mwishoni mwa karne ya kumi na tisa na mwanzoni mwa karne ya ishirini kwa kuanzishwa kwa harakati ya Kizayuni. Kabla ya 1880, kulikuwa na Wayahudi 25,000 wanaoishi Palestina kwa vizazi...
  11. M

    BBC Swahili mnatia aibu kuhusu Gaza

    Tunajua hamupendi waislam na mnapenda Mayahudi ktk hivi vita vya Gaza kati ya waislam na mayahudi na washirika wake. Lakini angalau tumieni weledi kidogo ktk kuripoti. Jinsi mnavyoripoti basi pslestina wote washakufa. Yaani licha ya mayahudi kupigwa lkn page yenu ya bbc.swahili.co/swahili...
  12. Pang Fung Mi

    Nakukumbusha: Zuhura na Salim Kikeke walikuwa miongoni mwa waliokosoa utawala wa Magufuli wakiwa BBC Swahili

    Tafadhari sana Watanzania nawakumbusha kwa rejea ya hawa watu Zuhura Yunus na Salim Kikeke nyakati za utawala wa Ndugu Hayati Rais Magufuli hawa viumbe hawakuwa na taswira wala nafsi zenye uzalendo na upendo kwa Taifa letu, na si hivyo tu pia hawakuwahi kuwa na news contents zenye kuinua taswira...
  13. luangalila

    BBC Swahili ufanisi wenu katika lugha umepungua mno

    Yes, pasi na shaka ni wazi kabisa BBC swahili siku hizi ufanisi wenu umepungua mnooo yaani mna kiswahili kibovu mnooo yaani watangazaji wenu baadhi wana Kiswahili cha muundo wa english, yaani matumizi ya ngeli ni zero yaani in short kiswahili sio sanifu hata page zenu wanaoandika yaani hicho...
  14. V

    BBC Swahili wamekuwaje kuhusu mkataba wa bandari?

    Hawa BBC Swahili watakuwa wamepokea nini unadhani nikiwasikiliza online wanakwepa kabisa kujadili Waarabu kuuziwa nchi viongozi. Najaribu kukumbuka hawa watu walikuwa na ueledi sana kipindi Hayati Magufuli yupo madarakani walihoji bila woga. Walihoji udhaifu Magufuli kubinya demokrasia...
  15. M

    SoC02 Ongezeko la idadi ya watu wasiopiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2020 Tanzania ukilinganisha na miaka 5 iliyopita

    Haki ya mtu kupiga kura imetajwa kwenye katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwkaa 1997 ambapo sheria ya mwaka 1984 namba 15 ibara ya 6 na sheria ya mwaka 2000 namba 3 ibara ya 4 inatamka wazi kwamba, Kila raia wa Tanzania aliyetimiza miaka 18 anayo haki ya kupiga kura katika uchauzi...
  16. I

    Nchi ngumu sana hii, Mheshimiwa Rais Mama Samia anasema hatatoa kwanza ajira

    Nchi ngumu sana hii, Mheshimiwa Rais Mama Samia anasema hatatoa kwanza ajira kwanza ili awapandishe madaraja walioko kazini,duh ukijiuliza yupi mwenye uhitaji kati ya ambaye Hana ajira na ambaye ana ajira?. Leo hii vijana wapo mitaani wakiambiwa wajiajiri wenyewe lakini ukirudi nyuma...
  17. M

    Kwanini BBC Swahili (Dira ya Dunia) leo hawajaipa Kipaumbele Taarifa ya Uteuzi ya Zuhura Yunus?

    Je, 1. Wamewiwa na Wivu juu yake? 2. Walimpenda Kinafiki? 3. Alikuwa hakai vyema na Wenzake? 4. Ni muendelezo wa tabia ya Wana Afrika Mashariki kutopendana? 5. Hawajaamini macho na Masikio yao? 6. Walitaka akitoka London BBC aje Kuuanza Umasikini Dar es Salaam? 7. Wanaonyesha Chuki...
  18. Shoctopus

    BBC Swahili wadai umbali kati ya dunia na jua ni Kilomita 150

    Assalamualaikum WanaJf. Siamini kama nilichosikia leo tarehe 01/24/2022 asubuhi ktk 'BBC Swahili' kupitia RFA ilikuwa kweli au nilikuwa kwenye ndoto. Mtangazaji aitwae R. Oditi amesema umbali kati ya dunia na jua ni kilometers mia na hamsini (150). Na mbaya zaidi alirudia kusema hivyo mara...
  19. Mohamed Said

    Zuhra Yunus wa Dira ya Dunia

    ZUHRA YUNUS, BBC, NA MAGOMENI MAPIPA Ilikuwa Zuhra Yunus anaondoka BBC sasa ishakuwa Zuhra kaondoka. Labda nianze kwa kusema kuwa nina ''sentiments,'' mapenzi na BBC Idhaa ya Kiswahili toka udogoni katika miaka ya 1960 na hadi leo naweza nikakuimbia ''signature tune,'' iliyokuwa inafungua...
  20. data

    BBC Swahili: Zuchu ndio msanii bora wa East Africa 2021!

    How do you find it guys!!? Mi binafsi nakubaliiii. Haappy New yearrr to u alll. Love U === Zuchu Mwanamuziki anayechipuka , ukuaji wake umekuwa wa kushangaza. Mwanamuziki huyu huimba kwa lugha za Kiswahili na Kiingereza na ana sifa za muziki wa Tanzania aina ya Bongo Fleva. Mwaka uliopita...
Back
Top Bottom